kodi ishuu eefuta hii asiione samia na mwigulu.
We hamna wewe Balaa la Mbagala haulijui wewe.Gongo la mboto inawatu
Hahaha mzee wa Tozo achelewi huyo kuleta tozo ya kila kichwa cha mbagara kilipe tozo.futa hii asiione samia na mwigulu.
Kwanini mbagara namba nyingine mkuu weka sababu tuelimike.Mbagala namba nyingine aisee..
Gomsi umefika?Mbagala ni hatari
Gomsi umefika?
Yaani kwanza kule unakuta nyumba moja, ya kupanga, ina kaya 6.Kwanini mbagara namba nyingine mkuu weka sababu tuelimike.
Hapo ujaigusa kitunda,kinyantila huko,mombasa kwa diwani,moshi bar,kwa mkolemba na bomba mbili....nikianza na route za magari tu
GOMZ-POSTA-KIGAMBONI-tata na eicher.
GOMZ-MBUSHO-tata na eicher
GOMZ-MASAKI-tata na eicher
hizo route zote rush hours magari yanajaa sana,
bado sijaweka train,pugu posta.
bado gari ndogo coaster z buguruni,segerea,kawe route ndefu nk.
gongo la mboto ina watu aisee.
Uko gomsi sehemu gan?Mwaka wa 10 huu mjomba. Mbagala kuna watu wengi sana per unit area ukilinganisha na Gongo la Mboto
Uko gomsi sehemu gan?
Basi huijui goms vizuri mkuu amini kwambaa.Sikai Gomzi kwa sasa.
Hahahaha weka sababu we chawa wa mama samia kwanini mbagara ina nyomi kuliko Gongo la mbotoMbagala ni kubwa kuliko Dar