Kamati ya Profesa Osoro na uelewa wa Multinational Corporations

Walimu wako darasani walikupotosha au umesoma chuo cha kata kama siyo TIA basi IFM vyote hivyo ni vyuo vya kata vinatambulika Tanzania tu
 
Nimeuliza kama wewe hapo juu, nami sijaelewa
Further to yesterday’s announcement, Acacia would like to confirm that it is continuing to operate all three of its mines in Tanzania, namely Bulyanhulu, Buzwagi and North Mara. We would also like to confirm that these mines are all owned and operated by companies that are legally incorporated and registered in Tanzania: Bulyanhulu Gold Mine Limited, Pangea Minerals Limited and North Mara Gold Mine Limited, which are the special mining licence holders for each of the respective mines. These companies are indirectly owned by Acacia Mining plc which is a UK incorporated and registered company. This corporate structure is fully transparent, lawful and is disclosed annually in our annual report and accounts which are audited to an international standard in accordance with IFRS and which are publicly available.



The Acacia group holding structure was fully disclosed to the Tanzanian Capital Markets and Securities Authority (CMSA) at the time of Acacia’s cross listing on the Dar es Salaam Stock Exchange in 2011. The group structure formed part of the information memorandum approved by the CMSA for the cross listing. Since the cross listing the only change has been the change of Acacia’s name from African Barrick Gold plc to Acacia Mining plc.



In addition, and in order to provide clear and factual information around the current situation, Acacia has created a micro-site: http://www.acaciamining.com/export-ban-facts.aspx, which has background to the current situation, clarification around the allegations, and details of our contribution to the Tanzanian economy.



Acacia plans to host a call on Thursday 15 June at 09:00 UK time for investors and analysts in order to provide a further update on the situation, with access details below. A recording will be made available on the Company’s website, after the call.



Participant dial in: +44 20 3059 8125

Password: Acacia Mining
 
Nadhani waseme Fanta, Sprite na Coca Zero.
 
Profesa alishapewa ripoti inachotakiwa kusema, akaambiwa kazi yake kutafuta habari zitakazotoa conclusion fulani tu.

Sasa unategemea nini hapo?
 
Cocacola imesajiliwa Tanzania au United state? Kosa la bonite bottlers kutolipa kodi halimuhusu mwenye Brand name USA

Hapa ndiyo umedhihirisha kuwa hujui kama hujui. Labda utaje kampuni yenye ACACIA kama brand name.

Kwamba ACACIA ni jina tu la biashara, ndiyo kwanza nasikia wakati ni kampuni ambayo imekuwa ikifanya kazi kwa zaidi ya miaka 20 Tanzania kama African Barrick Gold plc hadi 2014 na kubadili jina kuwa ACACIA Mining plc, ikiendesha migodi 3 ya Bukyankulu, Buzwagi na North Mara.
 
Uongo mwingi mno humo kwenye hizo kamati. Mfano kamati inasema tumeibiwa toka mwka 1998 wakati presidaa BMW alifungua mgodi a buly mwaka 2001. Sasa hayo makontena yalikuwa yanatoka wapi wakati 1998 kulikuwa na ujenzi tu. Hapo ndipo ninapoona chumvi ziliingilia kazi ya tume hizi na hata siasa ilikuwa na nafasi MNO kuliko kufuata taaluma.
 
Nadhani kuna kuwa na kampuni na kampuni ikawa na branches ambazo kila branch inajiendesha kivyake na hata kodi inalipa kivyake na usajili ni individual. Hilo maprof watu hawakiliona.
hawa jamaa wana kampuni yenye brand ya acacia lakini katika acacia kuna bulyanhulu, buzwagi na north mara kama independent entities zilizosajiliwa brela na kila moja inalipa kodi kwa brand name yake, yaani bulyanhulu, buzwagi na north mara. Hapo ndopo maprof walishindwa kuona acavia iko wapi
 
Soma Sheria za nchi ndo utaelewa if ACACIA is an entity or just a brand name like Azam juice.
 
Kwa mfano wako wa COCA-COLA nadhani anamaanisha kwamba, COCA-COLA ni brand name, lakini wana Products zingine nyingi tofauti na na kinywaji chenyewe cha COCA-COLA, mfano FANTA zingine
Mfano wa coca cola ni mfano sahihi kabisa. Ndio maana kuna bonite, kwanza na nyanza lakini zote ni kampuni zinazobebwa katika jina coca-cola. Sasa kila usajili ukoje brela?? Ni wezi kuna kwanza, Bonita na nyanza. Na HATA kodi inalipwa kwa kampuni iliosajiliwa kama individual entity. Vinginevyo utadai coca - cola marekani. Coca cola ni brand name duniani kote lakini nyanza inajilikana ni coca cola mwanza
 
Huna maarifa kweli na hujui na hutakaa ujue kwa kuwa wewe ni mshabiki

Holding company ni parent coy

Subcontracting company ni subsidiary coy

Siwatetei hawa wawekezaji ila majibu ya hizo kamati sio ya kuaminika vitu vingi ni vyakufikirika
not necessary...
 
