joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,091
- 35,477
Huo ndiyo ukweli wenyewe. Ni pale tu atakapokula kiapo cha Kimahakama ndiyo atakapokuwa na uhuru wa kusema yaliyojadiliwa kwenye baraza la mawaziri!! Hata nyaraka za Baraza la Mawaziri ni siri kubwa (Top secret) kiasi kwamba hata ukiondoka hutakiwi kuwa nazo!!mhhhh mpango safishasafisha
kwahio Kama ni uozo aliuona au ulijadiliwa kweny hilo baraza haruhusiwi kusema kisa Tu amekula kiapo
Kama ni kweli kunatatizo kweny sheria zetu ila nnapata wakati mgumu kuamin ulichosema
Anaweza kuwa siyo fisadi lakini pia anaweza kuwa lakini inawezekana hakuna evidence zenye mashiko ili kuthibitisha ufisadi wake na kumtia kolokoloni. Lakini whether ni fisadi ama siyo hilo ndiyo limeshakuwa jina lake. Ikumbukwe pia kwamba CCM pamoja na opposition wamekuwa wakimwita hivyo kwa muda wote mpaka hapo alipogombea opposition ndiyo wakaacha kumwita na kutaka kulazimisha na wengine wasimwite hivyo. Dawa kwa opposition kwenda mahakamani kuliharamisha hilo jina lake la Fisadi. Vinginevyo walikubali na walione ni jina la kawaida kama vile Bwege, Pombe, Masikini, Masalakulagwa, etcHivi kama lowassa ni Fisadi kwanin asipelekwe mahakamani?mahakama ya mafisadi imeanzishwa kwa kazi gan?ikumbukwe kwamba mikataba mikataba yote mikubwa lazima ipitishwe na baraza la mawaziri na kusainiwa na mwenyekiti wa baraza la mawaziri ambaye ni rais wa nchi,kwaiyo mkataba wa Richmond ulisainiwa na rais wa awamu iliyopita kwa mujibu wa sheria,kama Richmond ni kampuni ya kitapeli na mkataba ulikuwa wa kifisadi mtuhumiwa number moja ni rais aliye pita,Richmond kama kweli ni ya lowassa kwanin iliendelea kulipwa hata lowassa alivyo ondoka?kama lowassa anahusika na Richmond kwanin haku hojiwa?kama mwakyembe anajua ukweli juu ya Richmond kwanin ukweli wote hakuuweka wazi?ikumbukwe wakati mwakyembe anakabidhi report ya uchunguzi wa mkataba wa Richmond alisema kwamba angeweka wazi ukweli wote nchi ingevurugika je ni kipi ambacho mwakyembe alikificha?turudishe kumbukumbu nyuma mh lowassa alisema anajiuzuru ili kuilinda mamlaka ya juu je mamlaka ya juu ni IPI?lowassa aliamua kujiuzuru kumlinda swaiba lakin ukweli wa Richmond unajulikana,ifahamike kwamba mwakyembe ni moja kati ya viongozi walioamua kudhalilisha taaruma zao,mwakyembe angekuwa na ubavu wa kusema ukweli angeusema bungeni sio vichochoroni.
Usihamishe Magoli!!Richmond ni Mfano tu wa Tabia za Rushwa rushwa za Lowassa!
Tuachane na Richmond jee zile Rushwa za kwenye Misikiti na Makanisa ambazo hata Chadema walikuwa wakizilaani hasikutosha kumnyima U Rais?
Usihamishe Magoli!!
But delivered in a Wrong Number!!Sms sent and delivered!
But delivered in a Wrong Number!!
HAkuna cha wrong number, message imekuwa delivered penyewe. Kama issue ya Richmond haitoshelezi ku justify issues iliyoko mezani lazima zitafutwe issues zingine zilizowahi kufanywa na mtu yule yule na zipimwe ili zitueleze tabia ya mhusika.But delivered in a Wrong Number!!
Kunyamaza nako dawaLowassa yuko kimya kabisa wala hazungumzii mambo yalivyokuwa ndani ya Serikali tangu atoke kwenye Uwaziri Mkuu ambao alijiuzulu mwaka 2008. Kuna baadhi ya watu wanautafsiri ukimya wa Lowassa kama ni woga ama kukiri kwamba alishiriki kwenye "Ufisadi" wa Richmond. Lakini Lowassa alikuwa ni Waziri Mkuu na kwa kawaida Waziri Mkuu hula kiapo cha uaminifu na cha kutunza siri za Baraza la Mawaziri ambacho kipo Kisheria.
