Katibu Mkuu wa CCM atajumuika kwenye Ibada ya kitaifa ya kuwaaga wanafunzi waliopata ajali

Ataonekana pale lkn atakuwa kazungukwa na "vijana" kibao, hatakuwa huru to that extent.
Kama vipi muacheni aongee na wanahabari. Hiyo ya kesho ni zuga tu.
sio ajabu yule waziri aliyevamia press conference ya roma mkatoliki akawepo.
NOT TO THAT EXTENT!
 
alitumwa kwenda india kwa matibabu kimya kimya,
akatibiwa kimya kimya,
akarejea nchini kimya kimya,
chama kikamwambia apumzike siasa nyumbani kimya kimya.
tumpe pole kimya kimya.
NI KIMYA KIMYA TU!
 
Kwann kinana toka aumwe hatujaona kiongozi/viongozi wakimtembelea kumjulia hali ?
Unapoona mtu hata hajui anaumwa hadi anatumwa akauguzwe hasa baada ya kukutana na Julius Malema wa CCM basi ujue panapofuka moshi huficha moto.
Mgonjwa wa kushurutishwa kuuguzwa atatembelewa na nani?
 
Katibu Mkuu wa CCM, ndugu Abraham Kinana atajumuika kwenye ibada ya kitaifa ya kuwaaga wanafunzi waliopata ajali.

Ataonekana kwa mara ya kwanza tokea Mh. Rais kusema amemtuma kwenye matibabu nchini India na kusababisha sitofahamu kwa wananchi.
Jina lake sio Abraham Kinana ni Abdulrahman Kinana. Abraham Kinana labda ni katibu Wa Bavichwa.
 
sio ajabu yule waziri aliyevamia press conference ya roma mkatoliki akawepo.
NOT TO THAT EXTENT!
Akose achekwe? Hii ni nafasi ya kujijenga kisiasa na 2025 mbona ni kesho tu hata kama Mnikulu humshushua kila kukicha mwenzetu ni kheri afie kwenye kidonda hata kama kinabubujika usaha kibao!
 
Unapoona mtu hata hajui anaumwa hadi anatumwa akauguzwe hasa baada ya kukutana na Julius Malema wa CCM basi ujue panapofuka moshi huficha moto.
Mgonjwa wa kushurutishwa kuuguzwa atatembelewa na nani?
Hivi una uhakika wa haya unayoandika? Ni nani ameshurutishwa kuumwa? yani wewe ni laana kwa Tanzania. You are very poisonous to the nation.
 
Hivi una uhakika wa haya unayoandika? Ni nani ameshurutishwa kuumwa? yani wewe ni laana kwa Tanzania. You are very poisonous to the nation.
Unaposema nimemtuma si ni maagizo hayo? Sasa ukilaza wako unanihusu nini mimi? Poisonous is your own ignorance in fact it is more than poisonous it is terminal illness
 
alitumwa kwenda india kwa matibabu kimya kimya,
akatibiwa kimya kimya,
akarejea nchini kimya kimya,
chama kikamwambia apumzike siasa nyumbani kimya kimya.
tumpe pole kimya kimya.
NI KIMYA KIMYA TU!
Kama kweli hata huko India alienda kwani wanaouguzwa kule kwenye eneo letu Apollo walidai huyo mheshimiwa hata hajawahi kuwajua khali achilia mbali kutibiwa labda iwepo Apollo nambari one ya vigogo wa ccm
 
Back
Top Bottom