Kibololo Mikazo
JF-Expert Member
- Mar 17, 2025
- 547
- 1,214
Jifunze kutofautisha kuambiwa ukweli na kukashifiwaHizo kashfa sasa
Bila ufuasi wa shetani utoboi kwenye musikiLabda niwaeleze jambo dogo wasanii ni wapotoshaji katika jamii ila napenda sana wasanii wa marekani wako realy sana we fuatilia mistari ya nyimbo zao wao ni wafuasi wa shetani amini nami pamoja na wafatilie utagundua usiyoyajua
What if they are secret society, secret fraternity or sorority?Yaan km kitu hakipo YouTube hakipo hata Google kwa technology ya sasa mimi naona ni uzushi tu, wangekuwepo kweli lazima wangeji-brand
Uliwahi sikia Freemason wana jibrand?Yaan km kitu hakipo YouTube hakipo hata Google kwa technology ya sasa mimi naona ni uzushi tu, wangekuwepo kweli lazima wangeji-brand
You are right. They are operating as a secret societyWhat if they are secret society, secret fraternity or sorority?
🙏🙏🙏🙏🙏Hakuna shida ni Imani yao
Andika Google freemason websites zitakuja websites million kidogo, hujui ninachokizungumziaUliwahi sikia Freemason wana jibrand?
Google hawa hapa👇👇👇👇👇
View: https://youtube.com/watch?v=JBqm8b0LW_U&si=tH3OifHQsXzJAdEj
Wakikusikia wenye dini yaoKila kitu cha hovyo kinafanyiwa kwenye kanisa
Ni websites za watu ambao sio Freemason wanazungumzia Freemason ila sio Freemason wenyeweAndika Google freemason websites zitakuja websites million kidogo, hujui ninachokizungumzia
Sio kweli acheni kumpa shetani nguvu hiyoBila ufuasi wa shetani utoboi kwenye musiki
Ur rightNi websites za watu ambao sio Freemason wanazungumzia Freemason ila sio Freemason wenyewe
Freemasons hawajitangazi wewe acha ubishiAndika Google freemason websites zitakuja websites million kidogo, hujui ninachokizungumzia
Brand andika hio holy fyoko of lil km italeta kitu chenga tuFreemasons hawajitangazi wewe acha ubishi
Unaelewa maana ya branding au unafyatuka tu toka kichakani kukata kimba? Wasingejitangaza nani angewajua? Website zao kibao wanajizungumzia sio kujitangaza huko? Shule umemaliza mwaka gani?Freemasons hawajitangazi wewe acha ubishi
Hakuna website ya Freemason Hao ni watu baki tu wanazungumza kuhusu Freemasonry halafu huwezi linganisha kanisa ambalo limeanzishwa juzi na taasisi kongwe kama Freemasonry ambayo Ina zaidi ya miaka elfu2Unaelewa maana ya branding au unafyatuka tu toka kichakani kukata kimba? Wasingejitangaza nani angewajua? Website zao kibao wanajizungumzia sio kujitangaza huko? Shule umemaliza mwaka gani?
Hujatembea wewe nenda South Africa Johannesburg pale Kempton Park wana hekalu Lao.Brand andika hio holy fyoko of lil km italeta kitu chenga tu
100 percent FactHujatembea wewe nenda South Africa Johannesburg pale Kempton Park wana hekalu Lao.
It is operating as a secret society.
Halafu una shida gani kichwani mkuu? Sema usaidiwe haraka.
Mtoto wa kiume kutukana sio Hip Hop
100 percent FactHakuna website ya Freemason Hao ni watu baki tu wanazungumza kuhusu Freemasonry halafu huwezi linganisha kanisa ambalo limeanzishwa juzi na taasisi kongwe kama Freemasonry ambayo Ina zaidi ya miaka elfu2