just for fun: Ni kitu gani ulifanya ukiwa shule ukikikumbuka hadi leo unacheka peke ako?

0005

JF-Expert Member
Apr 12, 2025
290
444
Sio Kila mtu ana kumbukumbu nzuri za utoto wake. Wengine tumepitia life gum Sana utotoni.

lakini hata hivyo hatukosi Jambo la kutufurahisha Kila tukumbukapo maisha ya utoto tukiwa shule.

Jambo linalonifurahisha nikiwa Mdogo ni pale nilipo mpiga mwalim Kofi kiganjani pake nilipohisi kanichapa kwakunionea ... Yeye akiwa ameketi kwenye dawati lake pale mbele tukiwa tunasahihisha daftari.

I was very young (2001) and I did it bila hasira Wala Nini ... Nilimwambia mwalim "acha ukorofi"
basi darasa likacheeeeeka
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwalim akaniitia wababe wa darasa wakanishika juu juu akanitandika viboko hadi nikajikojolea bhana....

Nililia Sana and still aliposema niseme nimekosa Nikamwambia mwalim "wewe ni mgomvi Sana" .....

Ilikuwa (2001) Kwakweli Walim walikua wanaogopwa Sana back then Sasa hiyo kitu nilimfanyia mwalimu wangu na yeye alivoniadhib kikatili ilivuma karib mitaa yote na shule zingine zote.

Ikafika time Hadi Mimi nikaanza kifurahi na kutaka kusikiliza mtu akihadithia the way nilimrudishia mwalim and nayeye alivonisurubu ...

From the day yule mwalim akawa ananiita "Mwanang" na alinipa kipaumbele kwenye Kila kazi darasani ... Nikikosa alinichapa kikatili Sana Ila alikua ananipemda kwa misimamo yangu.

Hadi namalizia standard seven 2007 alikuwa kolikoli na Mimi.

Alikuja kufariki 2017 kwa ajali akiwa amesalia myezi kadhaa kustaafu. And nilikuwa nna mawasiliano nae mazuri still ...

How bout you .. share tukio lako turefresh akili zetu ....
 
Sio Kila mtu ana kumbukumbu nzuri za utoto wake. Wengine tumepitia life gum Saba utoto I .

lakini hata hivyo hatukosi Jambo la kutufurahisha Kila tukumbukapo maisha ya utoto tukiwa shule.

Jambo linalonifurahisha nikiwa Mdogo ni pale nilipo mpiga mwalim Kofi kiganjani pake nilipohisi kanichapa kwakunionea ... Yeye akiwa ameketi kwenye dawati lake pale mbele tukiwa tunasahihisha daftari.


I was very young (2001) and I did it bila hasira Wala Nini ... Nilimwambia mwalim "acha ukorofi"
basi darasa likacheeeeeka
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

mwalim akaniitia wababe wa darasa wakanishika juu juu akanitandika viboko hadi nikajikojolea bhana....

Nililia Sana and still aliposema niseme nimekosa Nikamwambia mwalim "wewe ni mgomvi Sana" .....

Ilikuwa (2001) Kwakweli Walim walikua wanaogopwa Sana back then Sasa hiyo kitu nilimfanyia mwalimu wangu na yeye alivoniadhib kikatili ilivuma karib mitaa yote na shule zingine zote ....

Ikafika time Hadi Mimi nikaanza kifurahi na kutaka kusikiliza mtu akihadithia the way nilimrudishia mwalim and nayeye alivonisurubu ...

From the day yule mwalim akawa ananiita "Mwanang" na alinipa kipaumbele kwenye Kila kazi darasani ... Nikikosa alinichapa kikatili Sana Ila alikua ananipemda kwa misimamo yangu.

Hadi namalizia standard seven 2007 alikuwa kolikoli na Mimi.

alikuja kufariki 2017 kwa ajali akiwa amesalia myezi kadhaa kustaafu. And nilikuwa nna mawasiliano nae mazuri still ...

How bout you .. share tukio lako turefresh akili zetu ....
binafsi,
nakumbuka tu kwamba kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba nilikua nashika nafasi ya kwanza tu kila muhula :NoGodNo:
 
Sio Kila mtu ana kumbukumbu nzuri za utoto wake. Wengine tumepitia life gum Saba utoto I .

lakini hata hivyo hatukosi Jambo la kutufurahisha Kila tukumbukapo maisha ya utoto tukiwa shule.

