Kama HII Sauti ni ya Kwake YEYE Mwenyewe,na Aliyepangiwa,kwenye Sauti Hiyo ni Huyu Mhaini,Namshauri DPP,Do The Needful ASAP!Kabla YEYE Hajakinukisha!。

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
54,323
122,951
Wanabodi

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kikubwa,hakuna jina la mtu yoyote, naomba tusitaje taje majina!。

Haya sio mambo ya ulimwengu huu wa kimwili,ni mambo ya ulimwengu wa kiroho。

Huko siku za nyuma,niliwahi kuisikia sauti fulani kutoka ndani yangu na nikapandisha bandiko la sauti HII humu jukwaani。

Sasa kama sauti HII ni sauti ya kwake mwenyewe YEYE ambaye ni YEYE mwenyewe,na aliyepangiwa,kwenye sauti HII ni huyu mhaini wetu, namshauri DPP wetu, niko chini ya miguu yako,Please! Please! Please!,tumia uwezo wako na powers zako za Nolle,to “ Do The Needful ASAP!” Kabla YEYE hajawashukia na kukinukisha!。

Uhaini sio matamshi,haufanywi kwa maneno ni kwa matendo ya mipango mkakati yenye actus reus na mens rea!。Uhaini My God!. Kuna Uwezekano Anadanganywa na Kadanganyika? I Don't Believe This!. Sitatizwi na Uongo Wao, Natatizwa na The Motives Behind Such Lies!

Na hapa niliendesha darasa la kesi za uhaini Ijue Katiba ya JMT kwa Jicho la Mtunga Katiba: Watanzania Tusishabikie Uhaini. Hukuna Uhaini wa Kauli na Maneno, Uhaini ni Mipango na Matendo

Malizeni hii kitu ASAP!,inamchafulia mama good track record yake bure!

Paskali
 
Wanabodi

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kikubwa,hakuna jina la mtu yoyote, naomba tusitaje taje majina!。

Haya sio mambo ya ulimwengu huu wa kimwili,ni mambo ya ulimwengu wa kiroho。

Huko siku za nyuma,niliwahi kuisikia sauti fulani kutoka ndani yangu na nikapandisha bandiko la sauti HII humu jukwaani。

Sasa kama sauti HII ni sauti ya kwake mwenyewe YEYE ambaye ni YEYE mwenyewe,na aliyepangiwa,kwenye sauti HII ni huyu mhaini wetu, namshauri DPP wetu, niko chini ya miguu yako,Please! Please! Please!,tumia uwezo wako na powers zako za Nolle,to “ Do The Needful ASAP!” Kabla YEYE hajawashukia na kukinukisha!。

Uhaini sio matamshi,haufanywi kwa maneno ni kwa matendo ya mipango mkakati yenye actus reus na mens rea!。

Malizeni hii kitu ASAP!,inamchafulia mama good track record yake bure!

Paskali
Tunasubiri
 
Wanabodi

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kikubwa,hakuna jina la mtu yoyote, naomba tusitaje taje majina!。

Haya sio mambo ya ulimwengu huu wa kimwili,ni mambo ya ulimwengu wa kiroho。

Huko siku za nyuma,niliwahi kuisikia sauti fulani kutoka ndani yangu na nikapandisha bandiko la sauti HII humu jukwaani。

Sasa kama sauti HII ni sauti ya kwake mwenyewe YEYE ambaye ni YEYE mwenyewe,na aliyepangiwa,kwenye sauti HII ni huyu mhaini wetu, namshauri DPP wetu, niko chini ya miguu yako,Please! Please! Please!,tumia uwezo wako na powers zako za Nolle,to “ Do The Needful ASAP!” Kabla YEYE hajawashukia na kukinukisha!。

Uhaini sio matamshi,haufanywi kwa maneno ni kwa matendo ya mipango mkakati yenye actus reus na mens rea!。Uhaini My God!. Kuna Uwezekano Anadanganywa na Kadanganyika? I Don't Believe This!. Sitatizwi na Uongo Wao, Natatizwa na The Motives Behind Such Lies!

Na hapa niliendesha darasa la kesi za uhaini

Malizeni hii kitu ASAP!,inamchafulia mama good track record yake bure!

