Kanisa linalo muabudu Rapper Lil Kim kutoka Marekani kama " Muungu wao mkuu" ( Supreme Goddess)

Hakuna website ya Freemason Hao ni watu baki tu wanazungumza kuhusu Freemasonry halafu huwezi linganisha kanisa ambalo limeanzishwa juzi na taasisi kongwe kama Freemasonry ambayo Ina zaidi ya miaka elfu2
Sasa mboni hazizungumziwi mitandaoni Google uone km utaona chochote msitufanye watoto siku hizi kila kitu mtandaoni kipo open, huwezi sema watu baki ni watu wanaojihusisha na hio imani yao ndio wamefungua websites, haya nionyeshe websites za watu baki kutoka SA wanaozungumzia hao mnaowasema weka hapa
 
Sasa mboni hazizungumziwi mitandaoni Google uone km utaona chochote msitufanye watoto siku hizi kila kitu mtandaoni kipo open, huwezi sema watu baki ni watu wanaojihusisha na hio imani yao ndio wamefungua websites, haya nionyeshe websites za watu baki kutoka SA wanaozungumzia hao mnaowasema weka hapa
Kwani hapa tunafanyaje au hapa sio mtandaoni?
 
Inakuwaje unaliita kanisa huku ukijua mungu wao sio yule wa KIBIBLIA?Kwanini isiwe hekalu,sinagogi...?wapinga kristo wana mbinu za nyingi sana za upotoshaji.
 
Inakuwaje unaliita kanisa huku ukijua mungu wao sio yule wa KIBIBLIA?Kwanini isiwe hekalu,sinagogi...?wapinga kristo wana mbinu za nyingi sana za upotoshaji.
Kanisa maana yake ni kusanyiko lenye kuenea
 
Back
Top Bottom