Kama wao hawajateua, sisi tumeshakupitisha Mzee Lowassa piga jaramba baba

Halafu eti "NCHI YA VIWANDA" wakati nchi haina mission wala vision.
Ningekutana na pombe ningemuuliza aniambie falsafa ya nchi yetu kwa sasa.
Hilo ni la msingi kabisa lakini hajui ashike lipi sasa maana ashaanza kuyarudia yale aliokwisha yafanya juzi kafanya ziara bandarini tena ni dalili ya kuchanganyikiwa
 
Mkuu kumwona adui no mshindi ni dalili za kukata tamaa usikate tamaa kiasi hicho na ukaona kila kitu anaweza asie Fanya hicho kitu
Mi nafikiri mkuu una wasiwasi tu lakini mkulu dalili zote zinamuonyesha kashindwa mapema kama tulivyoaminishwa huyu ajaye ataweza maana ana busara na uzoefu
 
Hilo ni la msingi kabisa lakini hajui ashike lipi sasa maana ashaanza kuyarudia yale aliokwisha yafanya juzi kafanya ziara bandarini tena ni dalili ya kuchanganyikiwa
Alidhani urais ni rahisi. Kiongozi lazima uwe mvumilivu
Huyu ana sifa za utawala badala ya uongozi.
Atachoka sana kwa sababu hatutanyamaza kumkosoa kila anapoenda kinyume na katiba aliyoapa kuilinda.
 
Kuchapa kazi na kumkosoa vinaenda pamoja.
Asipobadilika anaathiri utendaji wa kazi
kweli kabisa ni mikuki tu kama nungu nungu haweza kutufunga mdomo wala zuia vidole kuandika na mkono kuingia mfukoni kutoa pesa kununua bundle
 
Mnataka mabadiliko kutoka kwa mtu yule yule ambaye nae alikuwa sehemu ya tatizo, nahisi hamjui hata maana ya mabadiliko na ndio maana siku hizi hata RICHMOMD na DOWANS mmeisahau eti leo hii nae mnamwita mwana mabadiliko.
 
Mnataka mabadiliko kutoka kwa mtu yule yule ambaye nae alikuwa sehemu ya tatizo, nahisi hamjui hata maana ya mabadiliko na ndio maana siku hizi hata RICHMOMD na DOWANS mmeisahau eti leo hii nae mnamwita mwana mabadiliko.
Tatizo ni mfumo umemuona huyu mbabe ameshaingia kwenye mfumo uleule wa kulindana,mbona hujataja escrow
 
Kwa hiyo RICHMOMD na DOWANS sawa ila ESCROW ndio si sawa, acha kuwa kama dodoki, huyu jamaa ni mchafu na hasafishiki kama walivyosema wenyewe CHADEMA, ila leo ndio kamanda wao. Kumpigia kura Lowasa inabidi uwe na akili kama za mwendawazimu kipara kipya
 
Back
Top Bottom