Kagera Sugar na Serikali kama Birthday ya Ronaldo wa Madrid

Mtu asiyeweza kusoma na kelewa maandishi ya zamani yalioandikwa kwa lugha ya kizamani na yalioanza kuchakaa hataweza kukuelewa milele...hongera sana kwa habari, kumbe ndo maana sukari imeadimika kwa sababu ya kuwapa watu wachache faida!
Nimependa maneno yako nimeona nikuquote kabisa
 
Uandishi wa kimajungu majungu kwangu hauna nafasi. go straight to the point, sio kuzunguka mbuyu
Hii ngumu mkuu wenzio walipigwa bani kwenye kasri wasitaje jina la mwinyi mpeku sasa hadi hapa unataka utafuniwe? Ebbo akili kumkichwa atti.
 
Kwani mtoa hoja ka single out bana kahusisha Serikali ya CCM kwa ujumla wake.
Sikumbuki ilikuwa kamati gani, kama sikosei ilikuwa ile ya Zitto. Kama haikuwa hiyo naomba mnisahihishe. Toka hapo sukari ilipanda bei, ya nje ilikuwa inapatikana kwa ulanguzi. Zuio la Magufuli ndiyo lilikuwa kali zaidi. Sukari ya nje ilipigwa marufuku kuuzwa ndio maana wafanyabiashara 'walificha' sukari. Bei ya sukari ilipandishwa na Mkapa alipotoa vibali vya kuagiza kwa makampuni machache. Wakati wa Mwinyi sukari ilikuwa inaingia tu. Sukari ya Malawi was the best.
 
Sikumbuki ilikuwa kamati gani, kama sikosei ilikuwa ile ya Zitto. Kama haikuwa hiyo naomba mnisahihishe. Toka hapo sukari ilipanda bei, ya nje ilikuwa inapatikana kwa ulanguzi. Zuio la Magufuli ndiyo lilikuwa kali zaidi. Sukari ya nje ilipigwa marufuku kuuzwa ndio maana wafanyabiashara 'walificha' sukari. Bei ya sukari ilipandishwa na Mkapa alipotoa vibali vya kuagiza kwa makampuni machache. Wakati wa Mwinyi sukari ilikuwa inaingia tu. Sukari ya Malawi was the best.
Mkuu hali ni mbaya zaidi sukari haijafichwa kihivyo, hayo ni maelezo dhaifu ya watawala kwa vile hawakuwa na fikra mbadala wala uwezo wa kujitoa ktk tatizo walilolitengeneza wenyewe huku wakiwa na less information. Sukari ingekuwa imefichwa walipoikamata wangeondoa tatizo hata kwa week moja.

ULEVI WA ILE DOCUMENTARY NDIO ULIZIDI. NA HII IPO SANA KTK HII NCHI, AT LEAST KILA MARA WANA HUU ULEVI KTK IDARA ZA KUTOSHA KUIFANYA SERIKALI IWE BUSY KWA HUU ULEVI KULIKO ISSUE ZA MAANA.
 
Its Funny, Christian Ronaldo aliangusha party kubwa na kutumbuizwa na mwanamuziki kutoka Brazil, baada ya party ilibidi mwaka mzima Gerald Pique, mchezajiw a Barcelona nayechukiwa sana kuishukuru hiyo party kwani msimu huo Barcelona ilichukua makombe ya kutosha, na Lionel Messi kuwa mchezaji bora Tena.

