Kiama cha Wafanyakazi waliosafiri Nje ya Nchi chaja

Maofisa wa TAKUKURU walienda baada ya kupewa ruksa na Mkurugenzi wa TAKUKURU
na kikao kilikuwa muhimu huko Botswana sababu hao maofisa walikuwa ni watendaji
wa Regional block SADCC ya taasisi zote za kuzuia rushwa...
na kibali walichoomba waliregemea wangepata in time...walichokifanya ni kuwahi mkutano
since wao ni wahusika wakuu wa mkutano huo...wako secretarieti...na gharama zilikuwa za SADCC sio serikali...

yaliyobaki ni majungu tu ya kitanzania
many thanks mkuu kwa ufafanuzi huu.
 
Maofisa wa TAKUKURU walienda baada ya kupewa ruksa na Mkurugenzi wa TAKUKURU
na kikao kilikuwa muhimu huko Botswana sababu hao maofisa walikuwa ni watendaji
wa Regional block SADCC ya taasisi zote za kuzuia rushwa...
na kibali walichoomba waliregemea wangepata in time...walichokifanya ni kuwahi mkutano
since wao ni wahusika wakuu wa mkutano huo...wako secretarieti...na gharama zilikuwa za SADCC sio serikali...

yaliyobaki ni majungu tu ya kitanzania
Mkuu unayemwambia ana majungu nani? Rais, Katibu Mkuu kiongozi au Msajili wa hazina? Chunga sana hizo kauli zako zitakuponza!!
 
Maofisa wa TAKUKURU walienda baada ya kupewa ruksa na Mkurugenzi wa TAKUKURU
na kikao kilikuwa muhimu huko Botswana sababu hao maofisa walikuwa ni watendaji
wa Regional block SADCC ya taasisi zote za kuzuia rushwa...
na kibali walichoomba waliregemea wangepata in time...walichokifanya ni kuwahi mkutano
since wao ni wahusika wakuu wa mkutano huo...wako secretarieti...na gharama zilikuwa za SADCC sio serikali...

yaliyobaki ni majungu tu ya kitanzania

Na yule katibu Mukhtasi ? A.k.a Sekretari nae alikuwa na umuhimu gani wa kusafiri jamani? NChi ilioza tumwache Magufuli asafishe! wachache walifaidi keki ya TAifa !
 
Na yule katibu Mukhtasi ? A.k.a Sekretari nae alikuwa na umuhimu gani wa kusafiri jamani? NChi ilioza tumwache Magufuli asafishe! wachache walifaidi keki ya TAifa !
katibu muhtasi ni nani hapo? kwani hao SADCC ni wajinga mpaka wamgaramie mtu asiye na sababu? after all kodi yako ingeathirika nini wakati hawatumii pesa za umma?
 
Kwanini wasiweke utaratibu migration wasitoe VISA bila kuwa na barua ya kutoka ofisi ya rais. Au wameondoka kinyemela bila migration kupitia migration?

Mkuu viza inatolewa na ubalozi wa nchi unayokwenda. Labda immigration wawe wanadai kibali cha kusafiri mpakani (airport au border ya ardhini) lakini nayo itakuwa ngumu kwani watakuwa wanawasumbua wasafiri binafsi na wafanyabiashara. Pia hii inaweza kutoa mwanya mwingine wa rushwa
 
