Kamanda Sirro: Nasumbuliwa sana na wanawake usiku

Kama Sirro akiwa Kamanda tu wa Kanda Maalum anapigiwa simu vile sijui Mzee Mwenyewe anakutaga Missed calls ngapi usiku?

Kamanda angeweka wazi Kati ya hizo Missed calls ni wangapi huamua kuwatatua kabisa next day?
 
Jamani mwcheni siro afunguke mapenzi yana raha yake hata kama angekuwa CDF. when it comes to mapenz lazima uwe mpole siro nae ana moyo hana jiwe kwenye suala la mapenzi cheo, ukamanda, ama ukubwa wowote hukaa pembeni.... MOYO SUKUMA DAMU SIO VYENGINE. hata raisi obama alikuwa akionyesha mapenz mubashara kwenye media na dunia inatambua pale alikuwa anauvua urais na ukuu wake wote .
 
Hivi kweli mwanamme mzima,tena mtumishi wa serikali,wa ngazi ya juu,anaweza kuongea hii aibu anayoongea huyu mtu ! (Siro) au ni maneno ya mitandao ?sitaki kuamini km ilivyo.ikiwa ni kweli bac huyu nae akapimwe,lazima awe na shida sehemu ya ufahamu.Jamani ccm mnalisha nn watu wenu?kwann wanakua na lugha ziczo na tafcri wala aibu,na uchaguzi wa wapi wazitoe ? Mtt wa siro,mke,mjukuu wanajifunza nn kwa mtu wao acye na kaba wala adabu ya mdomo ? We Mungu tunusuru na janga la upungufu wa akili nchini mwetu.anapendeza gani huyu mtu kiac cha wanawake wampigie cm hata km co ucku ?kujikweza gani huku kunakomuabisha hata mbele ya shetani ?wanaume hawawi hivyo Jamani.hiini aibu ya nchi nzima Amen.
Sio maneno kuna mpaka kideo kabisa anasema
 
Hivi kweli kwa mwendo huu kiongozi anategemea kupata heshima kutoka kwa nani? Hayo ni madhsrau makubwa sana kuanzia kwa mke, watoto ma jamii kwa ujumla. Utaongozaje watu kwa tabia km hizi? Kweli ONLY IN TANZANIA!!! Ni ujinga ujinga upumbavu ujuha!!!!
 
Kama kweli kaongea namna hiyo kwenye media, naanza kuamini zile milioni tano za shisha zilipitia kwake kama tulivoambiwa na Daudi....
 
Back
Top Bottom