Katibu Mkuu wa BAVICHA amshangaa Kamanda wa polisi Dar Jumanne Murilo!

Izia maji

JF-Expert Member
Dec 1, 2021
3,078
5,522
Katibu Mkuu wa BAVICHA akishiriki katika kipindi cha Malumbano ya hoja ITV jana alimshangaa Jumanne Murilo kutishia wananchi na kupiga marufuku kwenda kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa Chadema Tundu Lissu katika mahakama ya Kisutu.

Katibu Mkuu huyo amehoji Kamanda Murilo ametumia sheria gani? Amemtaka Murilo ajitokeze hadharani kueleza sababu ya kutaka kuwazuia wananchi kwenda kumuona na kusikiliza mwenendo wa mashtaka wa mpendwa wao. Aidha amelitaka Jeshi la polisi kujitenga na mambo ya kisiasa na kuanzisha vurugu.
 
Nilivyolisikia lile tangazo, nilijiukiza sana, hivi kweli jeshi la Polisi halina watu wenye akili, maarifa na upeo wa mambo? Inakuwaje mtu kama Muliro, mtu ambaye inaonekana hana uelewa kabisa wa taratibu za mahakama, kuwa na nafasi kubwa kiasi hicho ndani ya jeshi la polisi?

Court hearing ni public event, mtu yeyote anaruhusiwa kwenda kusikiliza kesi. Atazuiwa kuingia ukumbini kwa sababu tu ya ukosefu wa nafasi. Inapobidi, watu wanaweza kuwekewa hata screens nje ya ukumbi wa mahakama ili kushuhudia mwenendo wa kesi. Sasa huyu Muliro, anaropoka tu, bila kujitambua.
 
Nilivyolisikia lile tangazo, nilijiukiza sana, hivi kweli jeshi la Polisi halina watu wenye akili, maarifa na upeo wa mambo? Inakuwaje mtu kama Muliro, mtu ambaye inaonekana hana uelewa kabisa wa taratibu za mahakama, kuwa na nafasi kubwa kiasi hicho ndani ya jeshi la polisi?

Court hearing ni public event, mtu yeyote anaruhusiwa kwenda kusikiliza kesi. Atazuiwa kuingia ukumbini kwa sababu tu ya ukosefu wa nafasi. Inapobidi, watu wanaweza kuwekewa hata screens nje ya ukumbi wa mahakama ili kushuhudia mwenendo wa kesi. Sasa huyu Muliro, anaropoka tu, bila kujitambua.
Simbachawene aliwahi kusema Serikali inapendelea kuajiri failures katika Jeshi la polisi kwa sababu wana utii kulinganisha na waliofaulu ambao mara nyingi huhoji amri wanazopewa!
 
Simbachawene aliwahi kusema Serikali inapendelea kuajiri failures katika Jeshi la polisi kwa sababu wana utii kulinganisha na waliofaulu ambao mara nyingi huhoji amri wanazopewa!

Na akaongeza kuwa huwezi kumpeleka aliyefaulu vizuri masomo yake, kwenda kulinda usiku bank!!

Hivyo alipeleka ujumbe wa jumla kuwa Upolisi ni kazi ya wasio na akili.
 
Katibu Mkuu wa BAVICHA akishiriki katika kipindi cha Malumbano ya hoja ITV jana alimshangaa Jumanne Murilo kutishia wananchi na kupiga marufuku kwenda kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa Chadema Tundu Lissu katika mahakama ya Kisutu.

Katibu Mkuu huyo amehoji Kamanda Murilo ametumia sheria gani? Amemtaka Murilo ajitokeze hadharani kueleza sababu ya kutaka kuwazuia wananchi kwenda kumuona na kusikiliza mwenendo wa mashtaka wa mpendwa wao. Aidha amelitaka Jeshi la polisi kujitenga na mambo ya kisiasa na kuanzisha vurugu.
YULE MUHA HANA AKILI
 
Muliro ni failure kabisaa anaonekana hajuhi chochote kimuonekano.huyu anapaswa kuwa kwao huko analima majaruba ila kwenye nchii iliyofeli ndo utakuta eti naye ni boss.
 
Nilivyolisikia lile tangazo, nilijiukiza sana, hivi kweli jeshi la Polisi halina watu wenye akili, maarifa na upeo wa mambo? Inakuwaje mtu kama Muliro, mtu ambaye inaonekana hana uelewa kabisa wa taratibu za mahakama, kuwa na nafasi kubwa kiasi hicho ndani ya jeshi la polisi?

Court hearing ni public event, mtu yeyote anaruhusiwa kwenda kusikiliza kesi. Atazuiwa kuingia ukumbini kwa sababu tu ya ukosefu wa nafasi. Inapobidi, watu wanaweza kuwekewa hata screens nje ya ukumbi wa mahakama ili kushuhudia mwenendo wa kesi. Sasa huyu Muliro, anaropoka tu, bila kujitambua.
Watendaji wajinga wanateuliwa na wanasiasa wajinga
 
Katibu Mkuu wa BAVICHA akishiriki katika kipindi cha Malumbano ya hoja ITV jana alimshangaa Jumanne Murilo kutishia wananchi na kupiga marufuku kwenda kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa Chadema Tundu Lissu katika mahakama ya Kisutu.

Katibu Mkuu huyo amehoji Kamanda Murilo ametumia sheria gani? Amemtaka Murilo ajitokeze hadharani kueleza sababu ya kutaka kuwazuia wananchi kwenda kumuona na kusikiliza mwenendo wa mashtaka wa mpendwa wao. Aidha amelitaka Jeshi la polisi kujitenga na mambo ya kisiasa na kuanzisha vurugu.
Hawa makamanda wa jeshi la polisi wengi wao ni makada watiifu wa CCM
Ukichanganya na u form iv failure, unapata kitu kama Muliro.
 
Back
Top Bottom