Kataa kufanya kazi na boss was namba hii

Killing machine

JF-Expert Member
Jul 24, 2022
2,089
3,031
Watanzania wengi maisha yetu hatuishi kwa kujiajili wengi tumeajiliwa na waajili

Lakini katika kuajiliwa huko wapo ambao wameajiliwa na watu sahihi lakini wapo ambao wameajiliwa na watu wasio sahihi

Sasa Basi Kuna watu hawafai kabisa kufanya kazi chini yao labda uwe hauna jinsi naa hata Kama hauna jinsi Basi kaa hapo for a reason

Na maanisha kwamba kaa hapo kwa ajili ya kujiegesha Huku ukiendelea kutafuta ajira nyingine lakini usikae hapo kwasababu unategemea hapo

Aiseeh utazeheka huna uwanja,Wala nyumba na uzee wako utaishia kuwa omba omba

Sasa ukikutana na boss au mwajili wako Kama huyu Basi Anza kuandaa mazingira ya kutafuta kazi nyingine na Kama unaona Kuna kazi nyingine Basi Anza utalatibu wa kuivizia kazi hiyo kabla akili yako haija lemaa

1)boss asiye kubali kosa. Mwajili mzuli niyule ambaye akikosea hukubali kukosea na kuomba msaada namba ya kufanya kwa usahihi kusidi kazi iendelee kuishi

Sasa ukuiona mwajili wako hata akikosea hataki kuku Bali na Ana kimbilia kuku bambikiza kosa

Basi huyo mkatae mala moja Kuna siku atakuletea tatizo kubwa kuliko uwezo wako

utaya chukuia maisha badara ya kuya chukia maamzi yako mwenyewe

2.)boss anaye anglia/kuchunguza unacho kipata/faida yako siyo anacho kipata.

Kwenye kazi boss Ana paswa aangalie anakupa bidhaa gani?

na atakupa uiuze kwa Bei gani? na wakati huo atakuwa anaingiza faida kiasi gani?

kwa bidhaa moja aliyo kupa inatosha

Lakini ukipata boss ambaye anaanza kufuatilia umeingiza kiasi gani?
kwa bidhaa unayoniuza japo yeye ina mlipa

Aiseeh huyo kaa naye mbali hafai na hakufai kwenye maisha yako

3)boss asiye penda uendelee. Bosi mzuli niyule uliye anza naye na mtaji wa milioni moja mkafikisha milioni ishirini

lakini ukinunua gali au kujenga nyumba hufurahia kwani Ana penda uendelee

Lakini ukikuta boss wako yeye mtaji wake/office inakuwa na bado ukijenga anaanza kukusema pembeni kwamba ume mwibia

au kukuambia tuludie hesabu frani

lakini nibaada tu ya kuskia umefanya Jambo frani la maendeleo

Ndugu huyo piga chini chap hafai na hakufai kwenye maisha yako

Boss mzuli niyule ambaye akiskia umejenga umeishia kwenye kupauwa

Basi anakuongezea na pesa ya finishing huyo ndiyo boss og

4)boss anaye zungumza na wewe Kama mtoto.

Heshima ikizidi huleta dharau huenda nidhamu yako kazini ikakufanya uonekane mjinga kwa mwajili wako

Boss mzuli huzungumza nawewe kwa staha lakini boss mpuuzi na anaye kupuuza huzungumza na wewe Kama mtoto mdogo asiye skia

Sasa kataa hiyo Hali itakuathili itakufanya ushindwe kujiamini wakati mwingine ushindwe hata kutetea hata kilicho haki kwako

huyo piga chini Kama Ina wezekana kufanya hivyo haraka sana

5)boss anaye jali magumu yake pekee.

