Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,537
Unacheka nini sasa mkuu?Manji na Gwajima wamelala polisi.![]()
![]()
![]()
Unacheka nini sasa mkuu?Manji na Gwajima wamelala polisi.![]()
![]()
![]()
Mwananchi la lini hilo?
Movie imeanza kukosa mvuto![]()
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema kama Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe hataripoti bila kutoa taarifa yoyote ya hudhuru atafuatwa kwa kuwa jeshi hilo linahitaji kumhoji.![]()
Kamanda wa kanda hiyo, Simon Sirro amesema hayo leo muda mfupi baada ya Mbowe kueleza kuwa hataripoti polisi kutokana na wito wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.
Pia Sirro amesema Askofu wa Kanisa la ufufuo na Uzima Josephat Gwajima na Mfanyabiashara maarufu Yusuf Manji walilala polisi kwa kuwa bado upelelezi dhidi yao unaendelea.
"Operesheni ya dawa za kulevya bado inaendelea na kuanzia sasa hatutaruhusu mkusanyiko wa wananchi karibu na kituo cha polisi hiki watakaoonekana watashughulikiwa Kamishna Sirro kwa kuwa tayari nimeshatoa taarifa."
Chanzo: Mwananchi
Mkuu hata mm xkutegemea kusikia kauli hiyo maana yy co aliyemwita nivema yy kama yy angemuita alafu akaangalia je mbowe kakaidi wito wake aah zote kikiMakonda alikuwa anatoa kauli kama hizi ''Kaka yangu Manji namuhitaji siku ya Ijumaa niongee nae''. Huyu Sirro anakuja na mpya tena. Makonda si police. Hawa akina Sirro sasa wanapaswa kuchukua hatua na watimize wajibu wao
Anajibizana na wanasiasa?Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema kama Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe hataripoti bila kutoa taarifa yoyote ya hudhuru atafuatwa kwa kuwa jeshi hilo linahitaji kumhoji.![]()
Kamanda wa kanda hiyo, Simon Sirro amesema hayo leo muda mfupi baada ya Mbowe kueleza kuwa hataripoti polisi kutokana na wito wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.
Pia Sirro amesema Askofu wa Kanisa la ufufuo na Uzima Josephat Gwajima na Mfanyabiashara maarufu Yusuf Manji walilala polisi kwa kuwa bado upelelezi dhidi yao unaendelea.
"Operesheni ya dawa za kulevya bado inaendelea na kuanzia sasa hatutaruhusu mkusanyiko wa wananchi karibu na kituo cha polisi hiki watakaoonekana watashughulikiwa Kamishna Sirro kwa kuwa tayari nimeshatoa taarifa."
Chanzo: Mwananchi
Mim sio mpuuzi wa kuamin upuuzMnaamini walilala polisi????
Mwaka huu mtajua tu mamlaka ya mkuu wa mkoa.Kwani aliyemuita ni Sirro au Makonda?
Dah mpaka namuoneka huruma basi afanyeje ndo matakwa yao...Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema kama Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe hataripoti bila kutoa taarifa yoyote ya hudhuru atafuatwa kwa kuwa jeshi hilo linahitaji kumhoji.![]()
Kamanda wa kanda hiyo, Simon Sirro amesema hayo leo muda mfupi baada ya Mbowe kueleza kuwa hataripoti polisi kutokana na wito wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.
Pia Sirro amesema Askofu wa Kanisa la ufufuo na Uzima Josephat Gwajima na Mfanyabiashara maarufu Yusuf Manji walilala polisi kwa kuwa bado upelelezi dhidi yao unaendelea.
"Operesheni ya dawa za kulevya bado inaendelea na kuanzia sasa hatutaruhusu mkusanyiko wa wananchi karibu na kituo cha polisi hiki watakaoonekana watashughulikiwa Kamishna Sirro kwa kuwa tayari nimeshatoa taarifa."
Chanzo: Mwananchi
Kuwasahaulisha watu na ishu ya NJAA.
RAMLI CHONGANISHI
Mwananchi raia wa kawaida mkuu sio Mwananchi gazeti au mimi ndio sijaelewaMkuu hata mimi nimejiuliza hilo swali. Isijeiu2a wanamlisha Siro maneno!
Nilihoji mimi nkasema kama makonda ndo alimwita hakuwa na budi ya kuwaita ofisini kwake sio polisi, Makonda kiusalama mkoani ni kama kiongozi wa SungusunguKwani aliyemuita ni Sirro au Makonda?
We sio bure kuna kitu. Sasa hapo Kamanda anatekeleza Amri ya nani!!Mbowe ndio anachotaka atafutwe na polisi lkn sio kuitwa na Makondo
Walilala ikuluMnaamini walilala polisi????
Correction :Aitwe na POLICE siyo Sungusungu.MBOWE ANATAKA AITWE NA POLICE NA SIYO.... WA DAR
Mkuu acha vichekesho. Unawezaje kusoma JF kisha ushindwe kulisoma mwananchi online.Mkuu sisi wa Mpanda tutalisoma kesho