Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,565
- 116,217
Ubunge unalipa kuliko kitu chochoteNi kweli kwa Tanzania siasa ni biashara inayolipa. Kwa "washindi".
Ubunge unalipa kuliko kitu chochoteNi kweli kwa Tanzania siasa ni biashara inayolipa. Kwa "washindi".
Sahivi tuna viongozi wa hovyo snKuna kiongozi mmoja tu aliyeridhisha nyoyo za watanzania.. kila alipopita watu walimimika barabarani kumlaki...Wananchi walifurahia staili ya uongozi wake na nchi nzima ilimtii.. ilikuwa kila ikifika saa 2 wananchi walisogea karibu na Tv kumsikiliza Chuma anasema nini ? leo tumeachiwa viongozi wanaonadiwa kwa mabango majukwaani na machawa wa kumpamba kila kona..
Wanakula rushwa mpkSasa hapa unaweza Kwa harakaharaka kumlaumu Mkapa.
Kumbe tatizo ni Kwa hao hao Wabunge wachumia Tumbo.
Yaan ,kama unaheshim Falsafa zako, umeona ni jambo lisofaa, kwann usisimame nalo hata kama utapoteza Ubunge?.
Kwa Tanzania, Mimi naona Uongozi ni Biashara inayolipa.
Wanakuja kuchukua nafasi nyie mpo tuHawana Nafasi CCM
Kuna Wanaccm wamevumilia tangu 2015 🐼😂
Alaaa kama ni hii ya kuengua wapinzani , basi haitokaa kuweza vya kuchinja, CCM hiii hii ilomdanganya Mbowe maridhiano, mwisho ikakataa??.
CCM imejaa matapeli tupuCCM ipi??? Yenye misimamo
kuna haja gani katibu mkuu wake anapiga mayowe ya hujuma dhidi ya uongozi wake na agenda isiyo na tija ya no reform no elections 🐒LISSU sio MTU wa kufurahia hujuma Kwa mwamvuli wa kumsifia.
Hayuko hivo hata
Mwenye bidii ya uchawaSafari hii wanapitishwa bure kama 2020 ilivyokuwa! Kwa hiyo mwenye bidii ya Uchawa ndiye atakayeteuliwa.
Hii nchi inahitaji ubatizo wa moto.Nilitegemea Rais ,Masikio yake yangeruhusiwa kusikiliza jumbe za viongozi wa Dini, Wasomi Nguli walio huru kifikira Prof Shivj n.k
Inasikitisha sanaWaliosoma shule zama za miaka ya 1960 Hadi 1990 walifunzwa elimu ya kujielewa na kujitegemea kijamaa kwa manufaa Yao na wengine.
Waliosoma zama za 1991 hadi 2020 nchi ilikuwa imeshakosa dira ya siasa za ujamaa na kujitegemea. Kile kitendo Cha kushindwa kutoa dira rasmi kilizaa kizazi Cha kubahatisha mrengo wa kiongozi na kuanza kubahatisha siding iwe kwa kuwasifia wengine walioshika dola.
Kushika Dola ni kushika Jeshi likusaidie mrengo wako.
Je, kama kiongozi, kwa maslahi ya taifa linalokua, kisiasa, kiuchumi, kijamii, kidira na kiupeo, huwezi toa mwongozo kwa watu wako?!
Imagine mtu mzima baba wa waajiriwa anaAnza kusifia kimkate mkate hivi!
Magufuli ndo kaleta haya yoteHaingii Akilini Kila kukicha, utasikia Huyu Kaandaa Dua ya kumuombea Rais Samia.
Huyu Kaandaa Kongamano la kumpongeza Rais Samia.
Huyu Kaandaa Washa ya wakina Mama kumsemea Rais .
Huyu anakuja na Hala Mamaaa
Huyu anakuja na Mama asemewe
Rais anaalikwa hadi kwenye matamasha ya uchekeshaji ambako anashuhudia wavaa nusu Uchi.
Masikio ya Rais yanasikia habari za Matusi tuuupu kutoka Kwa wachekeshaji , Mwanzo mwisho unakuta anamsikiliza Kipotoshi na habari za mashangazi, anakasikiliza kale kadada na habari za kupelekwa motoooooo, na wanaume wenye IST 🤣🤣
Hayo ndio mambo yaloruhisiwa Rais ayasikilize !!! Weweeeeeeeee !!!.