Boss mzuli niyule anaye mtazama mfanya kazi wake kwa jicho la tatu

Kwanza hutembelea nyumbani kwako ili kuangalia kiwango Cha mshahara na mzigo ulio ubeba

Kisha hufikilia namna ya kuku kwamua ili ufanye kazi yake vizuli

Lakini ukuiona boss anajizungumzia Sana yeye

Yani zile nataka nifanye hivi na vile ni nyingi lakini siyo tufanye hivi na hivi ili tuingize kiasi ichi kusidi tufikie hatua ya kulipana angalau hivi na hivi

aisee Hilo ni libinafs pigachini kabla Mambo haya jawa magumu zaidi

6.)Boss asiye taka makubaliano twende huku.twende kule.nisindikize hapa nisindikize pale.nenda sehemu frani kafanye vile na vile Kisha tuta angalia

Ndugu ogopa Sana mtu Kama huyo itakugharimu

Boss mzuli niyule anaye sema nenda sehemu frani kafanye kitu frani je! nikulipe au ntakulipa kiasi gani?

Kisha wewe umpe Bei ya malipo sahihi kwa mazingira unayo yaona

Mwisho nikwamba niwaombe au kuwa shauri maboss au waajiri wote kwamba dreva ndiye anye ijua gali vizuli kuliko mmiliki wa gali mwenyewe

Hivyo wapeni heshima na kuwa tendea viema wanao yendesha magali yenu

kwani wao Wana weza kuwa kabidhi gali zenu zikiwa hazina break,mafuta,upepo,na msijue

Mka yapokea mkayaendesha mkafia mbele

Hivyo hivyo kwenye companies zenu, office zenu,na taasisi zenu

wafanya kazi ndiyo viongozi wenu wazuli naweza kusema bila wao hizo kazi zenu haziendi

Kwani wao ndiyo hushinda mda mlefu hapo kuliko nyinyi mbalikiwe akina bwana mkubwa

japo pesa zenu tuna zila kwa uchungu🙏🙏🙏
 

Attachments

  • 1744485387150.jpg
    1744485387150.jpg
    338.4 KB · Views: 2
Watanzania wengi maisha yetu hatuishi kwa kujiajili wengi tumeajiliwa na waajili

Lakini katika kuajiliwa huko wapo ambao wameajiliwa na watu sahihi lakini wapo ambao wameajiliwa na watu wasio sahihi

Sasa Basi Kuna watu hawafai kabisa kufanya kazi chini yao labda uwe hauna jinsi naa hata Kama hauna jinsi Basi kaa hapo for a reason

Na maanisha kwamba kaa hapo kwa ajili ya kujiegesha Huku ukiendelea kutafuta ajira nyingine lakini usikae hapo kwasababu unategemea hapo

Aiseeh utazeheka huna uwanja,Wala nyumba na uzee wako utaishia kuwa omba omba

Sasa ukikutana na boss au mwajili wako Kama huyu Basi Anza kuandaa mazingira ya kutafuta kazi nyingine na Kama unaona Kuna kazi nyingine Basi Anza utalatibu wa kuivizia kazi hiyo kabla akili yako haija lemaa

1)boss asiye kubali kosa. Mwajili mzuli niyule ambaye akikosea hukubali kukosea na kuomba msaada namba ya kufanya kwa usahihi kusidi kazi iendelee kuishi

Sasa ukuiona mwajili wako hata akikosea hataki kuku Bali na Ana kimbilia kuku bambikiza kosa

Basi huyo mkatae mala moja Kuna siku atakuletea tatizo kubwa kuliko uwezo wako

utaya chukuia maisha badara ya kuya chukia maamzi yako mwenyewe

2.)boss anaye anglia/kuchunguza unacho kipata/faida yako siyo anacho kipata.

Kwenye kazi boss Ana paswa aangalie anakupa bidhaa gani?

na atakupa uiuze kwa Bei gani? na wakati huo atakuwa anaingiza faida kiasi gani?

kwa bidhaa moja aliyo kupa inatosha

Lakini ukipata boss ambaye anaanza kufuatilia umeingiza kiasi gani?
kwa bidhaa unayoniuza japo yeye ina mlipa

