Kama ni muajiriwa, fanya hizi biashara

glory to yhwh

JF-Expert Member
Jul 11, 2013
1,026
1,387
Mara nyingi waajiriwa wamekuwa wakipata changamoto ya kufeli kwa biashara, wanazozianzisha, tena mapema sana, kutokana na kutokuwa na uelewa (awareness) wa kutosha na muda wa kusimamia.

Factors zinaweza kuwa zaidi ya hizo ila kwa waajiriwa main ni hizo.

Sio kila biashara anaweza kufanya mtu aliyeajiriwa (8 to 5 job)

Kwa waajiriwa wengi mtaji sio tatizo, tatizo ni afanye biashara gani itakayompa kipato cha ziada na iwe successful

Hizi hapa chini

1. Tenda za ku-supply bidhaa kwenye shirika au kampuni kubwa reliable,

2. Kuweka stock mazao, hasa yasiyohitaji uangalizi wa mara kwa mara. E.g. Mpunga, mihogo etc

3. Kukodisha gari kwenye kampuni au shirika (mfano kampuni za tour, NGOs, mgodini etc)

Sasa usije ukachukua mkopo haraka haraka baada ya kupata hii insight.

[Nitaandika uzi hapa siku si nyingi juu ya kwanini usichukue mkopo (kama bado hujachukua) au kutop up mpaka ujibu maswali matatu]


️Ebu tuambie uliangukia pua biashara ipi
️Nini umejifunza
️Unashauri nini kwa mtu aliyeajiriwa anapotaka kufanya biashara

Ongezea zingine unazozijua zinazomfaa mwajiriwa

We are all learning
 
Mara nyingi waajiriwa wamekuwa wakipata changamoto ya kufeli kwa biashara, wanazozianzisha, tena mapema sana, kutokana na kutokuwa na uelewa (awareness) wa kutosha na muda wa kusimamia.

Factors zinaweza kuwa zaidi ya hizo ila kwa waajiriwa main ni hizo.

Sio kila biashara anaweza kufanya mtu aliyeajiriwa (8 to 5 job)

Kwa waajiriwa wengi mtaji sio tatizo, tatizo ni afanye biashara gani itakayompa kipato cha ziada na iwe successful

Hizi hapa chini

1. Tenda za ku-supply bidhaa kwenye shirika au kampuni kubwa reliable,

2. Kuweka stock mazao, hasa yasiyohitaji uangalizi wa mara kwa mara. E.g. Mpunga, mihogo etc

3. Kukodisha gari kwenye kampuni au shirika (mfano kampuni za tour, NGOs, mgodini etc)

Sasa usije ukachukua mkopo haraka haraka baada ya kupata hii insight.

[Nitaandika uzi hapa siku si nyingi juu ya kwanini usichukue mkopo (kama bado hujachukua) au kutop up mpaka ujibu maswali matatu]


️Ebu tuambie uliangukia pua biashara ipi
️Nini umejifunza
️Unashauri nini kwa mtu aliyeajiriwa anapotaka kufanya biashara

Ongezea zingine unazozijua zinazomfaa mwajiriwa

We are all learning
Nilisahau, hapo juu namba 4
tuweke uwekezaji kwenye UTT endapo utashindwa hayo mengine yoote hapo juu

It better you invest with low return than risking your fund with high probability of loosing
 
Hii ya kuweka stock mpunga ni nzuri na kama Kuna mtu ana mtaji aje aweke stock hiyo wilaya ya sengerema Mwanza kwasasa gunia la debe 7 lenye kutoa kilo kuanzia sitini ni elf 50 na bei itashuka zaidi maana wengi Bado hawajavuna
Itafika elfu arobaini
 
Issue ni kupata mtu mzuri mwaminifu wa kukuonyesha mpunga mzuri

Maana unaweza pigwa mapilau
Sas aumeshasema umeajiriwa, hapo hapo ukazunguke kwenye mashamba kununua mazao mfano upo Dar, saa ngapi utafika huko? Kazini upo jumatatu mpaka ijumaa, ukiweka mtu kwa asilimia zaidi ya 80% utaibiwa maana hamna uaminifu nchini.

Kwa mtazamo wangu biashara nyingi hazifeli sababu ya mtaji bali ni sababu ya ukosefu wa usimamizi/menejimenti. Kila biashara ni nzuri ikisimamiwa na mhusika vizuri.
Ukiwa mfanyakazi na ukataka kupoteza pesa anzisha biashara inayohitaji usimammizi halafu usiwepo. Labda awe mme au mke vinginevyo hasara inakuhusu.

Mfumo Wa maisha upo hivi ili upate faida kubwa inabidi uweke muda na pesa, kama huna muda kubali faida ndogo ambazo ni hizo za kina utt
 
Well, You might be right

Lakini walau wamekuwa consistent

Mfuko ulianzishwa mwaka 2007, kipindi hicho sijui rais nani huko, bado miaka mitatu utimize 20 yrs

Naona kama hii serikali wanaiheshimu
Kuna wahuni watakuwa wanailia timing tu.
Wakifirisi mashirika yote yakashindwa kuwakopesha lazima wazame UTT
 
Back
Top Bottom