Eehhh Duuhh , ama kweli Mwanasiasa wa Leo Ndani ya CCM hawawaogopi Tena wananchi, hawawaheshimu wananchi , wananchi sio kitu Tena, wananchi wanadharauliwa, wananchi wanaonekana ni mazwazwa, Wana CCM wanaamini Rais Samia ili mradi akupe Goo ahead tayari wee ni Mbunge hata kama wananchi hawakukubali, Leo hii Wana CCM hawaithamini tena Katiba MPYA inayowataka kuwaheshimu Wananchi kwani Mamlaka yao inatoka huko.
Huko nje Kuna Vituo vingi vya watoto Yatima, Kuna Mahospitali, Kuna wamama wajasiliamali wamekosa MTU wa kuwashika, Kuna Vijana wamekoswa wa kuwabusti .
Ila Mchumia Tumbo yupo Radhi ,kutumia Zaidi ya Milioni Ishirini kuandaa tukio la kumsifia Rais Samia, aonekane nayeye anamsifia, ili baadae apewe Ubunge, hata kama Hana Sifa za kua Mbunge, matokeo yake, tumezalisha kizazi Cha viongozi ambao wapatapo Uongozi, anaweza kwanza kurudisha Mtaji wake kwanza !.
Mwenyezi Mungu atusaidie sasa ,Leo tunashuhudia mashindano ya Kupambia tu Ili MTU aonekane !!.
Unajiuliza, hivi nini hasa lengo la huyu MTU ??.
Wengine Sasa, walikua kua Licha ya kusifia kote ,hawautaki Ubunge, ni Ile MTU anatumia hiyo njia ili nyuma yake Afanye madeals ya ajabu na haramu , na kwakua Kaonekana kumsifia Mama, Hata Polisi watamuogopa kuchunguza njia zake !!.
Hii ndio Tanzania !!. Nchi inayohitaji Akina Magufuli, Akina LISSU, Akina MPINA, wengi wengi ili inyooke !!.
Sasa hiyo Si habari, Hivi hata anayesifiwa anayajua hayo? Yaan anafurahiaa kabisa?.
Unakuta Picha ya Rais ambayo ipo Hadi kwenye Mitungi ya Gesi !!.
Kwamba ni Rahisi sana RAIS kuruhusiwa kuhudhuria Matamasha hayo, ila ni ngumu sana Waziri wa Elimu kuruhusiwa kuonana na Rais Kwa mambo makubwa ya Kitaifa!! Eeehh Sasa hiii ndio Tanzania !!!.
Huu upuuzi ww kumsifia rais Magufuli ndio muasisi halisi. Kwa sasa ni muendelezo wa alichoasisi.Kuna kiongozi mmoja tu aliyeridhisha nyoyo za watanzania.. kila alipopita watu walimimika barabarani kumlaki...Wananchi walifurahia staili ya uongozi wake na nchi nzima ilimtii.. ilikuwa kila ikifika saa 2 wananchi walisogea karibu na Tv kumsikiliza Chuma anasema nini ? leo tumeachiwa viongozi wanaonadiwa kwa mabango majukwaani na machawa wa kumpamba kila kona..
MakubwaHawana Nafasi CCM
Kuna Wanaccm wamevumilia tangu 2015 🐼😂
Spinning za uchawa nchi hii zimeanza na kundi la wanamtandao wakimtengeneza Kikwete kuwa rais.. walinunua waandishi wa habari kuwachafua walikuwa tishio kwake..Nchi nzima ikaimbishwa sifa hewa za Kikwete hata kabla hajawashika madaraka.. mwishoni mwa utawala wa Mkapa alionekana rais kivuli.. nchi nzima ilikuwa chini ya kundi la wanamtandaot.. km unaweza kukumbuka ukwapuaji wa pesa pale BOT kwenye akaunti ya EPA..Huu upuuzi ww kumsifia rais Magufuli ndio muasisi halisi. Kwa sasa ni muendelezo wa alichoasisi.
Duh 🙄 !!Haingii Akilini Kila kukicha, utasikia Huyu Kaandaa Dua ya kumuombea Rais Samia.
Huyu Kaandaa Kongamano la kumpongeza Rais Samia.
Huyu Kaandaa Washa ya wakina Mama kumsemea Rais .
Huyu anakuja na Hala Mamaaa
Huyu anakuja na Mama asemewe
Rais anaalikwa hadi kwenye matamasha ya uchekeshaji ambako anashuhudia wavaa nusu Uchi.
Masikio ya Rais yanasikia habari za Matusi tuuupu kutoka Kwa wachekeshaji , Mwanzo mwisho unakuta anamsikiliza Kipotoshi na habari za mashangazi, anakasikiliza kale kadada na habari za kupelekwa motoooooo, na wanaume wenye IST 🤣🤣
Hayo ndio mambo yaloruhisiwa Rais ayasikilize !!! Weweeeeeeeee !!!.
