joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,091
- 35,477
Wampeleke mahakama mashaidi wapo akina LEMA, SLAA, LISU, MNYIKA, MDEE NA MBOWE kwani kwa vinywa vyao walisema wana ushahidi wakuprove LOWASA ni fisadi (video zipo YouTube, sijui mtazikataa, manake unafiki ndio asili yenu). Najua upinzani ni wazalendo kama vipi walisaidie taifa, bila kumsahau shahidi mwengine KUBENEA kupitia gazeti lake la MWANAHALISI , kwa miaka minane alikuwa akiandika habari za kiuchunguzi kuhusu ufisadi alioufanya LOWASA na ROSTAM.
Please please waheshimiwa nilio wataja walisaidie taifa