Walimu wako darasani walikupotosha au umesoma chuo cha kata kama siyo TIA basi IFM vyote hivyo ni vyuo vya kata vinatambulika Tanzania tuHuyu jamaa hajui kabisa uhusiano wa ACACIA na Bulyanhulu anadhani ni kampuni mbili tofauti na anakuja hapa kudanganya watu na kusema ni sub contractor. Watu wengi hawajui kabisa namna haya makampuini makubwa yalivyo majanja ya kuiba kisheria ukizubaa. Nilifanya kazi na kampuni moja inaitwa Skanska Plc, ofisini tulikuwa tuna operate vitabu vitatu tofauti. Skanska kama kampuni tanzu, Skanska Jensen international, na C G Jensen, mabao waliokuwa wanayapiga ni aibu kubwa. report za mwisho wa mwaka zinatengenezwa mbili moja ya kweli na nyingine ya kuonyesha serikalini. Watu kama mleta hoja wanaleta mambo wasiyoyajua wanafuata kelele za kina Zitto na Lissu watu ambao hawajawahi hata kufanya kazi serikalini ama mashirika ya umma ama binafsi zaidi ya siasa.
Kampuni hizo hazikulipa kitu kinaitwa Corporation Tax kwa miaka mitatu mfululizo maana katika P&L Account tulikua tunaonyesha loss hivyo huwezi kulipa kodi kama umefanya biashara katika hasara lakini katika vitabu vingine nyeti kila kitu kinaonekana sawa.
Kuna jamaa alikosana na wakubwa akawachoma aliishia kufukuzwa kazi maana jamaa wa kodi walipokuja walitaja jina lake na wakapewa rushwa kazi ikaendelea kama kawaida.
Ni aibu sana kuona mijitu inapiga kelele kusupport vitu wasivyovijua.
hii ndio Tanzania
Further to yesterday’s announcement, Acacia would like to confirm that it is continuing to operate all three of its mines in Tanzania, namely Bulyanhulu, Buzwagi and North Mara. We would also like to confirm that these mines are all owned and operated by companies that are legally incorporated and registered in Tanzania: Bulyanhulu Gold Mine Limited, Pangea Minerals Limited and North Mara Gold Mine Limited, which are the special mining licence holders for each of the respective mines. These companies are indirectly owned by Acacia Mining plc which is a UK incorporated and registered company. This corporate structure is fully transparent, lawful and is disclosed annually in our annual report and accounts which are audited to an international standard in accordance with IFRS and which are publicly available.Nimeuliza kama wewe hapo juu, nami sijaelewa
Nadhani waseme Fanta, Sprite na Coca Zero.Hebu fafanua kidogo mkuu kuhusu hiyo brand name Vs kampuni. Au ni sawa na iundwe tume kuchunguza kinywaji cha Coca-Cola kutolipiwa kodi halafu mwisho wa siku waseme Coca-Cola haijasajiliwa nchini? Kumbe kodi ilikuwa inalipwa through Kwanza Bottlers Ltd? Sijaelewa, hebu fafanua.
Profesa alishapewa ripoti inachotakiwa kusema, akaambiwa kazi yake kutafuta habari zitakazotoa conclusion fulani tu.Nimeshangaa ile kamati ya pili iliyosheheni walimu wa chuo kikuu wameshindwa kutofautisha ACCACIA kama brand name iliyosajiliwa huko nje ikiwa na sub contract na Bulyanhulu Gold mine Tanzania.
Cha kusikitisha kwenye ile kamati alikuwepo mtu wa TRA tena afisa mwandamizi anayejua kodi hawakusanyi kwa jina la ACCACIA kama brand name bali wanakusanya kama Bulyanhulu Gold mine.
