Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 27,407
- 71,490
Tazama Hapa tukio la FUMANIZI la jamaa mmoja ambaye alifanikiwa kumfuma mke wake wa ndoa akijivinjari na mwanaume mwingine nyumba ya jirani.
Angalizo: Punguza Sauti Kama upo kwenye watu wengi
View: https://www.instagram.com/reel/C5pbVlzIiGv/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
Kama mtu hujawa tayari kuitumikia ndoa na kuiheshimu ni bora usiingie ndoani, haya mafumanizi yanagharimu sana watu, watu wanakufa, wanafungwa na familia zinasambaratika kwa sababu ya usaliti.
Angalizo: Punguza Sauti Kama upo kwenye watu wengi
View: https://www.instagram.com/reel/C5pbVlzIiGv/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
Kama mtu hujawa tayari kuitumikia ndoa na kuiheshimu ni bora usiingie ndoani, haya mafumanizi yanagharimu sana watu, watu wanakufa, wanafungwa na familia zinasambaratika kwa sababu ya usaliti.