KatetiMQ
Senior Member
- Sep 25, 2022
- 194
- 347
Bei za kushea magari tsh ngapiCarwash inalipa kichizi weekend ndio usiseme au msimu wa mvua yani inyeshe leo kesho jua liwake utapiga kazi mpaka uchoke sometimes unapiga mpaka 140k per day.
Bei za kushea magari tsh ngapiCarwash inalipa kichizi weekend ndio usiseme au msimu wa mvua yani inyeshe leo kesho jua liwake utapiga kazi mpaka uchoke sometimes unapiga mpaka 140k per day.
Bei za kushea magari tsh ngapi
Naomba connection mkuu.Mimi mshahara wangu ni 250k tu ila nje ya hapo ninaingiza 20k-80k per day mambo yakichanganyia. Niko Mafinga,wilaya ya Mufindi nashinda pori nasimamia shughuli ya uchanaji mbao.
Kaka Innocent Kirumbuyo ulishatoka Lumumba St, Mwanza ?Mkuu Mimi ni agent nanunulia watu wa mikoani mizigo kariakoo nawatumia transport
Ndio boss nimeshatokaKaka Innocent Kirumbuyo ulishatoka Lumumba St, Mwanza ?
Naweza pata mawasiliano yako mkuuNdio boss nimeshatoka
0768480963Naweza pata mawasiliano yako mkuu
Bro, yaani laki 1 yako ndo umpune mama wa watu 2,000 kwa siku 360?Niliwahi kuwaza kuwa;
Unaenda kwa mama ntilie na laki moja unaongea nae umpe laki moja ili aongeze mtaji na kuboresha huduma... Ila ww unachotaka ni hela ya sahani moja tu kila cku (1500 mpka 2000) ndani ya mwaka mmoja...kwa mwez una 45,000/= or 60,000/= kwa mwaka una 540,000/= au 720,000/=
Sasa tufanye una milion moja.... Zungusha kwa watu kumi, jumla kwa mwaka unakusanya 5,400,000/= au 7,200,000/=
Then unafungua mghahawa wako... Huku unaendelea kununua sahani kwa akina mama..
sure behind keyboard kila mtu anajua anachofanya especially hapo katika kuomba na kuroga maana uzito wake huja giza likishaingia....Hapa unaongelea wasomi kuamini kuwepo kwa uchawi au unaongelea wasomi ku-practice uchawi.
Uchawi upo, practice is an option. Huko kwenu hujawahi sikia watu wamerogwa na kufa? hata neno gamboshi hujawahi kulisikia au ndo huko kusema hutaki kuamini ukiwa online ila ukienda zako kitaa unafanya.
Du aisee hujamsaidia. Udangaji ni laana huwezi kutoboa
Fungua kijiwe cha pombe,nyama choma,kongolo,supu.Utakuja kunishukuru.Naombeni msaada nawezaje kuingiza 30,000 kilasiku hapa mjini Dar es salaam.
Nataman kuwa mwanamke tajiri siku moja.
Nimepambana mwaka 1 na miezi 6 nimeweza kupata 2mil.
Sasa hii natakiwa kuifanya mtaji.
Kwahyo biashara gani nikiifanya naweza kuingiza faida 30k perday?
Huna nia njema na Mbususu yake Mkuu.