Pre GE2025 Katibu wa Wilaya CCM Kondoa: Muislam wa kweli huwezi kwenda kuswali bila kumtaja Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
2,093
5,587
Wakuu,

Sitaki kuongeza maneno mengi maana naweza kuharibu uzi huu.

Ila huyu anaitwa Abdulrahim Hamidu ni Katibu Mkuu wa CCM (W) Kondoa.

Uchawa kwenye nchi yetu umefika kwenye viwango vya juu sana.

Yaani kama Taifa inabidi Harvard waje hapa Bongo, Maprofessor wao waje kufanya thesis kuhusu hili suala la Uchawa na waandikie dissertation.

Kuelekea kwenye Uchaguzi tutaona mengi

Soma pia: Katibu CCM, Iringa: Wenezi acheni kuwa Machawa na kubeba Mabegi ya Wagombea


 
Wakuu,

Sitaki kuongeza maneno mengi maana naweza kuharibu uzi huu.

Ila huyu anaitwa Abdulrahim Hamidu ni Katibu Mkuu wa CCM (W) Kondoa.

Uchawa kwenye nchi yetu umefika kwenye viwango vya juu sana.

Yaani kama Taifa inabidi Harvard waje hapa Bongo, Maprofessor wao waje kufanya thesis kuhusu hili suala la Uchawa na waandikie dissertation.


Nmesema Mahali kua, Waislam wenye Elimu Dunia, wanatanguliza Dini.

Mmeona Sasa !!
 
Wakuu,

Sitaki kuongeza maneno mengi maana naweza kuharibu uzi huu.

Ila huyu anaitwa Abdulrahim Hamidu ni Katibu Mkuu wa CCM (W) Kondoa.

Uchawa kwenye nchi yetu umefika kwenye viwango vya juu sana.

Yaani kama Taifa inabidi Harvard waje hapa Bongo, Maprofessor wao waje kufanya thesis kuhusu hili suala la Uchawa na waandikie dissertation.


Oooh nchi yangu njaa imezidi
 
Wakuu,

Sitaki kuongeza maneno mengi maana naweza kuharibu uzi huu.

Ila huyu anaitwa Abdulrahim Hamidu ni Katibu Mkuu wa CCM (W) Kondoa.

Uchawa kwenye nchi yetu umefika kwenye viwango vya juu sana.

Yaani kama Taifa inabidi Harvard waje hapa Bongo, Maprofessor wao waje kufanya thesis kuhusu hili suala la Uchawa na waandikie dissertation.


Ana khiari ya kusema hivyo.
 
Aisee nchi hii inahitaji ukombiz sasa hatuwez kwenda kwa stail hii kwa kuongezea kwa mtoa maada tafiti za kusifia yaan flattering kweny politics zimefanyika na zinafanyika sana hasa kwa wenzetu kwa hatua zaidi nenda google scholar andika political flattering zitakuaja articles za kutosha ila nadhan Tz kuna gap linahitajika liwe covered up, niwakaribishe wale wa political science kweny PM yangu tuifanye hii study kwa kushirikiana maan mim political science sio my area of study hivyo nikipata mtu tukaongoza a natumai tutakua na findings na recommendations nzuri.
 
Aisee nchi hii inahitaji ukombiz sasa hatuwez kwenda kwa stail hii kwa kuongezea kwa mtoa maada tafiti za kusifia yaan flattering kweny politics zimefanyika na zinafanyika sana hasa kwa wenzetu kwa hatua zaidi nenda google scholar andika political flattering zitakuaja articles za kutosha ila nadhan Tz kuna gap linahitajika liwe covered up, niwakaribishe wale wa political science kweny PM yangu tuifanye hii study kwa kushirikiana maan mim political science sio my area of study hivyo nikipata mtu tukaongoza a natumai tutakua na findings na recommendations nzuri.
We jikomboe kwenye matatizo yako ya umaskini, kila mtu ana hiari ukizingatia ni katibu wa CCM, we kinakukera nini, usitake kila mtu aseme kinachokufurahisha wewe. Tatizo lenu nyie nyumbu mnataka kulazimisha kila mtanzania afikiri, aamini km wewe.
 
Wengine wanashuka katika mnakasha huu bila kusikiliza video. Mwisho wanaingia mkenge kwa jazba
 
Back
Top Bottom