Kifahamu kikosi hatari duniani cha u.S.A navy 'seal' tayari chatua rasmi rasi ya North Korea

mbona unawasifia saana wakati hao jamaaa na washirika wao wakipata tabu sana kuiangamiza iraq walichukua muda mrefu sana ,hadi wanaondoka iraq japo walimyonga sadam husein lkn bado wakisumbuliwa na wanamgambo tu wa iraq kule?
 
Marekani Wanaweza Mwishoni Wakaipiga North Korea tena Kipigo Ibaya sana. Lakini North Korea Marekani Itaweza Tu Kuwapiga bila Usababisha Madhara kwa South Korea Iwapo Watawalenga na Makombora ya ICBM kama 100 hivi na kuua kila mtu kwa mpigo mmoja! Kufanya Hivyo Kwa watu ambao hawajakuchokoza Utakuwa ni Adui wa Dunia Nzima.

Iwapo Marekani wakiipiga NK kwa Kudonoa, Pigo la Kwanza tu North Korea wataipiga South Korea kwa kila walichonacho, Nuclea etc. Na ni habari ya Uhakika NK wana Mizinga ya Roketi zaidi ya 10,000 Zimeelekezwa Seol, Hii tu ukiacha Nyukilia inatosha Kufanya Mji wa Seol Kuwa Majivu in one day!

Swala la Kujiuliza Is this Really necessary? Maana it is For sure North Korea wakishambuliwa na mzinga mmoja tu ndilo watakalolifanya. Hawatarisk kusubiri, na Dunia itawaelewa kwani wamechokozwa!


Aiseee hawa jamaa haitakua rahisi kama inavyofikiriwa,naona yale ya Vietnam yakijirudia.
 
Mkuu umesahau Navy SEAL Team walishatumiwa pia na Obama katika hostage rescue mission ya Captain Philips of Maersk Alabama kwenye pwani ya Somalia alipotekwa na maharamia wa Somalia
 
Umewasifia sana ...lajini ujue habari za wakorea kaskazini na makomando wao hazijulikani...shida ndiyo iko hapo!
 
Wa Tz tunajua vita kwa maneno tu ya mitandaoni. Ingekuwa hivyo tungekuwa tunashinda kila vita.
 
Umeandika kwa mbwembwe sana kijana unaikumbuka oparesheni EAGLE kule Iran hao jamaa zako walienda kuwakomboa watu wao walikuwa wamezingirwa ubaloni pale waliangukia pua hujasahau somalia na kwenyewe yale yale hawana lolote hao
 
Vita za Dunia Ni ni vya kupanga na ni Ushetani wa Kutisha! Ni watoto wanakufa, Ni Wamama Wanakufa, Ni watoto washindwa kusoma, ni Maisha yanaharibiwa, Kisa Kuna Matajiri Fulani Wamekaa kizani shadowy na Watumia Wanasiasa kuanza Vita ili wauze silaha zao kwa bei mbaya.

Makampuni Yanayotengeneza TC. Missile moja kwa gharama ya Million 5 kila mmoja, Unadhani watapenda iishe miaka 30 kukiwa na Amani? Watakuwa out of business! Kadhalika wanaotengeneza Madege, Vifaru etc wote wanataka Vita ili Serikali itumie walivyonavyo, viharibiwe, waagize vingine kutoka kwao. Mabenki makubwa kadhalika kwani ndio wanatoa Mikopo kwa Makampuni haya. Vita zinazoendeshwa na Taifa Fulani kwa asilimia 98% sio Ulinzi wa Nchi ni Biashara chafu ya silaha inayohusisha Matrilioni ya Dolar. Bila kujali Vifo vya wanadamu!

Mataifa ya Kibepari Silaha zao zote zinanunuliwa Kutoka Makampuni Binafsi. Kama Una uwezo wa Kufikiri hutadhani Kampuni Itaproduce Mizinga 50,000 ya Melini au kurushwa na Ndege au kutungua ndege kwa gharama ya $ 5,000,000 halafu wakae nayo miaka 30 bila kuuza ni Amani kila Mahali. Watalipa nini Mabenki na Stockholders wao! So they will not fold their hands they will start some shit somewhere! This is the Sad new the World has to face and is here to stay till fortunately one day we estaminet ourselves! Wanadamu ni shiiida we are evil and hypocrites more than Lucifer himself!
 
Mkuu una wapba sana Navy seal akati most elite squard ni SAS ya Uk
Kifupi north korea hasumbuki na mmarekani ila ana deal na washirika wa marekani kama south korea na hapo ndo ugumu unakuja kwa mmarekani
Sijui afanye oliver twist gani ili a resolve situation

So hakuna vita apo
 
umeiongelea marekani kwa mbwembwe..he Korea Na makomandoo wao. intelligence yao unaijua???

Kwa akili zenu mnadhani North Korea Hana espionage? Hayajui hayo...he marekani Kama anafanya hivyo Mapanki hatapata hasira Na kurusha kitu kakaenda tua ndani ya US? he unajua wao hawana enter continental missile?
Nadhani USA wanatafuta sababu ya kuizimisha N Korea.
Kwa kumbukumbu Mfalme Horoito alikuwa mbabe baada ya 2WW,
Amerika waliteketeza Hiroshima na Nagasaki.
Ilikuwa miji mikuu ya viwanda, Japan wakasurender.
Huyu mpenda sifa na kichaa sijui ataishia wapi??
 
Back
Top Bottom