Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,675
- 3,046
Walivamia kambi ya FFU kulipiza kisasi cha mwenzao kupigwa! Ukapigwa mkono wenzao walivyoona mambo mazito wakalala mbele hao wakadakwa!
Hao ma FFU wenyewe wote wameanzia JKT alafu wakapelekwa mafunzo maalum ya FFU, hapo kama sio komando au kikosi maalum huko JWTZ hutowaweza!
Sent using Jamii Forums mobile app



5/5.