Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,659
- 4,763
- Thread starter
- #21
Mkuu bike jero zote za niniMbona bei ndogo hivyo. Basi nampango wa kuzinunua kama hizo mia tano.
Mkuu bike jero zote za niniMbona bei ndogo hivyo. Basi nampango wa kuzinunua kama hizo mia tano.
Pamoja sanaOoh okay chief
Omba msaada wa masahihisho ya kichwa cha habari kisomeke KAMPUNI badala ya KAMLUNIHabari zenu wadau na wapenda bike, aisee niende moja kwa moja kwenye mada.
Kampuni ya Bajaj wamekuja na toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125hd isiyokuwa na paper oil filter.
Tuone kama muendelezo wa uboreshaji huu utaweza kuboresha engine za boxer maana toleo hili jipya jamaa wameondoa kabisa ile paper oil filter.
Pia seat ya pikipiki hizi zina muonekano kama wa TVS mean imenyanyuka kidogo.
Naona jamaa wanajaribu kuboresha engine zao na kufuata mfumo wa engine za washindani wao TVS.
Asanteni na karibuni kwa mjadala![]()
Ila mkuu engine za tvs zinachemka balaa kuliko za boxer, boxer unatembea km za kutosha husikii kitu, ila tvs umbali kidogo tuu tayariKwa hizi TVS 150cc/125cc ni air-cooling & timing chain engine
Uvimbe na pikipiki duhMe naipenda hero hunter 150x off-road
Japo December nataka nivute blade yangu swafiii na hero hunter 150x off-road nivimbe huko mkoa.
Labda tvs isio na matunzo. Nimetembea dar to kilimanjaro na tvs 125 na hakukua na tatizo loloteIla mkuu engine za tvs zinachemka balaa kuliko za boxer, boxer unatembea km za kutosha husikii kitu, ila tvs umbali kidogo tuu tayari
Uvimbe na pikipiki duh
Unatumia plug gani kama ni hizi za kichina tvs utaiona mbaya nunua plug za botch utanismbia kama kuna shida yeyoteNa hata pulling,tvs ukiwa namba tano ukitembea 20kph inalalamika kuzima ila boxer unatembea bila malalamiko
Ukivimba na pikipiki ukumbuke kujiziba makovuKwani shida Iko wapi kiongozi? Kila mtu anavimba Kwa kadri ya uwezo wake.
Hata ikiwa mpya, ukilinganisha na boxer kwenye uchemkaji wa engine utagundua, hasahasa hizi 150ccLabda tvs isio na matunzo. Nimetembea dar to kilimanjaro na tvs 125 na hakukua na tatizo lolote
Plug made in india, tuseme tuu ni mfumo wake, tvs haina pulling kama boxerUnatumia plug gani kama ni hizi za kichina tvs utaiona mbaya nunua plug za botch utanismbia kama kuna shida yeyote
Kuchemka ni sawa maana engine za TVS kwenye cylinder head hazina nozzle ya kupumulia na kupunguza heat kwenye engine ila Boxer engine zao pale juu kwenye cylinder head kuna nozzle inayosaidia engine kupumua hivyo kupunguza heat kwenye engine fast than TVSIla mkuu engine za tvs zinachemka balaa kuliko za boxer, boxer unatembea km za kutosha husikii kitu, ila tvs umbali kidogo tuu tayari
Kwenye kuchanganya mara nyingi hutegemea ukubwa wa engine, uchomaji wa mafuta hapa tunangalia zaidi plug, air cleaner ya bike yako.Na hata pulling,tvs ukiwa namba tano ukitembea 20kph inalalamika kuzima ila boxer unatembea bila malalamiko
Mkuu kuvunjiaka hata mahouse girls wanavunjika nyumbani ni kadari za Muumba.Wodi za mifupa ziongezwe
Upo vizuri kamanda, ngoja nikaifanyie service bike yangu air cleaner maana kitambo sanaKwenye kuchanganya mara nyingi hutegemea ukubwa wa engine, uchomaji wa mafuta hapa tunangalia zaidi plug, air cleaner ya bike yako.
Bike yenye engine 125cc inachanganya haraka kuliko bike ya 150cc.
Plug ikiwa chafu itasababisha uchomaji wa mafuta kuwa mdogo au chini na kusababisha bike kutochanganya vizuri and vice-versa plug ikiwa bado mzima/safi.
Air cleaner ikiwa chafu haijasafishwa itasababisha poor air & fuel mixture kwenye carburetor, aaaah ndio hivyo yaan
Ni kweli mkuu ndio hapo kanjibai kaamua kuachana na hizo filter kwenye hili toleo jipya means hata service costs itapungua.Upo vizuri kamanda, ngoja nikaifanyie service bike yangu air cleaner maana kitambo sana
Sema hizi boxer zinachosha kubadilisha oil filter