Mwaka huu Kagera sugar waliandaa Documentary moja yenye mbwembwe sana , ilitumbizwa na mtangazaji mwenye Mbwembwe sana baada ya kujipatia umaarufu ktk masuala ya kuchangisha michango kwa watu weny uhitaji wa matibabu ya ghali.SI mwingine ni SAM MAHELA. Ktk hiyo documentary Waziri mkuu, na rais walionekana kuvutiwa sana na mafanikio yalionyeshwa na hicho kiwanda. Hapa RONALDO ALIOMBA TIMU YOTE IMPE MIPIRA ILI AFUNGE YEYE"..Yaani SUkari ya nje izzuie

Nilipioona tuu hiyo documentary, kwa uelewa wangu mdogo na data sahihi nilizo nazo ktk historia ya matukio ya hii nchi nilijisemea tuu..hii ni "HII NI PARTY NYINGINE YA RONALDO YA KUUIaNGUSHA MADRID" . Nilipata huruma sana kwa mtawala wetu, nilijua siku sio nyingi tutafurahi.Na kitakachotupa furaha zaidi si kitakachotokea ila jinsi kitakavyoshughulikiwa.

....

.....Mkuu salute GT
 
Kasome thread za diamond na wema ziko nyingi tu utaelewa mkuu!
Haha.Umenikumbusha waziri Nape alipokuwa ktk uzinduzi wa app ya Wema. Jamaa alikuwa aliamua kuwa msungumzaji wa Wema. Cha kuchekesha eti walikuwa wanasema hiyo app itasaidia kutoa taarifa sahihi ,tofauti na magazeti. Nilishangaa kwani hayohayo magazeti ndio yalimboost na ktk adventure zake .In fact ktk hizo habari zake na mabwana zake, mara nyingi huwa anazithibitisha anapotoa maelezo ktk media hizo hizo.
 
Umeongelea party ya Ronaldo, mara ukarukia kwa Gerald Pique anavyochukiwa na mashabiki wa Barcelona, mara unaongelea Messi kuwa mchezaji bora tena, mara vikombe vya Barcelona, mara annual party ya Kagera sugar mara SAM MAHELA, mara watawala wa Tanzania????? Yaani kwa ufupi hueleweki unataka kuongea nini hasa!
 
Umeongelea party ya Ronaldo, mara ukarukia kwa Gerald Pique anavyochukiwa na mashabiki wa Barcelona, mara unaongelea Messi kuwa mchezaji bora tena, mara vikombe vya Barcelona, mara annual party ya Kagera sugar mara SAM MAHELA, mara watawala wa Tanzania????? Yaani kwa ufupi hueleweki unataka kuongea nini hasa!
Infurahisha sana kuonyesha jinsi wapuuzi wa tz walivyo wengi. Umerukia thread imefika mbalia sana. halafu hata hujasoma hata michango ya wengine .Kwa ujumla umeingiza uvundo.
 
Infurahisha sana kuonyesha jinsi wapuuzi wa tz walivyo wengi. Umerukia thread imefika mbalia sana. halafu hata hujasoma hata michango ya wengine .Kwa ujumla umeingiza uvundo.
Kama bado unadhani ulichoandika kina maana yoyote basi kweli Tanzania ina wapuuzi wengi na wewe ukiwa mmoja wapo.
 
Kama bado unadhani ulichoandika kina maana yoyote basi kweli Tanzania ina wapuuzi wengi na wewe ukiwa mmoja wapo.
Kwa hiyo unadhani hichi ndicho kimeondoa upuuzi wako na kunihamishia ? Hujatetea hoja, umekimbilia matamko tuu . Nani kakuambia matamko km haya, hujaweza hata tambua hoja, wala jitambua, wala jithibitisha kwamba wewe si mpuuzi. Unatoka matamko km haya.
 
Mtibwa na Kagera Sugar wana undugu?
sound like .Km wanaitana sister company. Na wote si wazuri wa kuuza bidhaa hadimu km sukari hadi waiombe serikali kuwatesa raia wake, na kuwanyima wafanya biashara wengine kufanya kazi kwa muda wanaotaka.
 
Wakati nasikilizia Party km za uzinduzi wa majengo ya mashirika ya hifadhi za jamii na baadae wenzao nacheka tuu Birthday BoysGirls wataomba nini nao...wataomba timu nzima iwape mpira ili si wahinde mechi ila wao waibuke wafungaji bora.

Naogopa tuu kusikia kwamba waajiri wanachelewesha hela kuhujumu mashirika..
 
Back
Top Bottom