MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,656
- 7,573
Wakuu mambo vipi?
Nawasogezea mada hapo ni hivi kati ya Gongo la mboto (Goms) na Mbagala(Mbajara in mateja voice) je ni sehemu gani ina watu(nyomi) wengi kuliko mwenzie ukija na hoja yako weka na sababu.
Binafsi na naanza na Mosi kusema Gongo la mboto ina watu wengi kuliko Mbagala kwa sababu Gongo la mboto kuna treni la mwakyembe ambalo lililetwa naamin linabeba sio chini ya watu buku au zaidi kwa tripu moja na kwa siku linapiga tripu 3 asubuhi na tripu 3 jioni ila pamoja na hivyo bado daladala za kkoo na posta zinazoenda Gongo la mboto zanapiga kazi kama kawaida wakati mbagara majuzi Mwendokasi wamefanya majaribio madaladala wameeanza kulia kulia abiria hakuna.
Mbili Mbagala wengi sio wakazi wa pale wengi wanatoka mikoa ya kusini kuja kufanya biashara na kutawanyika makwao wakati Gomsi ni makazi ya watu na Gari za Mbagala kwenda gomsi jioni hazikamatiki.
Yote kwa yote kwenye madaladala kuna vituko na vimbwangwa sana.
Nawasilisha.
Nawasogezea mada hapo ni hivi kati ya Gongo la mboto (Goms) na Mbagala(Mbajara in mateja voice) je ni sehemu gani ina watu(nyomi) wengi kuliko mwenzie ukija na hoja yako weka na sababu.
Binafsi na naanza na Mosi kusema Gongo la mboto ina watu wengi kuliko Mbagala kwa sababu Gongo la mboto kuna treni la mwakyembe ambalo lililetwa naamin linabeba sio chini ya watu buku au zaidi kwa tripu moja na kwa siku linapiga tripu 3 asubuhi na tripu 3 jioni ila pamoja na hivyo bado daladala za kkoo na posta zinazoenda Gongo la mboto zanapiga kazi kama kawaida wakati mbagara majuzi Mwendokasi wamefanya majaribio madaladala wameeanza kulia kulia abiria hakuna.
Mbili Mbagala wengi sio wakazi wa pale wengi wanatoka mikoa ya kusini kuja kufanya biashara na kutawanyika makwao wakati Gomsi ni makazi ya watu na Gari za Mbagala kwenda gomsi jioni hazikamatiki.
Yote kwa yote kwenye madaladala kuna vituko na vimbwangwa sana.
Nawasilisha.