Kauli ya Magufuli kuhusu Makonda ni tata kama zile zilizotangulia

Mkuu, hawa akina MPK bado wanaishi gizani. Wanadhani Magufuli ana roho mbaya kiasi kwamba hawezi kumpongeza anayefanya vema

Issue hapa siyo kupongeza, kiutawala siyo sahihi kumwambia mtu unaenda kumpandisha mtu cheo au kumshusha. Inaweza ikamfanya kuharibu kazi ama kwa kuonyesha anafaa zaidi au akakata tamaa
 
hv jana katka wale wageni nasikia na mshenga gwajma alikuepo, vp rafiki yake lowasa hakuepo kwl?
Lowasa asingeweza kwenda. Yale madongo yaliyokuwa yanapigwa na Magufuli walikuwa wanalengwa mawakala wake
 
Mtoa mada ni mtu mwenye chuki ya ndani kwa ndani ambayo usipokuwa makini itakuletea matatizo ya kiafya. Magufuli alisema Makonda hata akipandishwa cheo watu wasimuonee wivu anastahili lakini hakumwahidi atampandisha. Kuweni wazalendo acheni roho mbaya.
 
Kinachokusumbua ni ukuwadi kwa Reginald Mengi. Nyie wachagga mnakera sana. Sijui mmelishwa nini? Yaani maadam Muhongo alikuwa na bifu na Mengi basi wachagga wote mmehamia kwa Reginald. Huo ni upuuzi wa hali ya juu sana. Nyie ndo mmedidimiza uchumi wa nchi mpaka sasa Rais anapata kazi kubwa kuurekebisha

Mi hata salamu ya kichaga siijui na najiuliza hapa Mengi, Muhongo na uchaga vinaingiaje? Au umepuliza asubuhi?
 
Issue hapa siyo kupongeza, kiutawala siyo sahihi kumwambia mtu unaenda kumpandisha mtu cheo au kumshusha. Inaweza ikamfanya kuharibu kazi ama kwa kuonyesha anafaa zaidi au akakata tamaa
Ndo maana tunasema kuwa unasumbuliwa na wivu wa kike. Makonda kamshawishi Rais na yeye hakuficha hisia zake. Hakuna cha siri hapo. Ndo maana amewaambia wengine kuwa wajikite kutatua kero za wananchi. Watakaofanya vizuri atawateua ila wale watakaoboronga atawatupa jalalani
 
Mtoa mada ni mtu mwenye chuki ya ndani kwa ndani ambayo usipokuwa makini itakuletea matatizo ya kiafya. Magufuli alisema Makonda hata akipandishwa cheo watu wasimuonee wivu anastahili lakini hakumwahidi atampandisha. Kuweni wazalendo acheni roho mbaya.

Chuki ya nini sasa? Mi siwezi kupewa cheo cha Makonda hata akikikosa. Tunachojadili ni muendelezo wa kauli tata za kiongozi wetu
 
.... SWORN IN HATERS AT THEIR BEST!
Dudes, you have no choice, that's your mofo prezidaa, constitutionally! No option.
Nikweli lakini inatakiwa aongoze kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizowekwa. Hakuna anayempinga, ila lazima pia ajue anawaongoza watu na sio anawatawala
 
Halafu kuna kitu hawajui. Hawafahamu kuwa Makonda ndiye aliyemshawishi Magufuli amteue Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea mwenza na hatimaye Makamu wa Rais. Hilo Watanzania wengi wamesahau. Ningemuona Rais ni mtu wa ajabu sana kumuacha mtu ambaye ana maono kama Makonda
Huyo makamu ana impact gani kwa mfano? angalau PM tunamuona kwenye majipu
 
Jambo linalonishangaza kwa vijana wenzangu ni kujadili vitu visivyo shughulisha akili. Tuwe great thinkers kwa kujadili issue baraka ya individuals kwenye mambo yao binafsi.

Tutalifanyia nini Taifa letu?
 
Magufuli ni msema ukweli unafiki hakuna , kati ya ma DC wote makonda amejitahidi kusolve matatizo ya wananchi ,

Sifa mwacheni achukue
Acheni wivu wa kike
 
Halafu kuna kitu hawajui. Hawafahamu kuwa Makonda ndiye aliyemshawishi Magufuli amteue Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea mwenza na hatimaye Makamu wa Rais. Hilo Watanzania wengi wamesahau. Ningemuona Rais ni mtu wa ajabu sana kumuacha mtu ambaye ana maono kama Makonda
Kwa lipi la maana lililotokana na 'ushauri' wake huo?
Anyways,pande zote acheni maneno. Muda unasogea, and sooner than later maneno hayatahitajika maana mambo yatakuwa yanajionyesha hadharani.
 
Back
Top Bottom