sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,512
- 8,510
This is according to you.Mnajazana upepo tu Lost ni ya ovyo kama haujaiangalia usipoteze mda wako
Sent using Jamii Forums mobile app
This is according to you.Mnajazana upepo tu Lost ni ya ovyo kama haujaiangalia usipoteze mda wako
Ile series ni ya kichoko tu,,,,tukio lile lile episodes kama sita ,,,,,nikaamuA kuitema
Sent using Jamii Forums mobile app
angali star gateKama uliwahi kuisifia series hii inayoitwa Lost humu JF njoo pm nikuchape vibao.
Kuna watu wanaingizana mkenge humu, Wanakisifia kitu ila ukitizama ni uchafu mtupu. J.J.Abrams ni moja ya Director na Creators mzuri ninayemkubali baada ya Russo Brothers,David Cameron,Mel Gibson,Zack Snyder,D.Weiss&D Benioff ila kwa hii series Kaniangusha sana.
Mlio isifia hii series hongereni kwa kunipotezea muda!!
Uliyenishauri kutizama G.OT Ahsante sana..nitakusifu siku zote.
Haya niambieni kati ya Last Ship na Viking niangalie ipi?
Nimeitazama 2009, na sikujutia muda wangu. Hivi sasa nataka kuirudia tena...
Dah aiseee sijui uko wapi.Kaka naweza kuipata?
Ni kama mfano ucheki Inception ya de caprio Ile movie kama una kichwa panzi huwezi elewa.Hao vijana ndio wanakuambia prison break ni bora kuliko zote..kwa sababu tu wameilewa ipo direct sana hata mdogo wangu wa miaka 7 anaelewa...ukiwaleta kwenye dude kama lost hawatizami mara mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni mind twisting movies tunaziangalia wachache sana...hao mdogo wapenda kina avengers huwezi wakuta wakiziangalia kabisaaNi kama mfano ucheki Inception ya de caprio Ile movie kama una kichwa panzi huwezi elewa.
Hutoelewa kama hujui English tu au uwe unaangalia kama taarifa ya habari.Ni kama mfano ucheki Inception ya de caprio Ile movie kama una kichwa panzi huwezi elewa.
Huyo aliyetengeneza Inception na interstellar yaani Christopher nolan ndio ametengeneza batman dark night franchise ambayo haina tofauti na avengers sababu yenyewe imebase kwenye comic books za DC ambao ndio wapinzani wakubwa wa marvel watengenezaji avengers.Hizo ni mind twisting movies tunaziangalia wachache sana...hao mdogo wapenda kina avengers huwezi wakuta wakiziangalia kabisaa
Hizi namba ulizoandika nazo Nikisanga..Uzuri zaidi wa lost wale jamaa waliinvest kwenye story,hakuna sex scenes za ovyo ovyo au ishu za mashoga kama series za sikuhizi.
Kwahiyo una weza cheki hata na mdogo wako wa miaka 2 bila kuforward.
4815162342