Wewe unayezungusha kiuno na makalio hongera zako.Utauonaje wakati unazungusha mikono?
Alikuwa ana-show love. Mawaziri wetu wanatoa sana love.Na yule aliyebeba juu juu askari game tena wa kikr je!?
Twahitaji ufafanuzi?!
huyo mwenye tai ina michirizi myekundu suti yake nimeielewa..nahisi ndio zile za laki saba![]()
Naombeni kujuzwa kama ni sawa kupiga picha ya kiofisi/kiserikali wahusika wakishikana mabega/nyonga!
![]()
Naombeni kujuzwa kama ni sawa kupiga picha ya kiofisi/kiserikali wahusika wakishikana mabega/nyonga!
![]()
Naombeni kujuzwa kama ni sawa kupiga picha ya kiofisi/kiserikali wahusika wakishikana mabega/nyonga!
Unamfahamu February wewe? Unamfahamu maembe wewe?Aisee huyu mzee sijui kwanini watu mnamuandama hivi? Mchango wake hamuutambui Hata kidogo
Mchango wake kwa serikali awamu ya 1....akiwa Mkuu wa TISS alifanya mengi wakati wa uhujumu uchumi na tishio la kupinduliwa kwa serikali ya JKN! Baada hapo akapotelea UN kwa miaka mingi sana....ndio amerudi sasa akapewa amalizie uzoefu serikali ya 5Mchango upi? Tutambulishe mchango wake kidogo basi.
Naona ametokelezea na tabasamu la TX Moshi William
Basi hapo inaonekana anaonyesha uzoefu wake wa muda mrefu. wamwache tu.Mchango wake kwa serikali awamu ya 1....akiwa Mkuu wa TISS alifanya mengi wakati wa uhujumu uchumi na tishio la kupinduliwa kwa serikali ya JKN! Baada hapo akapotelea UN kwa miaka mingi sana....ndio amerudi sasa akapewa amalizie uzoefu serikali ya 5
Balozi mahiga ni mwanadiplomasia bora zaidi Tanzania.Huyo ni Louise Mushikawobo.....anatumia uwezo binafsi "kumshika "mahiga