Msukuma wa darasa la Saba anafanya vizuri sana kuliko Mbunge wangu mwenye PHD
Kufuatia agizo lililotolewa na Serikali kupitia kwa Waziri wa TAMISEMI nchini Mhe Mohamed Omary Mchengerwa,
Agizo hilo limeitaka DART kuhakikisha inakamilisha taratibu zote za Ubia na Mbia wa UDART ndani ya miezi Saba.
Mkurugenzi wa Ubia nchini PPP Bwana David Kafulila amesema ndani ya muda mfupi ujao watakuwa tayari wamekamilisha mkataba baina ya DART na Mbia ili kuhakikisha Wananchi wa Dar es Salaam hawapati adha ya usafiri na Usafirishaji.
Kafulila amesema, Mbia huyo wa UDART atanunua Mabasi yeye mwenyewe na atayaendesha kwa Ubia na Serikali katika kipindi Cha mkataba na hivyo kuifanya gharama ya usafiri kuwa nafuu Kwa wananchi na wakazi wa Jiji la Dar es salaam.
Kafulila amesema kuwa 40% tu ya wafanyakazi waishio Dar es salaam ndio wanakwenda kazini kwa miguu ( working distance).
Hivyo zaidi 60% wanafanya kazi sehemu ambazo wanalazimika kulipa nauli kila siku ili kwenda kazini na kurudi nyumbani.
Nia ya Serikali ikiwa ni kutoa unafuu wa gharama za Usafiri na usafirishaji Kwa Wananchi hasa wakazi wa Jiji la Dar es salaam.
Musukuma: Serikali iache kufanya Biashara haiwezi, Mwendokasi Walikuwa na Mabasi 300 yamebaki 4 tu. Biashara mtuachie Watoto wa Mjini!
Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma ameishauri serikali iachane na kufanya Biashara na badala yake Biashara ziachiwe sekta binafsi Dr Msukuma alikuwa analia na kampuni ya Tanoil ambayo CAG ameripoti inalitia Taifa Hasara ya mabilioni kila mwaka. "Nilionya hapa kuhusu Tanoil hamkunielewa na...www.jamiiforums.com
Mbona kazi kubwa tayari imeshafanyika ya kutengeneza hiyo njia ya mwendokasi kilichobaki ni kutandika reli tu na sio lazima za umeme hata trams za diesel tuUnat
Sijaona miundombinu ya tram?Mbona kazi kubwa tayari imeshafanyika ya kutengeneza hiyo njia ya mwendokasi kilichobaki ni kutandika reli tu na sio lazima za umeme hata trams diesel tu
Tunakwenda huko ndio
hii ni UK lakini ya umeme ziko katikati ya dual carriage way kama vile Morogoro roadSijaona miundombinu ya tram?
Naamini ni swala la muda tu tutafika soon,hii ni UK lakini ya umeme ziko katikati ya dual carriage way kama vile Morogoro road
View attachment 2994555
Na hapa ni Mwendokasi Morogoro road nadhani
View attachment 2994556
Kuna cha zaidi ya kutandika reli na kuweka trams za diesel kama hii hapa chini ndani ya Deutschland
View attachment 2994563
Tanzania tuko vizuri sanaNaamini ni swala la muda tu tutafika soon,
Naipongeza sana Serikali kwa hili ila muda uzingatiwe
Kufuatia agizo lililotolewa na Serikali kupitia kwa Waziri wa TAMISEMI nchini Mhe Mohamed Omary Mchengerwa,
Agizo hilo limeitaka DART kuhakikisha inakamilisha taratibu zote za Ubia na Mbia wa UDART ndani ya miezi Saba.
Mkurugenzi wa Ubia nchini PPP Bwana David Kafulila amesema ndani ya muda mfupi ujao watakuwa tayari wamekamilisha mkataba baina ya DART na Mbia ili kuhakikisha Wananchi wa Dar es Salaam hawapati adha ya usafiri na Usafirishaji.