Kwa ufupi nina mashaka na uelewa wa huyu Profesa anayefundisha mambo ya Oligopolistic competition huko chuo kikuu,Kamati imemdanganya Raisi kweupe kuwa ACCACIA as brand name inafanya kazi kinyume cha sheria,
Profesa ameshindwa kuelewa ACCACIA sio kampuni bali wanafanya kazi na sub contractors kama Bulyanhulu Gold mine na zingine nyingi zilizopo huko mgodini
Cocacola imesajiliwa Tanzania au United state? Kosa la bonite bottlers kutolipa kodi halimuhusu mwenye Brand name USA
Nadhani kuna kuwa na kampuni na kampuni ikawa na branches ambazo kila branch inajiendesha kivyake na hata kodi inalipa kivyake na usajili ni individual. Hilo maprof watu hawakiliona.Sidhani kama neno subcontracting ni sahihi Labda neno holding.
Sina maarifa sana hapo tunahitaji elimu zaidi....
Je ni ujanjaujanja wa acacia au ni kutokuelewa kwa wataalam wetu.
Angesema mwanasiasa hayo tungekaa kimya ila kwa sababu ni wataalam Tunaomba ufafanuzi wa kitaalam zaidi maana wenda Kuna maarifa tunapungukiwa wengine.
Soma Sheria za nchi ndo utaelewa if ACACIA is an entity or just a brand name like Azam juice.Nimeshangaa ile kamati ya pili iliyosheheni walimu wa chuo kikuu wameshindwa kutofautisha ACCACIA kama brand name iliyosajiliwa huko nje ikiwa na sub contract na Bulyanhulu Gold mine Tanzania.
Cha kusikitisha kwenye ile kamati alikuwepo mtu wa TRA tena afisa mwandamizi anayejua kodi hawakusanyi kwa jina la ACCACIA kama brand name bali wanakusanya kama Bulyanhulu Gold mine.
Kwa ufupi nina mashaka na uelewa wa huyu Profesa anayefundisha mambo ya Oligopolistic competition huko chuo kikuu,Kamati imemdanganya Raisi kweupe kuwa ACCACIA as brand name inafanya kazi kinyume cha sheria,
Profesa ameshindwa kuelewa ACCACIA sio kampuni bali wanafanya kazi na sub contractors kama Bulyanhulu Gold mine na zingine nyingi zilizopo huko mgodini
Mfano wa coca cola ni mfano sahihi kabisa. Ndio maana kuna bonite, kwanza na nyanza lakini zote ni kampuni zinazobebwa katika jina coca-cola. Sasa kila usajili ukoje brela?? Ni wezi kuna kwanza, Bonita na nyanza. Na HATA kodi inalipwa kwa kampuni iliosajiliwa kama individual entity. Vinginevyo utadai coca - cola marekani. Coca cola ni brand name duniani kote lakini nyanza inajilikana ni coca cola mwanzaKwa mfano wako wa COCA-COLA nadhani anamaanisha kwamba, COCA-COLA ni brand name, lakini wana Products zingine nyingi tofauti na na kinywaji chenyewe cha COCA-COLA, mfano FANTA zingine
not necessary...Huna maarifa kweli na hujui na hutakaa ujue kwa kuwa wewe ni mshabiki
Holding company ni parent coy
Subcontracting company ni subsidiary coy
Siwatetei hawa wawekezaji ila majibu ya hizo kamati sio ya kuaminika vitu vingi ni vyakufikirika
Hujui kitu ndio maana unakimbilia kusema acacia majizi, fikirisha akili kidogo utaona mambo mengi Ambayo yamejificha.Hivi kumbe bado kuna mijitu bado inatetea ujambazi wa ACACIA. Ningekuwa karibu ya hii mijitu ningesokomeza kaa la moto kwenye marinda yao. Ujinga kabisa.
