Umesoma?Hiki ni kitu gani ACT walichosaini kwa kujitamba hivyo?!
Wanajitengenezea mazingira ya kuiba kuraWalioziandaa na Waliosaini hizi kanuni walikuwa na akili zao au walishikiwa. Chadema wako sahihi kabisa. No Reforms, No Election.
View attachment 3310384
Walishonewa SUTI za bei rahisi, nauli Ndege, SGR kwenda kurudi na posho ya elfu 350,000 kwa siku!!Walioziandaa na Waliosaini hizi kanuni walikuwa na akili zao au walishikiwa. Chadema wako sahihi kabisa. No Reforms, No Election.
View attachment 3310384
Gentleman,Walioziandaa na Waliosaini hizi kanuni walikuwa na akili zao au walishikiwa. Chadema wako sahihi kabisa. No Reforms, No Election.
View attachment 3310384
Sawa.Gentleman,
huu ni upotoshaji na hakujawahi kua na script ya uchochezi kama hiyo kwenye chaguzi za Tanzania.
Matokeo hutangazwa kwenye vituo vya kupigia kura na kubandikwa kwenye mbao za matangazo na kila mTanzania anajua na kufahamu hivyo na sio upotoshaji huo 🐒
na usirudie tena upotoshaji kama huo, alaaa!🐒Sawa.