KERO Kero ya usafiri wa Daladala wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mimi ni dereva wilayani rombo imetokea kero ya askari polisi kitengo cha usalama barabarani kukamata madereva wasio na uhakiki wa leseni wanakamata gari wanapeleka kituoni kitu kinachosababisha usumbufu kwa abiria na wasafiri wanaotoka na kuingia wilayani rombo....

Ninaomba mamlaka husika ziangalie hili suala linalosababisha kero kubwa kwa wasafiri kipindi hiki cha watu wanataka kurudi makazini kwao...

R.T.O tunaomba tusaidie kwenye hili waweke utaratibu mzuri wa uhakiki kwani ata uko mkoani wanakohakiki jam ni kubwa pia usafir wa kwenda ni shida
 
Mimi ni dereva wilayani rombo imetokea kero ya askari polisi kitengo cha usalama barabarani kukamata madereva wasio na uhakiki wa leseni wanakamata gari wanapeleka kituoni kitu kinachosababisha usumbufu kwa abiria na wasafiri wanaotoka na kuingia wilayani rombo....

Ninaomba mamlaka husika ziangalie hili suala linalosababisha kero kubwa kwa wasafiri kipindi hiki cha watu wanataka kurudi makazini kwao...

R.T.O tunaomba tusaidie kwenye hili waweke utaratibu mzuri wa uhakiki kwani ata uko mkoani wanakohakiki jam ni kubwa pia usafir wa kwenda ni shida
Lakini inaweza kuwa baada ya skuukuu kiwi inatafutwa kwa tochi,ama jazio la mapato ni mihimu baada ya sehemu kuliwa msimi wa skukuu.Hivyo wakati mwingine changia kizalendo tuuu.
 
Back
Top Bottom