Kama unafikiri Tanzania itawekewa vikwazo na nchi wahisani, basi unajidanganya

hahahahaha nimecheka !wenzenu mataifa yaliyoendelea wanapambana usiku na mchana kujenga uchumi eti sisi tunalilia demokrasia. itatusaidia nini. tumedanganywa na wazungu tumeingia kichwakichwa na sasa tunajifanya sisi ndio walimu wa demokrasia. nani aniambiekama tunajenga hiyo nitoleeni mfano wa chama cha siasa hapa nchini ambacho ni role model au mfano wa kuigwa kwa kufuata misingi yake. kama hakuna basi demokrasia haina umuhimu na inatupotezea muda. ndio maana hata China waliamua kuizikilia mbali na kuwwka sheria kali za kutengeneza nidhamu.basi. na hii style naona ndio Magufuli anaifuata. ulinza kama China walishawahi kuwa na bunge la katiba. tunatoa mfano wa China kwa sababu ilikuwa katika misingi ambayo sisi tulikuwepo lakini wako mbali kule hatuwe kuwafikia


Kama tulikuwa na misingi kama ya china lakini bado masikini tatizo siyo misingi ila chama kinachotawala ndiyo tatizo
 
Unamjua USA unamsikia?
Kwani Iran alikuwa hana Support ya Russia,
Russia je hana support ya China?
Mbona waliwekewa vikwazo
 
Wewe hujui kabisa siasa za Dunia. China siku zote huwa inashirikiana na nchi zote ambazo huwa zinawagandamiza wananchi wake. China yenyewe inashutumiwa kwa kugandamiza raia wake, na mataifa ya Ulaya huiweka China kwenye mataifa yasiyo na demokrasia. China na Urusi zinashirikiana na Iran, Sudan na Syria.

Siyo lazima Zanzibar/Tanzania kunyimwa misaada lakini kupongezwa na China siyo kigezo cha kukubalika na mataifa ya Ulaya na Amerika.

Nchi zilizokuwa zimetoa matamko ya kulaani uchaguzi wa Zanzibar ni mataifa ya Ulaya, Marekani na Canada, siyo China.
 
Leo jioni saa 12 nilikuwa nasikiliza taarifa ya habari katika redio E fm ya jijini Dsm,nimesikia habari ya kwamba makamu wa raisi wa China katuma salamu za pongezi nchini Zanzibar juu ya ushindi wa Dr Shein.na wamesisitiza kuwa wataendelea kushikamana naTanzani katika kuimarisha uchumi siiu zote.sasa wewe mwenzangu na mimi ambaye ulidhani hizo nchi zitatuwekea vikwazo basi ujue unajidanganya tu,hata nchi aahisani zingine zitaendelea kuwa pamoja na Tz tu,hapa pana fursa za wao kunufaika bhana,harafu we unadhani wakikata misaada watanufaika vipi? Sasa kama China imepongeza ushindi wa kishindo aliopata Dr shein unategemea nini? Ukawa tujipange upya sana la sivo tutapelekwa na ccm hadi tuombe pooo.
Jamaa yangu kama umesoma elimu haijakukomboa, wachina kwa taarifa yako huwa hawashirikiani na nchi yoyote kwa hasara angalia kampuni nyingi za kichina mfano za ujenzi wa barabara zinaleta wafanyakazi wao ambao huwa wanawatoa katika magereza zao kwa kifupi waharifu ndio huwa wanaletwa kufanya kazi huku, kazi ambazo hata watanzania wakawaida wangefanya lakini pia ni watoroshaji wa mali asili nyingi za nchi yetu. Tukirudi zanzibar ni visiwa vinavyotegemea watalii wengi kutoka ulaya na marekani na sio china sasa ukiona diplomasia inakua mbaya ujue utalii utaathirika sana zanzibar.
 