Paskali
Unasisitiza humtaji yoyote halafu mwisho unamtaja dpp na mama..
Mamako yupi?
Unamuongelea Tundu lissu,Kwa kesi ya kumpakazia ya uhaini.
Na haya mambo yote yanayotendeka kwani huyo mamako hayoni,hayasikii?
Kwa kifupi yana baraka zake.


Mmemshika makusudi Ili Leo mmfanye Kwa amani hizo hafla zenu huko makao makuu,mkidai asiesaini hatoshiriki uchaguzi.kama sio Hila za kishamba ni Nini basi?
 
Mhh ngumu kuelewa legeza kidogo Kiongozi namimi nielewe.
N kwamba mtoa mada aliwahi kuandika mada kuwa, n vyema 2025 mama akamkabidhi mwanaume awe rais (bila kujali chama) sasa ndo mtoa mada anasema kama huyo mwanaume ni lissu bc DPP afanye busara kuachana na hii Kesi na lissu awe huru na Chadema waingie kwenye uchaguzi 😎
 
Wanabodi

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kikubwa,hakuna jina la mtu yoyote, naomba tusitaje taje majina!。

Haya sio mambo ya ulimwengu huu wa kimwili,ni mambo ya ulimwengu wa kiroho。

Huko siku za nyuma,niliwahi kuisikia sauti fulani kutoka ndani yangu na nikapandisha bandiko la sauti HII humu jukwaani。

Sasa kama sauti HII ni sauti ya kwake mwenyewe YEYE ambaye ni YEYE mwenyewe,na aliyepangiwa,kwenye sauti HII ni huyu mhaini wetu, namshauri DPP wetu, niko chini ya miguu yako,Please! Please! Please!,tumia uwezo wako na powers zako za Nolle,to “ Do The Needful ASAP!” Kabla YEYE hajawashukia na kukinukisha!。

Uhaini sio matamshi,haufanywi kwa maneno ni kwa matendo ya mipango mkakati yenye actus reus na mens rea!。Uhaini My God!. Kuna Uwezekano Anadanganywa na Kadanganyika? I Don't Believe This!. Sitatizwi na Uongo Wao, Natatizwa na The Motives Behind Such Lies!

Na hapa niliendesha darasa la kesi za uhaini

Malizeni hii kitu ASAP!,inamchafulia mama good track record yake bure!

Paskali
Mkuu, na wewe utakuwa shahidi wa kueleza nin maana ya neno kukinukisha?

Ila bandiko lako linaeleweka na wamekusikia. Wakishupaza shingo ni juu yao wenyewe zitakapo anza kuvunjwa maana malaika walifika na kusema.
 
Ni Nchimbi

Ukisikia mazungumzo ya Mchimb na wasiri wake, kwa kweli ni laana tupu. Yeye ndiye anayekazania Biibi atangazwe hata asipopigiwa japo kura 1. Halafu anasisitiza kuwa bibi ni mgonjwa!! Mahesabu yake ni kuwa huenda ikatokea kama ilivyotokea awamu ya 5, na hivyo yeye akawa top bila ya kuhitaji kura ya mtu. Ndiyo maana Mchimb anahangaika sana kusimamia kila uovu ili bibi atangazwe mwezi wa Oct, lakini huku akisubitia mengine, ambayo hana uhakika nayo.

Mchimb atambue kuwa kuugua siyo kufa, atakuja kujutia analolisubiria lisipotokea..
 
Ukisikia mazungumzo ya Mchimb na wasiri wake, kwa kweli ni laana tupu. Yeye ndiye anayekazania Biibi atangazwe hata asipopigiwa japo kura 1. Halafu anasisitiza kuwa bibi ni mgonjwa!! Mahesabu yake ni kuwa huenda ikatokea kama ilivyotokea awamu ya 5, na hivyo yeye akawa top bila ya kuhitaji kura ya mtu. Ndiyo maana Mchimb anahangaika sana kusimamia kila uovu ili bibi atangazwe mwezi wa Oct, lakini huku akisubitia mengine, ambayo hana uhakika nayo.

Mchimb atambue kuwa kuugua siyo kufa, atakuja kujutia analolisubiria lisipotokea..
Achana na hizo propaganda zisizo na akili, hayo unayoyaongelea hayana afya na hawezi kuyasema Nchimbi ila najua ushauri wake ndo unatufikisha hapa.
 
Back
Top Bottom