Lakini pia kwa mujibu wa Katiba yetu Ibara ya 52 ambayo inataja majukumu na mipaka ya kazi za Waziri Mkuu. Waziri Mkuu anatakiwa kufanya kazi kwa kufuata maelekezo ya Rais aliyeko Madarakani. Ukisoma pia Ibara ya 35 (i) wafanyakazi wote wa serikali wanafanya kazi kwa niaba ya Rais.
Jambo la Richmond kupewa Tenda ya kuleta Jenereta za Kufua Umeme lilianzia kwenye Baraza la Mawaziri. Lowassa kutaka jambo hilo liende mahakamani ni kwa kuwa ni kwenye mahakama ndiko kwa kuapa kiapo cha kimahakama ndipo kiapo cha kutunza Siri za Baraza la Mawaziri hutenguka.
Leo Lowassa akithubutu kusema yale waliyojadiliana kwenye Baraza la Mawaziri kuhusu Richmond atakuwa anafanya jinai inayofanana na uhaini. Kama alivyosema Nape kwamba "Hawezi kusema kila kitu" ndivyo na Lowassa naye anavyobanwa na kiapo cha uaminifu kwa Rais na Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Njia Pekee ya kukivunja Kiapo cha Waziri Mkuu alichokula Lowassa ni kumpeleka Mahakamani ili huko akaseme ambayo akisema leo anaweza kushitakiwa hata kwa Kosa la Uhaini! Kiapo hicho hakiwezi kutenguliwa kwa Hoja ya Richmond kurudishwa Bungeni wala kwa Mwakyembe kujiapiza kuachia uwaziri ili apambane kwenye majadiliano Bungeni,
Huo ndiyo ukweli wenyewe. Ni pale tu atakapokula kiapo cha Kimahakama ndiyo atakapokuwa na uhuru wa kusema yaliyojadiliwa kwenye baraza la mawaziri!! Hata nyaraka za Baraza la Mawaziri ni siri kubwa (Top secret) kiasi kwamba hata ukiondoka hutakiwi kuwa nazo!!
dogo as asante kwa kutii ushauri wangu. Huoni unavyotema pointi. Sasa ole wako urudie kosaPamoja na kwamba lowasa simpendi,lakini huyu mzee ana busara sana,angekua ni mwingine katemwa ccm angeongea yote.we mcheki nape anavyolialia daily kwenye media kisa uwaziri.
Mitambo ilitafutwa katika hali ya dharula na jambo lenyewe lilianzia kwenye Baraza la Mawaziri. Unakumbuka ile "Mvua ya kutengeneza"?iv si ilikua tanesco ndio wanatafuta mzabuni wa kuleta mitambo ya kuzalisha umeme iweje ikajadiliwe kweny baraza la mawaziri na sio tanesco
kwani mashirika ya sirikali yanapotoa tenda hua zinajadiliwa na baraza la mawaziri kupata mzabuni
SOMETHING IS NOT RIGHT
Baada ya uchaguzi kuisha CCM wengi walishaacha kumtaja huyu mzee kwa jina la fisadi. Tatizo ni hawa akina Nassari wanakosa hoja halafu wanaanza tena kulazimisha watu wote kwa pamoja tumwone EL alionewa na Mwakyembe. Hayo yalipita na hakuna namna ya kuyaplay back ili sasa watu wamwone EL ni mt. Clean. Tuchape kazi.Hvi issue ya lowasa miaka mingapi sasa imepita uchaguzi wote tumeongerea hayo.mzee wa watu yupo kimya c tu muache.mangapi ya kifisadi yapo .mnatu tu chosha sana na issue hiyo.tufanye kazi .kama presedent anavyo taka lets join hand
Ina maana Mwakyembe hajui kama haiwezekani ku-Play back mambo ya Richmond. Mimi najua shuleni tulikuwa tunafundishwa jinsi wakoloni walivyowatenda mababu zetu. Jee tulifundishwa kwa lengo la kuurudisha Ukoloni?Hayo yalipita na hakuna namna ya kuyaplay back ili sasa watu wamwone EL ni mt. Clean. Tuchape kazi.