Leo jioni saa 12 nilikuwa nasikiliza taarifa ya habari katika redio E fm ya jijini Dsm,nimesikia habari ya kwamba makamu wa raisi wa China katuma salamu za pongezi nchini Zanzibar juu ya ushindi wa Dr Shein.na wamesisitiza kuwa wataendelea kushikamana naTanzani katika kuimarisha uchumi siiu zote.sasa wewe mwenzangu na mimi ambaye ulidhani hizo nchi zitatuwekea vikwazo basi ujue unajidanganya tu,hata nchi aahisani zingine zitaendelea kuwa pamoja na Tz tu,hapa pana fursa za wao kunufaika bhana,harafu we unadhani wakikata misaada watanufaika vipi? Sasa kama China imepongeza ushindi wa kishindo aliopata Dr shein unategemea nini? Ukawa tujipange upya sana la sivo tutapelekwa na ccm hadi tuombe pooo.
ila mkuu unajua china waliisaidia sana ccm uchaguz wa 2015 ccm kushinda???????
kati ya nchi ambazo zinanyonya nchi hii ni uchina,....CCM wanawahakikishia china meno ya tembo matani na matani na hizo pesa zinaliwa na AKINA kiner,,ner + vas,..co,... be..,n mpka nk
so usitegemee china kuponda uongoz wa ccm never
wanamaslahi yao pale
 

Attachments

  • 33b8aa50dd2da6f66e4d0de9a37aa44f.jpg
    33b8aa50dd2da6f66e4d0de9a37aa44f.jpg
    60.1 KB · Views: 30
  • 6799_10154014737124339_328426778405067931_n achapa usingizi.jpg
    6799_10154014737124339_328426778405067931_n achapa usingizi.jpg
    25.8 KB · Views: 27
  • 1457762004365.jpg
    1457762004365.jpg
    154.1 KB · Views: 32
  • Cd-u3wwUAAAT0Mo.jpg
    Cd-u3wwUAAAT0Mo.jpg
    25.9 KB · Views: 31
  • ImageUploadedByJamiiForums1457862005.023240.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1457862005.023240.jpg
    32.4 KB · Views: 27
  • IMG-20160320-WA0001.jpg
    IMG-20160320-WA0001.jpg
    80 KB · Views: 34
Marekani kamkataza China asichukue pembe za Ndovu China katii kwa kfup wazungu sio watu wa Maigizo igizo itafahamika tu
mkuu unakumbuka shehena ile ya meno ya tembo iliyobebwa na ndege ya china kutoka TZ??????
UK walitoa taarifa kwetu na serikali yetru ikatetea kuwa hawjabeba meno,.......hii nchi ya ajabu sana
yaani huwa nashangaa sana viroja mimi........
 
Napata shida namna unavyohusianisha post na chama.
Anyway ndo uwezo wa kufikilia wa vijana wetu wa siku izi sio kosa lako
uwezi kutenganisha CCM na china........
ridh1 alikamatwa china na pouderly,.......
fidia yakew china wananyonya gas ya mtwara,......
fungua akili mkuu
hivi wachina waliojaa TZ kwetu mbna china nchini kwao watz wachache????????
fungua akili mkuu
 
ni kweli huyu ni mtoto wangu mimi lakini naomba niwape tenda ya kuchimba gas mpaka mtakapo choka maana mimi ni mtawala wa ile nchi hata hivyo tongozeni hawa watanzania tupate mbegu za hohohihodayi hahahaha natania tu njombaaa
mkuu kma uliwarecord vile.......
anavyopenda kucheka jamaaa nahs alikuwa mpole dat day....
 
hahahahaha nimecheka !wenzenu mataifa yaliyoendelea wanapambana usiku na mchana kujenga uchumi eti sisi tunalilia demokrasia. itatusaidia nini. tumedanganywa na wazungu tumeingia kichwakichwa na sasa tunajifanya sisi ndio walimu wa demokrasia. nani aniambiekama tunajenga hiyo nitoleeni mfano wa chama cha siasa hapa nchini ambacho ni role model au mfano wa kuigwa kwa kufuata misingi yake. kama hakuna basi demokrasia haina umuhimu na inatupotezea muda. ndio maana hata China waliamua kuizikilia mbali na kuwwka sheria kali za kutengeneza nidhamu.basi. na hii style naona ndio Magufuli anaifuata. ulinza kama China walishawahi kuwa na bunge la katiba. tunatoa mfano wa China kwa sababu ilikuwa katika misingi ambayo sisi tulikuwepo lakini wako mbali kule hatuwe kuwafikia
Umeongea point lkn sio kwa tanzania sheria kali kwa watu wengine na watoto wa vigogo kubaki kama wafalme sasa watangaze nchi inaongozwa kifalme na familia zilizopata fulsa toka mwanzo na wengine tubaki kuabudu iyo kitu ili kama kunyongwa ni sisi na si viongozi tena wale baba zao ndo walileta uhuru china rais akiiba africa ni ruksa lakin akiiba china ananyongwa hapa kwetu atuwezi tuache izo mambo tunadanganyana braah
 
Back
Top Bottom