Kati ya Dr. Ayub Rioba na Dr. Bashiru Ally, yupi ni mchambuzi mahiri kuliko mwenzie?

Ili uwaelezee vizuri, inabidi ujue philosophical outlook yao. Bashiru Ally, mtalamu wa siasa, anachambua sana kwa kuzingatia bourgeois school of thought, matokeo ya uchambuzi huu huwa fake siku zote lkn Ayoub Rioba, huchambua zaidi akitumia falsafa za ki marx, Marxist school of thought, hii husema vitu vya kweli na halisi katika jamii.

na ki uhalisia, ukifaham kuchambua ki marxist, mliberal hawezi kukufuata hata kidogo.

kwa hiyo, japo wote ni wachambuzi wazur, lkn Rioba ni zaidi. Na ukitaka uchambuzi murua, mtafte Abunuwas Mwami
 
Mimi napenda wachambuzi wasio na Mrengo na ilikadi za vyama vya siasa. Je kati ya hao wasomi & wachambuzi nani anamrengo wa kisiasa katika uchambuzi wake? MTU akiwa na mrengo wa kisiasa lazima ashindwe kuchambua mambo kisomi na kimantiki zaidi kwasababu lazima awe biased tuu.
 
nadhani mapema tu niliweka hapa ANGALIZO KALI kuwa sitaki mtu aje humu na maisha yao BINAFSI lakini kwa kuwa wewe ni " NGUMBARU " umefanya kile kile kisichotakiwa katika UZI huu. kama Dr. Bashiru Ally ni MDINI na Dr. Ayub Rioba ni MLEVI sisi inatuhusu nini? mbona hujisemi na wewe " unavyobanduliwa hovyo? " kama tukitaka tufuatilie au tuyajue maisha binafsi ya kila mtu humu JF unaweza kukuta huo UDHAIFU ulioutaja wa hao WASOMI wangu una afadhali pengine kuliko hata tulio nao sisi.
wewe ndio unabanduliwa unataka kujua nani mahiri ili iweje itakusaidia nini lofa na pumbavu wewe unapakatwa eheheheh
 
Back
Top Bottom