zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 9,454
- 15,357
Kibwengu wewe umeanza kua kibwenguYuko sahihi kabisa
Kibwengu wewe umeanza kua kibwenguYuko sahihi kabisa
Wafute Alahu Akbaru waseme Samia Akbaru? Acheni undeziNaunga Mkono hoja
Kumbe na wewe, hazimo!!Yuko sahihi kabisa
Kwa hio maspika yatakua yanalia Samia Akbaru Samia Akbaru au sio? Huu sio ujinga ni nini?Nmesema Mahali kua, Waislam wenye Elimu Dunia, wanatanguliza Dini.
Mmeona Sasa !!
Lissu ni mpango wa munguWakuu,
Sitaki kuongeza maneno mengi maana naweza kuharibu uzi huu.
Ila huyu anaitwa Abdulrahim Hamidu ni Katibu Mkuu wa CCM (W) Kondoa.
Uchawa kwenye nchi yetu umefika kwenye viwango vya juu sana.
Yaani kama Taifa inabidi Harvard waje hapa Bongo, Maprofessor wao waje kufanya thesis kuhusu hili suala la Uchawa na waandikie dissertation.
Yaan Waislamu wote sasa hivi Mungu wao ndio huyo wanaemuabudu? Huu km sio ujinga ni nini?Utake usitake kutoka leo ukiingia Msikitini kama hujamtaja sa100 kwenye swala yako wewe moja kwa moja siyo muislam.
Ccm hao siyo mimi.
Ni ujinga kiwango Cha SGRKwa hio maspika yatakua yanalia Samia Akbaru Samia Akbaru au sio? Huu sio ujinga ni nini?
Uchawa upo kila nchi, sio, bongo tu, ukiangalia vituko vya wateuzi wa Trump, utashangaa, jinsi, wanavyomsifu kwa kila kitu, haya, ya ccm wala hayatushangazi, tunatawaliwa na vibaka, majizi, dawa ya Hawa ni kuwafunga mawe shingoni na kuwatosa kwenye maji!Wakuu,
Sitaki kuongeza maneno mengi maana naweza kuharibu uzi huu.
Ila huyu anaitwa Abdulrahim Hamidu ni Katibu Mkuu wa CCM (W) Kondoa.
Uchawa kwenye nchi yetu umefika kwenye viwango vya juu sana.
Yaani kama Taifa inabidi Harvard waje hapa Bongo, Maprofessor wao waje kufanya thesis kuhusu hili suala la Uchawa na waandikie dissertation.
Naunga mkono hoja yakoWafute Alahu Akbaru waseme Samia Akbaru? Acheni undezi
Kwamba mwenye utukufu wake halisi akae pembeni kwanza.Wakuu,
Sitaki kuongeza maneno mengi maana naweza kuharibu uzi huu.
Ila huyu anaitwa Abdulrahim Hamidu ni Katibu Mkuu wa CCM (W) Kondoa.
Uchawa kwenye nchi yetu umefika kwenye viwango vya juu sana.
Yaani kama Taifa inabidi Harvard waje hapa Bongo, Maprofessor wao waje kufanya thesis kuhusu hili suala la Uchawa na waandikie dissertation.