hata kama gharama zlikua ni za hao SADC, suala ni kwamba je, uhudhuliaji wao kwenye huo mkutano kunafaida gani kwa taifa le2 au kunahasara gani kwa taifa za wao kutokuhudhuria huo mkutano?, na je, tangu enzi ya mkwere wamehudhuria hyo mikutano mingap? na rushwa walipambana nayo kwa kiwango gan? hv kwa mfano:daktar kumwomba rushwa mgonjwa hv suruhsho lake ni lzma TAKUKURU waende nje ya nchi kutafta njia ya kutatua na kupambana nalo?, mm nadhan hawa wa2mshi ngoja washkishwe adabu kidogo
ni uelewa wako mdogo tu unakusumbua. Tanzania ni mwanachama wa mashirika haya ya kimataifa kama SADCC, UN na kadhalika. hamna aliyewalazimisha kujiunga nayo bali walifanya hivyo kwa hiari yao. na kupewa hizo nafasi kuyatumikia hayo mashirika haimaanishi kwamba wao ni bora zaidi ya wengine bali ni mgawanyo tu wa keki. kuna watu kibao kutoka mataifa mbalimbali wanazitolea macho hizo nafasi. kama vipi tujitoe tu kwenye yao mashirika kupunguza jam sizizo na maana.
kuna umuhimu hapa rais Magufuli na wasaidizi wake waliangalie hili kwa umakini. Tanzania sio kisiwa kilicho sayari ya mass au jupiter ambako hakuna binadamu, tupo kwenye dunia hii hii ambayo na wengine wanaishi. haiwezekani kujitenga nayo hata kidogo
 
Maofisa wa TAKUKURU walienda baada ya kupewa ruksa na Mkurugenzi wa TAKUKURU
na kikao kilikuwa muhimu huko Botswana sababu hao maofisa walikuwa ni watendaji
wa Regional block SADCC ya taasisi zote za kuzuia rushwa...
na kibali walichoomba waliregemea wangepata in time...walichokifanya ni kuwahi mkutano
since wao ni wahusika wakuu wa mkutano huo...wako secretarieti...na gharama zilikuwa za SADCC sio serikali...

yaliyobaki ni majungu tu ya kitanzania
nami nilihisi kuna sababu moja kati ya tatu...
1.Ukaidi
2.Uzembe ama
3.Sababu ya msingi ambayo bado haijawekwa wazi
 
Safiiiii... utakuta hata mhasibu anataka kwenda nje kwa short semina, just kupata per diem.. while hiyo semina iko hapa hapa nchini.. namshauri Rais, AKOMESHE KABISA HIZI SAFARI ZA HOVYO HOVYO... sbb pamoja na amri hii kutolewa bado kuna watu HAWATII... so ni kupiga MARUFUKU KABISAAA... ni wale Employees ambao wanaonekana hawana course zao hapa nchini ndio waende nje ya nchi...
 
Nilihisi kitu kama hiki. Mara zote akili kubwa kuongozwa na akili ndogo ni tatizo sana.

Ila hawa jamaa wa Takukuru walipaswa wawasialine na uongozi wa SADC, na kuwaambia kwamba kuna wasiwasi wasingeweza kuja mkutanoni kwa sababu ya zuio la serikali ya Tanzania kusafiri nje.

Watu wengi wanaofanya kazi na mashirika ya kimataifa wamefanya hivyo pale ambapo vibali vinachelewa. Kinachotokea ni kwamba uongozi wa kimataifa, mfano UN, unawasialiana moja kwa moja na Ikulu na "kuwataka" wawaruhusu mara moja wahusika kusafiri, kwa sababu Tanzania ina commitment kwenye Taasisi kama hizi za UN na SADC, na haiwezi ikawa inaweka mapingamizi yasiyo na msingi pale ambapo Watanzania walioko kwenye secretariat za vyombo hivi wanapohitajika kwenye shughuli za kikazi.

Hapo ndipo Dr Hosea alikosea sana kuwaruhusu waende. Yeye angepiga simu SADC kwa Katibu Mkuu wa SADC (ambaye ni Mtanzania) au hata kwenye ofisi ya Mwenyekiti wa SADC (ambaye ni Raisi Zuma kama sikosei) na kusema samahani huku tunaweza kuwa na tatizo huenda tusiweze kuhudhuria huu mkutano. Baada ya hapo unaacha ngoma ichezwe na wengine wewe unasubiri matokeo.

Haya mambo tuyatizame tu. Unafikiri wewe Dr Magufuli angepata simu kutoka kwa J. Zuma kwamba waachie vijana wako wasafiri wakati forms bado hazijatolewa majibu, si angewakaripia, " Nani kakwambieni kama mumezuiliwa kusafiri?" Wangemwandikia email Sefue (kwa kuweka ushahidi) kumkumbusha tu kuhusu umuhimu wa safari na huku wangewatumia nakala mabosi wao wa SADCC.