Eehhh Duuhh , ama kweli Mwanasiasa wa Leo Ndani ya CCM hawawaogopi Tena wananchi, hawawaheshimu wananchi , wananchi sio kitu Tena, wananchi wanadharauliwa, wananchi wanaonekana ni mazwazwa, Wana CCM wanaamini Rais Samia ili mradi akupe Goo ahead tayari wee ni Mbunge hata kama wananchi hawakukubali, Leo hii Wana CCM hawaithamini tena Katiba MPYA inayowataka kuwaheshimu Wananchi kwani Mamlaka yao inatoka huko.
Huko nje Kuna Vituo vingi vya watoto Yatima, Kuna Mahospitali, Kuna wamama wajasiliamali wamekosa MTU wa kuwashika, Kuna Vijana wamekoswa wa kuwabusti .
Ila Mchumia Tumbo yupo Radhi ,kutumia Zaidi ya Milioni Ishirini kuandaa tukio la kumsifia Rais Samia, aonekane nayeye anamsifia, ili baadae apewe Ubunge, hata kama Hana Sifa za kua Mbunge, matokeo yake, tumezalisha kizazi Cha viongozi ambao wapatapo Uongozi, anaweza kwanza kurudisha Mtaji wake kwanza !.
Mwenyezi Mungu atusaidie sasa ,Leo tunashuhudia mashindano ya Kupambia tu Ili MTU aonekane !!.
Unajiuliza, hivi nini hasa lengo la huyu MTU ??.
Wengine Sasa, walikua kua Licha ya kusifia kote ,hawautaki Ubunge, ni Ile MTU anatumia hiyo njia ili nyuma yake Afanye madeals ya ajabu na haramu , na kwakua Kaonekana kumsifia Mama, Hata Polisi watamuogopa kuchunguza njia zake !!.
Hii ndio Tanzania !!. Nchi inayohitaji Akina Magufuli, Akina LISSU, Akina MPINA, wengi wengi ili inyooke !!.
Sasa hiyo Si habari, Hivi hata anayesifiwa anayajua hayo? Yaan anafurahiaa kabisa?.
Unakuta Picha ya Rais ambayo ipo Hadi kwenye Mitungi ya Gesi !!.
Kwamba ni Rahisi sana RAIS kuruhusiwa kuhudhuria Matamasha hayo, ila ni ngumu sana Waziri wa Elimu kuruhusiwa kuonana na Rais Kwa mambo makubwa ya Kitaifa!! Eeehh Sasa hiii ndio Tanzania !!!.
Tena yenye faida na haina hasara !Sasa hapa unaweza Kwa harakaharaka kumlaumu Mkapa.
Kumbe tatizo ni Kwa hao hao Wabunge wachumia Tumbo.
Yaan ,kama unaheshim Falsafa zako, umeona ni jambo lisofaa, kwann usisimame nalo hata kama utapoteza Ubunge?.
Kwa Tanzania, Mimi naona Uongozi ni Biashara inayolipa.
Wenye Akili na wenye kumbukumbu nzuri wanalijua hili ulilolieleza !Spinning za uchawa nchi hii zimeanza na kundi la wanamtandao wakimtengeneza Kikwete kuwa rais.. walinunua waandishi wa habari kuwachafua walikuwa tishio kwake..Nchi nzima ikaimbishwa sifa hewa za Kikwete hata kabla hajawashika madaraka.. mwishoni mwa utawala wa Mkapa alionekana rais kivuli.. nchi nzima ilikuwa chini ya kundi la wanamtandaot.. km unaweza kukumbuka ukwapuaji wa pesa pale BOT kwenye akaunti ya EPA..
Kikwete aliharibu sn nchi yetu hafai ni mtu wa hovyo snWenye Akili na wenye kumbukumbu nzuri wanalijua hili ulilolieleza !
Ila mafisadi na mazwazwa watakuwa na usemi mwingine !
Awamu ya Kikwete ndio ilianzisha mabalaa yote haya tunayoyaona hivi sasa !
Hata Makonda aliinuliwa na Kikwete kwa kule kumdhalilisha Mzee Warioba !
Kuanzia wakati huo kukaanzishwa mtindo wa hoja kujibiwa na madhalilisho badala ya hoja kujibiwa kwa hoja !
Wahanga wengi wanalijua hili !
Lakini KARMA haiko mbali sana ! 🙏🙏