ROOM 47
JF-Expert Member
- May 23, 2022
- 2,301
- 7,450
Si unajua mizimu ya kwetu mikaliUkiingia unatokaje kwa mfano!
Si unajua mizimu ya kwetu mikaliUkiingia unatokaje kwa mfano!
Twende tukashindane....🧎Si unajua mizimu ya kwetu mikali
Ntakuja soon ngoja nijipange na maji ya mwoposaTwende tukashindane....🧎
HayaNtakuja soon ngoja nijipange na maji ya mwoposa
G 9tHaya
And you too!!!G 9t
Hii itukumbushe kuwa hii Dunia tunapita, na itusaidie kupunguza kama sio kuacha kabisa kiburi na kujipa umuhimu.
Waliowahi kuishi na kuondoka ni wengi zaidi ya waliopo leo, na kila mmoja kwa wakati wake alikuwa na umuhimu wake.
Hivyo nafasi ya wewe kuishi leo isikufanye ufikiri kuwa ni ya kipekee sana, utaondoka siku moja na watakuja wengine. Maisha yataendelea vizuri tu bila uwepo wako.
Hii nimekumbushwa na huyu kijana wangu mkubwa, nami nikaona niwakumbushe.
Ncha Kali.
Umeacha kunywa pombe kama bibi alivyotaka?Inatia sana huzuni.
Umenikumbusha kisa cha marehemu bibi yangu aliyefariki 2015.
Alifariki Jumatatu saa 2 asubuhi.
Jana yake Jumapili nilikesha Coco beach, piga sana pombe.
Inafika asubuhi saa 1, napigiwa simu bibi ananiita.
Kufika pale, kila mtu ananiambia bibi yako yuko hoi, anakuita.
Nafika chumbani na pombe pombe zangu bibi akaniambia nimpakate, nikampakata.
Akasema unanuka pombe na kwanini jana hujaenda kanisani.
Aliniambia maneno 3 tu.
Moja, acha pombe,
Pili, usiache kwenda kanisani na jambo la 3 ni siri yangu.
Baada ya pale akanipa funguo kisha akaniambia nakukabidhi huu funguo, tafuta mlango unaoingia funguo hii.
Baada ya pale nikaita watu huku nimempakata.
Akatabasamu, akafumba macho mwenyewe kisha akakata roho.
Aloooo.....sitasahau.
Bibi yangu alikuwa kipenzi changu sana sana sana.
Hvi mpaka 2080
Kuna mtu humu atakua ametoboa kweli.....
Mi nikiwazaga hivo tuu naishiwa nguvu
Acha kabisa.Umeacha kunywa pombe kama bibi alivyotaka?
Hiyo siri ya Tatu ni "Kwetu Njaa".Daaah
Duuh pole sana aiseee
1-Pombe
2-Ibada
3-..............
je uliupata huo mlango?Inatia sana huzuni.
Umenikumbusha kisa cha marehemu bibi yangu aliyefariki 2015.
Alifariki Jumatatu saa 2 asubuhi.
Jana yake Jumapili nilikesha Coco beach, piga sana pombe.
Inafika asubuhi saa 1, napigiwa simu bibi ananiita.
Kufika pale, kila mtu ananiambia bibi yako yuko hoi, anakuita.
Nafika chumbani na pombe pombe zangu bibi akaniambia nimpakate, nikampakata.
Akasema unanuka pombe na kwanini jana hujaenda kanisani.
Aliniambia maneno 3 tu.
Moja, acha pombe,
Pili, usiache kwenda kanisani na jambo la 3 ni siri yangu.
Baada ya pale akanipa funguo kisha akaniambia nakukabidhi huu funguo, tafuta mlango unaoingia funguo hii.
Baada ya pale nikaita watu huku nimempakata.
Akatabasamu, akafumba macho mwenyewe kisha akakata roho.
Aloooo.....sitasahau.
Bibi yangu alikuwa kipenzi changu sana sana sana.
Kama alisema uache ni kweli umevunja masharti.Acha kabisa.
Sijajua ni nini?
Huwa nakunywa mara moja moja.
Je, nimevunja masharti?
Sasa hiyo mara moja yenyewe saza niulize inakuwaje..😄Kama alisema uache ni kweli umevunja masharti.
Angesema upunguze ungekuwa upo upo sahihi.
Ila siyo mbaya hiyo ya mara moja moja.
Ukifa niachie komwe hilo.Ndo ivo
Nimepunguza, sio kama kipindi kile.je uliupata huo mlango?
na pombe uliacha au ndio sote tutakufa?
Hata huko anapoenda ataishi kwa KUTAPATAPA vile vile.Nimeuguza mtu mpaka kanifia mikononi.
Alikuwa anatapatapa huku anasema anaogopa sana, anasema eti kuna watu wako kwa mbali anawaona wanamsubiri.
Ukisha kufa wala hutaogopo Madame B. Ukiona unaogopa kufa jua bado uko hai na akili yako iko timamu.Ila tuacheni utani.
Mie mwenzenu naogopa sana kufa.
Mimi naliaga hadi kwikwi jamani 😭😭😭Hvi mpaka 2080
Kuna mtu humu atakua ametoboa kweli.....
Mi nikiwazaga hivo tuu naishiwa nguvu 🤔🤔🤔🤔🙌🙌🙌🙌
Rafiki sina mawasiliano na wewe kuna kipindi nilifikia na kulala maeneo yako ya kujidai. Ningekuwa na mwawasiliano ningekutafutaIla tuacheni utani.
Mie mwenzenu naogopa sana kufa.