Katibu mwenezi wa ACT Wazalendo wa Mkoa wa Kigoma ajiunga CHADEMA

Katibu mwenezi wa act wazalendo mkoani kigoma amekihama chama chake na kujiunga na chadema amesema chama hicho hakina lengo la kuleta ukombozi kwa watanzania ila kimekuwa kibaraka kwa ccm toka kianzishwe amesema chadema pekee ndoo chama chenye lengo la kulete maendeleo kwa wananchi.
4faaeacd057ed73a57a986b25a953076.jpg
CC Zitto
 
Katibu mwenezi wa act wazalendo mkoani kigoma amekihama chama chake na kujiunga na chadema amesema chama hicho hakina lengo la kuleta ukombozi kwa watanzania ila kimekuwa kibaraka kwa ccm toka kianzishwe amesema chadema pekee ndoo chama chenye lengo la kulete maendeleo kwa wananchi.
4faaeacd057ed73a57a986b25a953076.jpg


Who cares?
 
Zitto atajikuta akiwa mwenyewe tu kwani kasi ya viongozi/wanachama kukihama chama imekuwa si ya kawaida.
 
Back
Top Bottom