Kama Maboresho ya Reli ya TAZARA ni ili tutumie treni ya dizeli tukatae huo mradi

Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati

PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya

Lake Oil, Oil Com, GBP na wengineo watauza wapi mafuta?
 
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati

PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
Kwani sasa hivi hiyo treni inatumia nini
 
Lakini wachina hao hao wapo tayari kuifanya iwe SGR ni jinsi tutakavyokubaliana
Acha utani,Ili iwe Sgr lazima kuongezewa Ukubwa na uimara wa tuta,madaraja yote kuwa designed na kujengwa upya nk nk.

Harafu Sgr sio lazima iwe ya umeme so gharama za kuwa Sgr ni sawa na kuanza upya ujenzi kitu ambacho haiwezekani Kwa Sasa.

Mwisho hakuna sababu za kuwa Sgr etc,Sadc countries zote Zina Cape gauge kama yetu so Ili kufanya connectivity nzuri lazima iendelee kuwa Cape gauge.

Kinachotakiwa na kufanya Maboresho Ili treni iweze kwenda speed ya 80km/hr Kwa mizigo na zaidi ya 100km/hr Kwa Abiria na ndicho kinaenda Kufanyika.
 
Acha utani,Ili iwe Sgr lazima kuongezewa Ukubwa na uimara wa tuta,madaraja yote kuwa designed na kujengwa upya nk nk.

Harafu Sgr sio lazima iwe ya umeme so gharama za kuwa Sgr ni sawa na kuanza upya ujenzi kitu ambacho haiwezekani Kwa Sasa.

Mwisho hakuna sababu za kuwa Sgr etc,Sadc countries zote Zina Cape gauge kama yetu so Ili kufanya connectivity nzuri lazima iendelee kuwa Cape gauge.

Kinachotakiwa na kufanya Maboresho Ili treni iweze kwenda speed ya 80km/hr Kwa mizigo na zaidi ya 100km/hr Kwa Abiria na ndicho kinaenda Kufanyika.
Nchi za SADC kutokuwa na treni ya umeme hamaamishi na sisi tuwe na treni ya dizeli.

Mbona hakuna treni ya umeme wa Afrika Mashariki na Kati na sisi tumekuwa wa kwanza kuwa nayo na dunia yote sasa inatusifu kuwa tumefanya jambo la maana?

Why turudi kwenye treni ya dizeli kwenye maboresho ya TAZARA?
 
Nchi za SADC kutokuwa na treni ya umeme hamaamishi na sisi tuwe na treni ya dizeli.

Mbona hakuna treni ya umeme wa Afrika Mashariki na Kati na sisi tumekuwa wa kwanza kuwa nayo na dunia yote sasa inatusifu kuwa tumefanya jambo la maana?

Why turudi kwenye treni ya dizeli kwenye maboresho ya TAZARA?
Ya kwako iwe ya umeme Ili ukaunganishe na nani? Kwani reli ni mapambo?
 
Ya kwako iwe ya umeme Ili ukaunganishe na nani? Kwani reli ni mapambo?
Acha uzwazwa hujui sisi kuwa na treni ya umeme ni added advantage kwetu?

Hujui hata hao majirani wataopt kutumia njia zetu zaidi kufikisha mizigo kwako kutokana na uharaka wa usafirishaji?
 
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati

PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
Pole .Tazara inarejeshewa uhai wake China to bring Tanzania-Zambia railway back to full speed with US$1 billion boost
Screenshot_20241004-080756.jpg
 
Back
Top Bottom