BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 3,754
- 9,888
Huduma za msaada wa Kisheria za Mama Samia ni aina nyingine ya kielelezo cha jinsi taifa lilivyo
Huwa nasema siku zote CCM hawako tiyali kuona vitu vifuatavyo vinatoweka katika hili taifa;
1. Kuisha au kupungua kwa umasikini.
2. Ujinga
3. Mifumo imara ya uwajibikaji katika nchi.
4. Mifumo imara ya kutoa huduma zikiwemo za afya
5. Upatikanaji wa haki kwa kila Mtanzania.
Ukiona kilicho kuwa kinafanyika pale Arusha uwanja wa mpira kutoa huduma za matibabu si kingine ni siasa, yaani hawataki kuimarisha mifumo ya afya, hawataki kutoa Bima za afya kwa kila mtanzania make wakitoa Bima za afya watakosa watu wa kuwafanyia siasa.Sanacheza na umasikini.
Anacho Fanya makonda kujibadili kuwa Police, Muendesha mashitaka na pia hakimu ni matokea ya kwamba Serikali haitaki kuimarisha mifumo ya utoaji haki make wakiimarisha mifumo kuna namna watakosa covarage za kisiasa za kufanya maigizo.
Umasikini ni mtaji usio yumba Kwa CCM na kama kuna Baraka kwa CCM basi ni umasikini wa Watanzania. Hawa masikini huhongwa hata Viberiti tu wakati wa kampeni.
Ujinga ni Industries na ukiangalia hata project ya shule za kata na the way wanavyo ziendesha ni industries ya kuendelea kuzalisha ujinga katika taifa hili.
Huduma za kisheria za Mama Samia, hii ni full politics fikiria Raisi badala aimarishe huduma za utoaji haki anaona bora awekeze kwenye siasa za kuwasaidia wananchi kisheria.
Nia ajabu sana kwamba Mkuu wa nchi anaona kutoa ushauri wa kisheria ni bora zaidi ya kuimarisha mifumo ya kutoa haki.
Huwa nasema siku zote CCM hawako tiyali kuona vitu vifuatavyo vinatoweka katika hili taifa;
1. Kuisha au kupungua kwa umasikini.
2. Ujinga
3. Mifumo imara ya uwajibikaji katika nchi.
4. Mifumo imara ya kutoa huduma zikiwemo za afya
5. Upatikanaji wa haki kwa kila Mtanzania.
Ukiona kilicho kuwa kinafanyika pale Arusha uwanja wa mpira kutoa huduma za matibabu si kingine ni siasa, yaani hawataki kuimarisha mifumo ya afya, hawataki kutoa Bima za afya kwa kila mtanzania make wakitoa Bima za afya watakosa watu wa kuwafanyia siasa.Sanacheza na umasikini.
Anacho Fanya makonda kujibadili kuwa Police, Muendesha mashitaka na pia hakimu ni matokea ya kwamba Serikali haitaki kuimarisha mifumo ya utoaji haki make wakiimarisha mifumo kuna namna watakosa covarage za kisiasa za kufanya maigizo.
Umasikini ni mtaji usio yumba Kwa CCM na kama kuna Baraka kwa CCM basi ni umasikini wa Watanzania. Hawa masikini huhongwa hata Viberiti tu wakati wa kampeni.
Ujinga ni Industries na ukiangalia hata project ya shule za kata na the way wanavyo ziendesha ni industries ya kuendelea kuzalisha ujinga katika taifa hili.
Huduma za kisheria za Mama Samia, hii ni full politics fikiria Raisi badala aimarishe huduma za utoaji haki anaona bora awekeze kwenye siasa za kuwasaidia wananchi kisheria.
Nia ajabu sana kwamba Mkuu wa nchi anaona kutoa ushauri wa kisheria ni bora zaidi ya kuimarisha mifumo ya kutoa haki.