Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
Hawaruhusiwi kushiriki kwenye siasa kama kwenye kampeni direct kama raia wa kawaida lakini wanahaki ya kupiga kura ndomana hata Zanzibar walipiga jana.Duuh...hapa changamoto sasa,nimwamini yupi sasa ambae ana reference ya uhakika ya kikatiba maana naona wengi tuna majibu ya stori za vijiweni.