Watumishi wote wanataka kusafiri kwa dababu ya faida ya mafao hakuna jengine. Hizo semina na mikutano kila siku inakwendwa na hatuoni tija yoyote katika utendaji. Kutumia matumbo yetu imo ndani ya DNA zetu wa Tanzania. Hatuna moyo wa kutumikia taifa letu au angalau kutimiza wajibu wetu.
 
Haya mambo tuyatizame tu. Unafikiri wewe Dr Magufuli angepata simu kutoka kwa J. Zuma kwamba waachie vijana wako wasafiri wakati forms bado hazijatolewa majibu, si angewakaripia, " Nani kakwambieni kama mumezuiliwa kusafiri?" Wangemwandikia email Sefue (kwa kuweka ushahidi) kumkumbusha tu kuhusu umuhimu wa safari na huku wangewatumia nakala mabosi wao wa SADCC.

Watumishi wote wanataka kusafiri kwa dababu ya faida ya mafao hakuna jengine. Hizo semina na mikutano kila siku inakwendwa na hatuoni tija yoyote katika utendaji. Kutumia matumbo yetu imo ndani ya DNA zetu wa Tanzania. Hatuna moyo wa kutumikia taifa letu au angalau kutimiza wajibu wetu.
Ni sawa na kusema hata serikali haina haja ya ku spend kwenye elimu maana elimu haijasaidia taifa hili kuondokana na umasikini...
Unadhani wote wanaosafiri wanasafiri for money? au wanapata ela za ziada??? ukute safari za mikoani zinalipa kuliko hizo unazodhani ni kitega uchumi...si watumishi wote wanalipiwa na ofisi kwa safari...na donors wanacholipa ni accommodation n transport...sana sana mfuko wako unatoboka ukisema ufanye shopping....
Kila la kheri....
 
Kwanini wasiweke utaratibu migration wasitoe VISA bila kuwa na barua ya kutoka ofisi ya rais. Au wameondoka kinyemela bila migration kupitia migration?
Du,migration wanatoa visa ili niende nikachukue ya Ujerumani kesho.
 
Mkuu viza inatolewa na ubalozi wa nchi unayokwenda. Labda immigration wawe wanadai kibali cha kusafiri mpakani (airport au border ya ardhini) lakini nayo itakuwa ngumu kwani watakuwa wanawasumbua wasafiri binafsi na wafanyabiashara. Pia hii inaweza kutoa mwanya mwingine wa rushwa
Hivi kwanza watajuaje kuwa mimi ni mtumishi wa umma na yule si mtumishi wa umma ili kuwazuia uwanja wa ndege?
 
Sijui kwanini watu wanafurahia matatizo ya wenzao. Ukiona hivyo ujue una roho ya kishetani !!
Akiumia mwenzio wewe unapata amani?
 
Nilihisi kitu kama hiki. Mara zote akili kubwa kuongozwa na akili ndogo ni tatizo sana.

Ila hawa jamaa wa Takukuru walipaswa wawasialine na uongozi wa SADC, na kuwaambia kwamba kuna wasiwasi wasingeweza kuja mkutanoni kwa sababu ya zuio la serikali ya Tanzania kusafiri nje.

Watu wengi wanaofanya kazi na mashirika ya kimataifa wamefanya hivyo pale ambapo vibali vinachelewa. Kinachotokea ni kwamba uongozi wa kimataifa, mfano UN, unawasialiana moja kwa moja na Ikulu na "kuwataka" wawaruhusu mara moja wahusika kusafiri, kwa sababu Tanzania ina commitment kwenye Taasisi kama hizi za UN na SADC, na haiwezi ikawa inaweka mapingamizi yasiyo na msingi pale ambapo Watanzania walioko kwenye secretariat za vyombo hivi wanapohitajika kwenye shughuli za kikazi.

Hapo ndipo Dr Hosea alikosea sana kuwaruhusu waende. Yeye angepiga simu SADC kwa Katibu Mkuu wa SADC (ambaye ni Mtanzania) au hata kwenye ofisi ya Mwenyekiti wa SADC (ambaye ni Raisi Zuma kama sikosei) na kusema samahani huku tunaweza kuwa na tatizo huenda tusiweze kuhudhuria huu mkutano. Baada ya hapo unaacha ngoma ichezwe na wengine wewe unasubiri matokeo.

sasa najiuliza kosa ni la watumishi au Mkurugenzi mkuu??
 
