figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,720
- 55,859
Hahahaha kumbe hata shemegi unaweza kumpa akapandia gari
Hapo mleta uzi amesema.....Wale kina kajamba nani tunaotoka kimara had kivukon..Tukiamka tunasachi kibubu tunatoa mia tano,tukipapasa mfukoni nguo nlovaa jana nakutana na mia mbili..Mia saba hiyo naparamia kitu cha mwendo kas...Sasa hii budget ya kujaza credit nauli ya elfu thelathin kwenye hiyo kad niitoe wapi mie??
Wapande tu wafanya kazi mi narud kwenye daldala.
Kabisa mkuu.Hahahaha kumbe hata shemegi unaweza kumpa akapandia gari
Bei ya kadi pekee ni shs. 500Hiyo kadi inauzwa bei ghali sana,....
Mi nimeelewa bt naongelea wale wasio na hata uhakika wa mlo wa kesho,,sembuse nauli!sasa hiyo 4500 ikishaisha kwa hizo safar nane watapata vp pesa za jumla kwa usafiri? hata kuongeza elf kumi wanashindwa.Si watarud kweny daladala tuHapo mleta uzi amesema.....
Kadi itauzwa kwa bei ya shilingi 5000.
Kisha ndani ya kadi panakua na salio la 4500 ambazo zitaweza kutumika kwa safari zako mara nane.
Na kwa kila kadi moja unaweza ukaweka salio hadi la 30,000 tu.
vilevile namna ya kuitunza isiharibike maana siku tatu tu utakuta haiwezi kutambuliwa na mashine mara imekunjwa kunjwa, imechubuka, n.k. Lakini kibaya zaidi ni kuibiwa na mateja wa jijiHii inaitwa unasafiri bila nauli mfukoni ukiwa na kadi tu we wapiga route zako saafi japo nayo hii ni changamoto kwa waswahili kama Sie tusiojua maana ya kadi namna ya kuitunza na kutembea nayo coz utakuta kuna watu wanasafiri au kutembea tembea bila ya hata kitambulisho tu
Unaweka salio kwa mawakala wa maxmalipo au kwenye vituo vya udart.. Also nimeskia kwa nmb mobile pia.. Pia suala la kuangalia salio ni pale kituoni ndo watakuangalizia...Wadau salio likiisha kwenye hii kadi unatumia utaratibu gani kurecharge.
Wale kina kajamba nani tunaotoka kimara had kivukon..Tukiamka tunasachi kibubu tunatoa mia tano,tukipapasa mfukoni nguo nlovaa jana nakutana na mia mbili..Mia saba hiyo naparamia kitu cha mwendo kas...Sasa hii budget ya kujaza credit nauli ya elfu thelathin kwenye hiyo kad niitoe wapi mie??
Wapande tu wafanya kazi mi narud kwenye daldala.
Naamini watakua na salio kiasi kidogo kwaajili ya watu kuweza ongeza salio kutokana na vipato vyaoMi nimeelewa bt naongelea wale wasio na hata uhakika wa mlo wa kesho,,sembuse nauli!sasa hiyo 4500 ikishaisha kwa hizo safar nane watapata vp pesa za jumla kwa usafiri? hata kuongeza elf kumi wanashindwa.Si watarud kweny daladala tu