RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,728
- 123,066
Tiketi za 650/- zipo pale pale. Hii kadi inawasaidia wale wenye kupanda bus kila siku wanaenda maofisini kwa mfano. Anajua anapanda siku tano kwa wiki hana sababu ya kupanga foleni kukata tiketi kila siku.Mi nimeelewa bt naongelea wale wasio na hata uhakika wa mlo wa kesho,,sembuse nauli!sasa hiyo 4500 ikishaisha kwa hizo safar nane watapata vp pesa za jumla kwa usafiri? hata kuongeza elf kumi wanashindwa.Si watarud kweny daladala tu