Rais Magufuli ndiye aliyetoa maagizokuwa watumishi wasiende nje bila ya kibali chake au kibali cha katibu mkuu sasa nani mpumbavu kama mtu amekaidi agizo la rais?
Na inshu iliyopo hapo si kuzuia safari bali wapewe vibali kwa utaratibu rasmi alio uweka huyu muheshimiwa mpya aliye ingia ikulu na sio kuish kwa mazoea na yeye na ikulu yake ndio wanao jua sababu za kwa nn wamezuia hizo safari , na si kwamba hawajui kuwa kuna safari hazigharimiwi na serikali, wanalijua vizurii sana, sasa sisi vijitu vidogovidogo tusio jua lolote tunaomgozwa na hisia tu,tunajifanya tunakosoa!!!duuuu watanzania bwana,
hujajua maana ya vipaumbele wewe?au ndio walewale, eleza hapa pembejeo zimepelekwa wapi na nani amepewa,kama hulimi wala hufugi huwezi jua ninachozungumza hapa.
Na inshu iliyopo hapo si kuzuia safari bali wapewe vibali kwa utaratibu rasmi alio uweka huyu muheshimiwa mpya aliye ingia ikulu na sio kuish kwa mazoea na yeye na ikulu yake ndio wanao jua sababu za kwa nn wamezuia hizo safari , na si kwamba hawajui kuwa kuna safari hazigharimiwi na serikali, wanalijua vizurii sana, sasa sisi vijitu vidogovidogo tusio jua lolote tunaomgozwa na hisia tu,tunajifanya tunakosoa!!!duuuu watanzania bwana,
 
Tufikir iv rais ataratib vibali vya kwenda nje ya nchi nionavyo rais atapoteza mda mwing maana maombi yatakua mengi sana
Na inshu iliyopo hapo si kuzuia safari bali wapewe vibali kwa utaratibu rasmi alio uweka huyu muheshimiwa mpya aliye ingia ikulu na sio kuish kwa mazoea na yeye na ikulu yake ndio wanao jua sababu za kwa nn wamezuia hizo safari , na si kwamba hawajui kuwa kuna safari hazigharimiwi na serikali, wanalijua vizurii sana, sasa sisi vijitu vidogovidogo tusio jua lolote tunaomgozwa na hisia tu,tunajifanya tunakosoa!!!duuuu watanzania bwana,
 
sasa najiuliza kosa ni la watumishi au Mkurugenzi mkuu??
Na inshu iliyopo hapo si kuzuia safari bali wapewe vibali kwa utaratibu rasmi alio uweka huyu muheshimiwa mpya aliye ingia ikulu na sio kuish kwa mazoea na yeye na ikulu yake ndio wanao jua sababu za kwa nn wamezuia hizo safari , na si kwamba hawajui kuwa kuna safari hazigharimiwi na serikali, wanalijua vizurii sana, sasa sisi vijitu vidogovidogo tusio jua lolote tunaomgozwa na hisia tu,tunajifanya tunakosoa!!!duuuu watanzania bwana,
 
Sijui kwanini watu wanafurahia matatizo ya wenzao. Ukiona hivyo ujue una roho ya kishetani !!
Akiumia mwenzio wewe unapata amani?
Na inshu iliyopo hapo si kuzuia safari bali wapewe vibali kwa utaratibu rasmi alio uweka huyu muheshimiwa mpya aliye ingia ikulu na sio kuish kwa mazoea na yeye na ikulu yake ndio wanao jua sababu za kwa nn wamezuia hizo safari , na si kwamba hawajui kuwa kuna safari hazigharimiwi na serikali, wanalijua vizurii sana, sasa sisi vijitu vidogovidogo tusio jua lolote tunaomgozwa na hisia tu,tunajifanya tunakosoa!!!duuuu watanzania bwana,
 
Back
Top Bottom