Karibu nikujengee uzio wa nyumba yako au eneo lako kwa bei sawa na bure

aise

JF-Expert Member
May 16, 2018
4,602
14,303
Habari zenu wakuu, kama unahitaji kuwekea eneo lako uzio (fensi)
Basi karibu nikufanyie kazi yako kwa bei sawa na bure.
0624254690
 

Attachments

  • VideoCapture_20241013-161830.jpg
    VideoCapture_20241013-161830.jpg
    868.4 KB · Views: 2
  • VideoCapture_20241013-162617.jpg
    VideoCapture_20241013-162617.jpg
    697 KB · Views: 3
  • VideoCapture_20241013-162714.jpg
    VideoCapture_20241013-162714.jpg
    579.7 KB · Views: 3
  • VideoCapture_20241013-162645.jpg
    VideoCapture_20241013-162645.jpg
    515.7 KB · Views: 4
  • VideoCapture_20241013-161830.jpg
    VideoCapture_20241013-161830.jpg
    868.4 KB · Views: 2
Je unaweza kujenga kila utakakohitaka - Misenyi, Mbaba Bay, Tanganyika - Katavi, Lupaso - Masasi n.k?
Weka tangazo lako vyema ndg, naona hata kujitangaza umerajisisha sana
Asante mkuu kwa maoni yako.

Kwa kuweka sawa ni kwamba nafika popote pale ndani ya Tanzania kazi itakapokuwa.
Iwe ni Masasi Mtwara, Musoma Mara, Kigoma Uvinza hata Mbeya.
Karibu mkuu
 
Mkuu
Naomba useme unahesabu tofali au unalipwa kwa makubaliano ya kuzingatia idadi ya siku au???
 
Mkuu
Naomba useme unahesabu tofali au unalipwa kwa makubaliano ya kuzingatia idadi ya siku au???
sawa mkuu.
Kwa ufupi
Malipo ni makubaliano kulingana na ukubwa wa kazi yenyewe.
Ujenzi wa uzio siyo kujenga tu tofali.

Kuna kuchimba msingi, setting kabla ya kujenga n.k

Kwahiyo ni makubaliano kwa kazi yote kwa ujumla mpaka nakukabidhi fensi yako
 
somewhere in bagamoyo
 

Attachments

  • -5780413149168648704_109.jpg
    -5780413149168648704_109.jpg
    12.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom