Kama una sifa hizi basi huwezi kutegemewa, sitisha hata kuwa na familia

Mwanasayansi Kalivubha

Senior Member
Feb 4, 2024
104
271
KAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA, HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA 😔

1. Kila changamoto inakuliza na kukuumiza.
2. Mtu wa kulalamika tu.
3. Unaishi kijanja janja kukwepa majukumu.
4. Hutaki kuwajibika kwa makosa yako.
5. Mtu wa kususa hovyo.
6. Unajitetea sana
7. Bado una utoto wa kutaka kila kitu upate kwa wakati.
8. Huna siri.
9. Vijiweni muda mwingi na huna cha maana huko.
10. Bado unajifariji kwa kauli za " MAISHA NDIO HAYA HAYA"

Helo Aprili, robo ya kwanza ya mwaka 😊

Mwanasayansi Saul kalivubha.

Fikia Ndoto zako.
 
KAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA, HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA

1.Kila changamoto inakuliza na kukuumiza.
2.Mtu wa kulalamika tu.
3.Unaishi kijanja janja kukwepa majukumu.
4 .Hutaki kuwajibika kwa makosa yako.
5.Mtu wa kususa hovyo.
6.Unajitetea sana
7.Bado una utoto wa kutaka kila kitu upate kwa wakati.
8.Huna siri.
9.Vijiweni muda mwingi na huna cha maana huko.
10.Bado unajifariji kwa kauli za " MAISHA NDIO HAYA HAYA"

#Helo Aprili, robo ya kwanza ya mwaka

#Mwanasayansi Saul kalivubha.

Fikia Ndoto zako.
Mbona hizo sifa zote ni za kike?
 
KAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA, HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA 😔

1.Kila changamoto inakuliza na kukuumiza.
2.Mtu wa kulalamika tu.
3.Unaishi kijanja janja kukwepa majukumu.
4 .Hutaki kuwajibika kwa makosa yako.
5.Mtu wa kususa hovyo.
6.Unajitetea sana
7.Bado una utoto wa kutaka kila kitu upate kwa wakati.
8.Huna siri.
9.Vijiweni muda mwingi na huna cha maana huko.
10.Bado unajifariji kwa kauli za " MAISHA NDIO HAYA HAYA"

#Helo Aprili, robo ya kwanza ya mwaka 😊

#Mwanasayansi Saul kalivubha.

Fikia Ndoto zako.
Hivi...siku ya wajinga ni lini
 
KAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA, HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA 😔

1.Kila changamoto inakuliza na kukuumiza.
2.Mtu wa kulalamika tu.
3.Unaishi kijanja janja kukwepa majukumu.
4 .Hutaki kuwajibika kwa makosa yako.
5.Mtu wa kususa hovyo.
6.Unajitetea sana
7.Bado una utoto wa kutaka kila kitu upate kwa wakati.
8.Huna siri.
9.Vijiweni muda mwingi na huna cha maana huko.
10.Bado unajifariji kwa kauli za " MAISHA NDIO HAYA HAYA"

#Helo Aprili, robo ya kwanza ya mwaka 😊

#Mwanasayansi Saul kalivubha.

Fikia Ndoto zako.
Hizo sifa ni za maskini
 
Tusipangiane maisha aisee!

20240129_230621.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Kama kuna binadamu atakuwa na hizo sifa zote hizo hapo juu basi hapaswi kuendelea kuwa hai ni bora afe tu akapumzike kwenye nyumba yake ya milele.
 
Back
Top Bottom