Kafulila amesema, Mbia huyo wa UDART atanunua Mabasi yeye mwenyewe na atayaendesha kwa Ubia na Serikali katika kipindi Cha mkataba na hivyo kuifanya gharama ya usafiri kuwa nafuu Kwa wananchi na wakazi wa Jiji la Dar es salaam.
Kafulila amesema kuwa 40% tu ya wafanyakazi waishio Dar es salaam ndio wanakwenda kazini kwa miguu ( working distance).
Hivyo zaidi 60% wanafanya kazi sehemu ambazo wanalazimika kulipa nauli kila siku ili kwenda kazini na kurudi nyumbani.
Nia ya Serikali ikiwa ni kutoa unafuu wa gharama za Usafiri na usafirishaji Kwa Wananchi hasa wakazi wa Jiji la Dar es salaam.
Musukuma: Serikali iache kufanya Biashara haiwezi, Mwendokasi Walikuwa na Mabasi 300 yamebaki 4 tu. Biashara mtuachie Watoto wa Mjini!
Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma ameishauri serikali iachane na kufanya Biashara na badala yake Biashara ziachiwe sekta binafsi Dr Msukuma alikuwa analia na kampuni ya Tanoil ambayo CAG ameripoti inalitia Taifa Hasara ya mabilioni kila mwaka. "Nilionya hapa kuhusu Tanoil hamkunielewa na...www.jamiiforums.com
Kwakweli hili huenda likaleta tija zaidiNaipongeza sana Serikali kwa hili ila muda uzingatiwe
Chawa Pro Max Kafulila
Kufuatia agizo lililotolewa na Serikali kupitia kwa Waziri wa TAMISEMI nchini Mhe Mohamed Omary Mchengerwa,
Agizo hilo limeitaka DART kuhakikisha inakamilisha taratibu zote za Ubia na Mbia wa UDART ndani ya miezi Saba.
Mkurugenzi wa Ubia nchini PPP Bwana David Kafulila amesema ndani ya muda mfupi ujao watakuwa tayari wamekamilisha mkataba baina ya DART na Mbia ili kuhakikisha Wananchi wa Dar es Salaam hawapati adha ya usafiri na Usafirishaji.
Kafulila amesema, Mbia huyo wa UDART atanunua Mabasi yeye mwenyewe na atayaendesha kwa Ubia na Serikali katika kipindi Cha mkataba na hivyo kuifanya gharama ya usafiri kuwa nafuu Kwa wananchi na wakazi wa Jiji la Dar es salaam.
Kafulila amesema kuwa 40% tu ya wafanyakazi waishio Dar es salaam ndio wanakwenda kazini kwa miguu ( working distance).
Hivyo zaidi 60% wanafanya kazi sehemu ambazo wanalazimika kulipa nauli kila siku ili kwenda kazini na kurudi nyumbani.
Nia ya Serikali ikiwa ni kutoa unafuu wa gharama za Usafiri na usafirishaji Kwa Wananchi hasa wakazi wa Jiji la Dar es salaam.
Musukuma: Serikali iache kufanya Biashara haiwezi, Mwendokasi Walikuwa na Mabasi 300 yamebaki 4 tu. Biashara mtuachie Watoto wa Mjini!
Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma ameishauri serikali iachane na kufanya Biashara na badala yake Biashara ziachiwe sekta binafsi Dr Msukuma alikuwa analia na kampuni ya Tanoil ambayo CAG ameripoti inalitia Taifa Hasara ya mabilioni kila mwaka. "Nilionya hapa kuhusu Tanoil hamkunielewa na...www.jamiiforums.com
Kufuatia agizo lililotolewa na Serikali kupitia kwa Waziri wa TAMISEMI nchini Mhe Mohamed Omary Mchengerwa,
Agizo hilo limeitaka DART kuhakikisha inakamilisha taratibu zote za Ubia na Mbia wa UDART ndani ya miezi Saba.
Mkurugenzi wa Ubia nchini PPP Bwana David Kafulila amesema ndani ya muda mfupi ujao watakuwa tayari wamekamilisha mkataba baina ya DART na Mbia ili kuhakikisha Wananchi wa Dar es Salaam hawapati adha ya usafiri na Usafirishaji.
Kafulila amesema, Mbia huyo wa UDART atanunua Mabasi yeye mwenyewe na atayaendesha kwa Ubia na Serikali katika kipindi Cha mkataba na hivyo kuifanya gharama ya usafiri kuwa nafuu Kwa wananchi na wakazi wa Jiji la Dar es salaam.
Kafulila amesema kuwa 40% tu ya wafanyakazi waishio Dar es salaam ndio wanakwenda kazini kwa miguu ( working distance).
Hivyo zaidi 60% wanafanya kazi sehemu ambazo wanalazimika kulipa nauli kila siku ili kwenda kazini na kurudi nyumbani.
Nia ya Serikali ikiwa ni kutoa unafuu wa gharama za Usafiri na usafirishaji Kwa Wananchi hasa wakazi wa Jiji la Dar es salaam.
Musukuma: Serikali iache kufanya Biashara haiwezi, Mwendokasi Walikuwa na Mabasi 300 yamebaki 4 tu. Biashara mtuachie Watoto wa Mjini!
Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma ameishauri serikali iachane na kufanya Biashara na badala yake Biashara ziachiwe sekta binafsi Dr Msukuma alikuwa analia na kampuni ya Tanoil ambayo CAG ameripoti inalitia Taifa Hasara ya mabilioni kila mwaka. "Nilionya hapa kuhusu Tanoil hamkunielewa na...www.jamiiforums.com
Nadhani harakisheni hili.expand...
Hongera sana
Kufuatia agizo lililotolewa na Serikali kupitia kwa Waziri wa TAMISEMI nchini Mhe Mohamed Omary Mchengerwa,
Agizo hilo limeitaka DART kuhakikisha inakamilisha taratibu zote za Ubia na Mbia wa UDART ndani ya miezi Saba.
Mkurugenzi wa Ubia nchini PPP Bwana David Kafulila amesema ndani ya muda mfupi ujao watakuwa tayari wamekamilisha mkataba baina ya DART na Mbia ili kuhakikisha Wananchi wa Dar es Salaam hawapati adha ya usafiri na Usafirishaji.
Kafulila amesema, Mbia huyo wa UDART atanunua Mabasi yeye mwenyewe na atayaendesha kwa Ubia na Serikali katika kipindi Cha mkataba na hivyo kuifanya gharama ya usafiri kuwa nafuu Kwa wananchi na wakazi wa Jiji la Dar es salaam.
Kafulila amesema kuwa 40% tu ya wafanyakazi waishio Dar es salaam ndio wanakwenda kazini kwa miguu ( working distance).
Hivyo zaidi 60% wanafanya kazi sehemu ambazo wanalazimika kulipa nauli kila siku ili kwenda kazini na kurudi nyumbani.
Nia ya Serikali ikiwa ni kutoa unafuu wa gharama za Usafiri na usafirishaji Kwa Wananchi hasa wakazi wa Jiji la Dar es salaam.
Musukuma: Serikali iache kufanya Biashara haiwezi, Mwendokasi Walikuwa na Mabasi 300 yamebaki 4 tu. Biashara mtuachie Watoto wa Mjini!
Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma ameishauri serikali iachane na kufanya Biashara na badala yake Biashara ziachiwe sekta binafsi Dr Msukuma alikuwa analia na kampuni ya Tanoil ambayo CAG ameripoti inalitia Taifa Hasara ya mabilioni kila mwaka. "Nilionya hapa kuhusu Tanoil hamkunielewa na...www.jamiiforums.com
🤣🤣🤣Porojo zimekuwa nyingi kuliko vitendo,