Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,025
- 1,791
Kama unapenda mwenyezi Mungu usipite hapa bila kulike hii thread na kucomment "Asante Mungu"
Yaan kitoto sana mwee 😥Haya mambo ya Facebook mkuu
Joined 2024 huyu 😀😃Yaan kitoto sana mwee 😥
Kujoin 2024 si tatizo...tatizo alichokiwasilisha kimemtoa relini🙄Joined 2024 huyu 😀😃
Asante Mungu 😘.....Kwa pumzi ya leo hakika haikuwa rahisiComment "Asante Mungu"
Kazingua sana aisee 😀Kujoin 2024 si tatizo...tatizo alichokiwasilisha kimemtoa relini🙄
Hii ni changamoto kwa kweliKazingua sana aisee 😀
Mambo ya Facebook anayaleta kwenye forumsHii ni changamoto kwa kweli
Kukurupuka,ngoja wakongwe tumpopoe mpaka aipate njia sahihi 🤒Mambo ya Facebook anayaleta kwenye forums
Kumpenda Mungu kunaonyeshwa kwa matendo unayofanya na siyo maneno unayosema au kuandika. Tanzania ukisikia watu wanavyotaja jina la Mungu na ku-like mambo yanayohusu Mungu utadhani ukija utaingia nchi ambayo ina raia wamefanana na malaika. Kumbe dhambi zote ndiyo zainazaliwa hapa.Kama unapenda mwenyezi Mungu usipite hapa bila kulike hii thread na kucomment "Asante Mungu"