Hahahah!Ndio maana hawataki kwenda mahakamani,wanaunda tume halafu wanatulia,sasa sijui kama tunadai tunalipwaje
Mahakamani nadhani mawakili wa acacia watakuwa wanakesha wanakunywa whisky,haina haja ya maandalizi
Sitashangaa mawakili wa acacia wakimwambia jaji aendelee na kesi kwa kusikiliza Maelezo ya serikali wao wanaenda Kuvuta sigara kidogo nje,ni kesi rahisi mno,unaweza kutoka nje ukalala kidogo huku shahidi wa serikali akiendelea kutoa ushahidi,sababu kwa aina hii ya ushahidi,hata acacia wakiweka sanamu au jiwe,wanashinda tu
Okey twende taratibu!!Ebu toa shule zaidi. Umeminya wengine sio economists, haya mambo ya sub contractor / contractor we are not conversant
Nimekupata. Idea imekuja. hata Subcontractor lazima awe na vibali vya kufanya kazi hiyo-licenced, lakini mimi mwenye nyumba, hainihusu ila namtambua main contractor! Am I right? . Hapo sawa. Je subcontractor lazima awe amekuwa registered hapa kwetu au Main cntractor anambeba and all liabilities zinabebwa na Main contractor (katika case ya acacia)Okey twende taratibu!!
Unaposema constractor unamaanisha nini??
Chukua mfano unajenga ghorofa, ukatafuta mkandarasi ili aanze kujenga baada ya jengo ku dezainiwa na injinia! Sasa huyu mkandarasi ndiye anaitwa "contractor"!!
Swali la pili, unaposema sub-constractor una maanisha nini!!?
Rudi kwenye swali na jibu la kwanza!! Baada ya kuwa na contractor wa kujenga ghorofa lako na ikatokea contractor hajaspeshalizi kuweka umeme kwenye nyumba, the contractor (main constractor) atatafuta constractor mwingine special kwa ajili ya umeme then atampa kazi ya kuweka umeme kwenye nyumba!!
Kumbuka sub contractor anaajiriwa na constructor (main constructor)!!
Pia kumbuka sub constructor wanakua speciallized katika section flan ya uhandisi mfano umeme...kuweka IC au kuweka lift kwenye maghorofa and so forth!! Pia kwa jina lingine wanaitwa specialized constructors na wana ajiriwa na kufanya kazi na (main)constructor !
Kama ACACIA hawahusiki wamekuja kufanyajeNdio maana hawataki kwenda mahakamani,wanaunda tume halafu wanatulia,sasa sijui kama tunadai tunalipwaje
Mahakamani nadhani mawakili wa acacia watakuwa wanakesha wanakunywa whisky,haina haja ya maandalizi
Sitashangaa mawakili wa acacia wakimwambia jaji aendelee na kesi kwa kusikiliza Maelezo ya serikali wao wanaenda Kuvuta sigara kidogo nje,ni kesi rahisi mno,unaweza kutoka nje ukalala kidogo huku shahidi wa serikali akiendelea kutoa ushahidi,sababu kwa aina hii ya ushahidi,hata acacia wakiweka sanamu au jiwe,wanashinda tu
Mkuu usimlaumu prof. Osoro kama kamati nzima ilishikiwa bunduki pale southern sun hotel iandike watakavyo wapenda kiki ulitegemea nini? Ile kamati ilikuwa kama boya tu na waliotengeneza hilo boya ndiyo walikuwa wanaamua lielekee wapiNimeshangaa ile kamati ya pili iliyosheheni walimu wa chuo kikuu wameshindwa kutofautisha ACCACIA kama brand name iliyosajiliwa huko nje ikiwa na sub contract na Bulyanhulu Gold mine Tanzania.
Cha kusikitisha kwenye ile kamati alikuwepo mtu wa TRA tena afisa mwandamizi anayejua kodi hawakusanyi kwa jina la ACCACIA kama brand name bali wanakusanya kama Bulyanhulu Gold mine.
Kwa ufupi nina mashaka na uelewa wa huyu Profesa anayefundisha mambo ya Oligopolistic competition huko chuo kikuu,Kamati imemdanganya Raisi kweupe kuwa ACCACIA as brand name inafanya kazi kinyume cha sheria,
Profesa ameshindwa kuelewa ACCACIA sio kampuni bali wanafanya kazi na sub contractors kama Bulyanhulu Gold mine na zingine nyingi zilizopo huko mgodini