Alikuwa na wimbo wake...kababa kimunyi munyi...mnaitikia zembwelaa...kababa kimunyi munyi zembwelaaa
Hamisi nyaloo alikuwa noma, maeneo yake yalikuwa kuanzia clock tower, bank ya nbc uhuru na Chinese restaurant, kulikuwa na jimmy ila yeye hakuwa violentMi namkumba Hamishi Nyaloo yule kichaa hatari sana, alitusumbua sana Arusha enzi hizo,ukisikia Hamisi nyalooo hugeuki ni mbio balaa.
Hahaha umenikumbusha mbali sana na jamaa mwingine alikuwa akiitwa masiamoteee sema tena masiamoteee ila kipindi hicho kiingilio ilikuwa sh 5 hadi sh 10 nakumbuka ile sh. 10 ya noti ya kijani ilikuwa bado inatumika sijui hao watu wameishia wapi? kwa kumbukumbu wengine ni mwanamuziki chimbende, mcheza ngoma marehemu minyigu na wengine wengi ,power mabula huyu nafikiri alikuwa akitokea mwanza,timu ya waya mkaliWakazi wa arusha hivi mnamkumbuka mwanamazingaumbwe aliekua anaitwa kababaye miaka ya nyuma?
Nakumbuka miaka ya nyuma alivuma sana mashuleni kiingilio ilikuaga mia mbili.
Akitaka kufanya mauza uza anasema kababaye mnaitikia yee, anasema mwanaume ndi mnaitikia ndii, mwanaume ndaa, ndaaa.
Kwa anae mkumbuka atueleze yupo wapi sikuhizi.
Masiamote alishawahi kupika pilau bila jiko wala mchele,nyama na viungo vya pilau ,daah mazingaumbe noma nakumbuka ilikuwa mida ya saa nane mchana watu tuna ubao alafu ukifikiria kipindi hicho pilau tulikuwa tunakula sikukuu hadi sikukuu lakini wanafunzi tuligoma kula pilau la masiamotee tena lilikuwa na kachumbari aisee yule jamaa alikuwa noma,sasa si akaamua kulila lile pilau alafu hakulimalizia akafanya tena mazingaumbwe likatowekaKababayee yee na maasia mote! Dah wadau mnenikumbusha kijenge primary 1989,nakumbuka masia mote aliwahi kutoa yai kwenye kwapa la mshkaji.
Aisee jamaa angu umenikumbusha arushaaa enzi hizo jombaaa masiamoteeeeHalafu kulikuwa na mtu akiitwa maasia mote anaambatana na mtu akiitwa juju ye.akianza mambo yake anasema ni yeye juju ye,watu ye.ghafla mshikaji akaharisha lundo la sarafu zimejaa sufuria ndogo ndogo.dah wakati huo bwana.
jamaa anajua sana mazingaombwe.Aisee jamaa angu umenikumbusha arushaaa enzi hizo jombaaa masiamoteeee
aliambatana na jujuyeMwingine maarufu alikuwa anaitwa MASIAMOTE huyu nae alitamba mnoo wakati wake
Kijenge shule ya Msingi.....Enzi za Hamisi nyaloo(chizi) wa daraja la mto Themi.Duh....mkuu....ulisoma Meru...Naura...Uhuru....Kaloleni au Ngarenaro......?......
Power Mabula ni mchungaji siku hizi amefungua kanisa la walokole olmatejo Arusha .Ila amekauka yupo kawaida tuu .body sio kama zama zake .Mimi namkumbuka power mabula enzi hizo shule ya msingi Ngudulugulu Kwimba,Mwanza
Naaum Jimmy mental(mento)...Hamisi nyaloo alikuwa analima bange pale pale karibu na New Arusha HotelHahaaah kababayee... Meru primary,. Hamis nyaloo na jimmy kichaa Kuna mmoja sjui alikua anaitwa Hamisi majikooo alikua anapenda kukaa pale pembeni na kaloleni hospitali