Hivi kumbe bado kuna mijitu bado inatetea ujambazi wa ACACIA. Ningekuwa karibu ya hii mijitu ningesokomeza kaa la moto kwenye marinda yao. Ujinga kabisa.
Hujui kitu ndio maana unakimbilia kusema acacia majizi, fikirisha akili kidogo utaona mambo mengi Ambayo yamejificha.
Achana na siasa na ufikiria Mbali sio tu eti tunaibiwa. Inawezekana tulikuwa tunaibiwa lakini kuna mambo ni quesyionable mno katika findings za zile tume
 
Hahahah!
 
Ebu toa shule zaidi. Umeminya wengine sio economists, haya mambo ya sub contractor / contractor we are not conversant
Okey twende taratibu!!

Unaposema constractor unamaanisha nini??

Chukua mfano unajenga ghorofa, ukatafuta mkandarasi ili aanze kujenga baada ya jengo ku dezainiwa na injinia! Sasa huyu mkandarasi ndiye anaitwa "contractor"!!

Swali la pili, unaposema sub-constractor una maanisha nini!!?

Rudi kwenye swali na jibu la kwanza!! Baada ya kuwa na contractor wa kujenga ghorofa lako na ikatokea contractor hajaspeshalizi kuweka umeme kwenye nyumba, the contractor (main constractor) atatafuta constractor mwingine special kwa ajili ya umeme then atampa kazi ya kuweka umeme kwenye nyumba!!

Kumbuka sub contractor anaajiriwa na constructor (main constructor)!!

Pia kumbuka sub constructor wanakua speciallized katika section flan ya uhandisi mfano umeme...kuweka IC au kuweka lift kwenye maghorofa and so forth!! Pia kwa jina lingine wanaitwa specialized constructors na wana ajiriwa na kufanya kazi na (main)constructor !
 
Nimekupata. Idea imekuja. hata Subcontractor lazima awe na vibali vya kufanya kazi hiyo-licenced, lakini mimi mwenye nyumba, hainihusu ila namtambua main contractor! Am I right? . Hapo sawa. Je subcontractor lazima awe amekuwa registered hapa kwetu au Main cntractor anambeba and all liabilities zinabebwa na Main contractor (katika case ya acacia)
 
Nafikiri hapa jf tuna wasomi wengi, tatizo ni kuwa tuna ushabiki wa ccm na chadema badala ya kutumia elimu yetu. Pia hatupendi kufanya search kwanza na hivyo tunaropoka hovyo na kupenda kuonyesha kuwa kila kitu kinachofanywa na serikali hata kama ni kizuri kwa manufaa yetu ya baadae ,kinaangaliwa katika jicho la negative impacto.
Accacia na barrick yote ni makampuni hivyo ukisoma company act cap 212 R:E 2002,utajua kuwa accacia walitakiwa kuingia nchini na kujisajiri bela na kupewa certificate of incorporation, kutokana na kuwa imesajiliwa nchini UK. Ndo maana baadhi ya wanasheria fulani walionyesha kuwa wamejisajili brela kumbe ni changa la macho na wakaomba kufanya siri mazungumzo na nina uhakika yatakuwa hivyo ili kulinda brand name ila walikuwa wanaoperate under barrick company, lakini haya ni makampuni tofauti. Kumbuka kuwa mwaka 2012 kwenye kesi yao na TRA kutokana na kutolipa kodi,kampuni ya barrick ilisema kuwa wamebadili jina na kwa sasa wamejisajili kama accacia. Hizo docs zipo. Kiukweli tumewashika na wasomi wa sheria wanajua hilo. Tusiongee bila facts na tuendeleze uzalendo. Huwezi kuta mkenya akifanya haya tunayofanya watanzania kwa kushabikia nchi yetu kutumbukia shimoni na tunashangilia na ku-advocate ujinga huo
 
Kama ACACIA hawahusiki wamekuja kufanyaje
Wanafanya mazungumzo kumwakilisha nani sasa
 
Mkuu usimlaumu prof. Osoro kama kamati nzima ilishikiwa bunduki pale southern sun hotel iandike watakavyo wapenda kiki ulitegemea nini? Ile kamati ilikuwa kama boya tu na waliotengeneza hilo boya ndiyo walikuwa wanaamua lielekee wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…