Kuna mdau analalamika "Nimetafuta hela, nimezipata. Mwili umekubali na nimenona, lkn wanawake hawanitaki.
Sababu ambazo wanawake wanazitoa ni kwamba nimenenepa sana, nina kitambi kikubwa".
Swali analojiuliza ni kwamba:. Mtu anawezaje kupata hela halafu asinenepe?
Hela na afya vyote anavyo lkn akina dada wanataka awe na hela halafu afya asiwe nayo.
Sababu ambazo wanawake wanazitoa ni kwamba nimenenepa sana, nina kitambi kikubwa".
Swali analojiuliza ni kwamba:. Mtu anawezaje kupata hela halafu asinenepe?
Hela na afya vyote anavyo lkn akina dada wanataka awe na hela halafu afya asiwe nayo.