Aiseeh huyo kaa naye mbali hafai na hakufai kwenye maisha yako

3)boss asiye penda uendelee. Bosi mzuli niyule uliye anza naye na mtaji wa milioni moja mkafikisha milioni ishirini

lakini ukinunua gali au kujenga nyumba hufurahia kwani Ana penda uendelee

Lakini ukikuta boss wako yeye mtaji wake/office inakuwa na bado ukijenga anaanza kukusema pembeni kwamba ume mwibia

au kukuambia tuludie hesabu frani

lakini nibaada tu ya kuskia umefanya Jambo frani la maendeleo

Ndugu huyo piga chini chap hafai na hakufai kwenye maisha yako

Boss mzuli niyule ambaye akiskia umejenga umeishia kwenye kupauwa

Basi anakuongezea na pesa ya finishing huyo ndiyo boss og

4)boss anaye zungumza na wewe Kama mtoto.

Heshima ikizidi huleta dharau huenda nidhamu yako kazini ikakufanya uonekane mjinga kwa mwajili wako

Boss mzuli huzungumza nawewe kwa staha lakini boss mpuuzi na anaye kupuuza huzungumza na wewe Kama mtoto mdogo asiye skia

Sasa kataa hiyo Hali itakuathili itakufanya ushindwe kujiamini wakati mwingine ushindwe hata kutetea hata kilicho haki kwako

huyo piga chini Kama Ina wezekana kufanya hivyo haraka sana

5)boss anaye jali magumu yake pekee.

Boss mzuli niyule anaye mtazama mfanya kazi wake kwa jicho la tatu

Kwanza hutembelea nyumbani kwako ili kuangalia kiwango Cha mshahara na mzigo ulio ubeba

Kisha hufikilia namna ya kuku kwamua ili ufanye kazi yake vizuli

Lakini ukuiona boss anajizungumzia Sana yeye

Yani zile nataka nifanye hivi na vile ni nyingi lakini siyo tufanye hivi na hivi ili tuingize kiasi ichi kusidi tufikie hatua ya kulipana angalau hivi na hivi

aisee Hilo ni libinafs pigachini kabla Mambo haya jawa magumu zaidi

6.)Boss asiye taka makubaliano twende huku.twende kule.nisindikize hapa nisindikize pale.nenda sehemu frani kafanye vile na vile Kisha tuta angalia

Ndugu ogopa Sana mtu Kama huyo itakugharimu

Boss mzuli niyule anaye sema nenda sehemu frani kafanye kitu frani je! nikulipe au ntakulipa kiasi gani?

Kisha wewe umpe Bei ya malipo sahihi kwa mazingira unayo yaona

Mwisho nikwamba niwaombe au kuwa shauri maboss au waajiri wote kwamba dreva ndiye anye ijua gali vizuli kuliko mmiliki wa gali mwenyewe

Hivyo wapeni heshima na kuwa tendea viema wanao yendesha magali yenu

kwani wao Wana weza kuwa kabidhi gali zenu zikiwa hazina break,mafuta,upepo,na msijue

Mka yapokea mkayaendesha mkafia mbele

Hivyo hivyo kwenye companies zenu, office zenu,na taasisi zenu

wafanya kazi ndiyo viongozi wenu wazuli naweza kusema bila wao hizo kazi zenu haziendi

Kwani wao ndiyo hushinda mda mlefu hapo kuliko nyinyi mbalikiwe akina bwana mkubwa

japo pesa zenu tuna zila kwa uchungu🙏🙏🙏
Bos mwengine anataka ajue umefanya maendeleo kias gan baada ya kukupa mishahara
 
Wewe jamaa, unakuta mtu umeshatembeza CV mpaka umechanganyikiwa, yani unakaa mtaani mpaka unasahau ulichosomea, halafu puuuuuu!!!! unaotea mchongo. ILA sasa unamkuta bosi ni wahivo, je! ...
 
Wewe jamaa, unakuta mtu umeshatembeza CV mpaka umechanganyikiwa, yani unakaa mtaani mpaka unasahau ulichosomea, halafu puuuuuu!!!! unaotea mchongo. ILA sasa unamkuta bosi ni wahivo, je! ...
Una fanya nae kazi lakini Huku unafukuzia kazi nyingine
 
Back
Top Bottom