Jambo linalonifurahisha nikiwa Mdogo ni pale nilipo mpiga mwalim Kofi kiganjani pake nilipohisi kanichapa kwakunionea ... Yeye akiwa ameketi kwenye dawati lake pale mbele tukiwa tunasahihisha daftari.

I was very young (2001) and I did it bila hasira Wala Nini ... Nilimwambia mwalim "acha ukorofi"
basi darasa likacheeeeeka
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwalim akaniitia wababe wa darasa wakanishika juu juu akanitandika viboko hadi nikajikojolea bhana....

Nililia Sana and still aliposema niseme nimekosa Nikamwambia mwalim "wewe ni mgomvi Sana" .....

Ilikuwa (2001) Kwakweli Walim walikua wanaogopwa Sana back then Sasa hiyo kitu nilimfanyia mwalimu wangu na yeye alivoniadhib kikatili ilivuma karib mitaa yote na shule zingine zote.

Ikafika time Hadi Mimi nikaanza kifurahi na kutaka kusikiliza mtu akihadithia the way nilimrudishia mwalim and nayeye alivonisurubu ...

From the day yule mwalim akawa ananiita "Mwanang" na alinipa kipaumbele kwenye Kila kazi darasani ... Nikikosa alinichapa kikatili Sana Ila alikua ananipemda kwa misimamo yangu.

Hadi namalizia standard seven 2007 alikuwa kolikoli na Mimi.

Alikuja kufariki 2017 kwa ajali akiwa amesalia myezi kadhaa kustaafu. And nilikuwa nna mawasiliano nae mazuri still ...

How bout you .. share tukio lako turefresh akili zetu ....
Nilivunja amoeba ya shule nikatakiwa nilipe shilingi elfu moja
 
Ahahaha. Sijawahi fanya huo upuuzi.

Yan Mimi kichwa Mambo mengi nisingeweza kuwa wa kwanza hata siku moja.
back benchers ni wanafunzi wa ajabu sana,
yaani unakuta ana daftari moja tu analituamia kuanzia darasa la tatu mpaka la sita hilo hilo anaandika masomo yote,

ndio maana kushika nafasi ya kwanza darasani ilikua ni ndoto kwao na wala hana habari nayo :NoGodNo:
 
acha ukabila gentleman :pedroP:
haha sawa mkuu, hio point ya tribalism ndio nilikuwa napenda kuitumia kwenye History. Nilikuwa mtoro sana wakati fulani nikawa mtoro miezi miwili nikafatwa home na mwalimu wa Academic, na Discipline, kufika skuli naingia class nakuta teacher anafundisha hio tribalism sijaisahau mpaka leo na ile ya Land alienation
 
siku tuliyotandikwa darasa zima kisa kuna ndezi mmoja kaadika neno "kifirato" kwenye kila daftar la somo la mwananfunzi mwenzetu aliyekua ana mtindo wa kuacha begi shule hio siku tulilia darasa zima kams tumefiwa walim wakitaka tumtaje pamoja nafimbo mwandiko tunaujua tukakomaa kuficha siri tulichapwa sjapata ona
 
siku tuliyotandikwa darasa zima kisa kuna ndezi mmoja kaadika neno "kifirato" kwenye kila daftar la somo la mwananfunzi mwenzetu aliyekua ana mtindo wa kuacha begi shule hio siku tulilia darasa zima kams tumefiwa walim wakitaka tumtaje pamoja nafimbo mwandiko tunaujua tukakomaa kuficha siri tulichapwa sjapata ona


Kifirato. πŸ˜‚πŸ˜‚.

Nimecheka kwa sauti.
 
Sio Kila mtu ana kumbukumbu nzuri za utoto wake. Wengine tumepitia life gum Sana utotoni.

lakini hata hivyo hatukosi Jambo la kutufurahisha Kila tukumbukapo maisha ya utoto tukiwa shule.

Jambo linalonifurahisha nikiwa Mdogo ni pale nilipo mpiga mwalim Kofi kiganjani pake nilipohisi kanichapa kwakunionea ... Yeye akiwa ameketi kwenye dawati lake pale mbele tukiwa tunasahihisha daftari.

I was very young (2001) and I did it bila hasira Wala Nini ... Nilimwambia mwalim "acha ukorofi"
basi darasa likacheeeeeka
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwalim akaniitia wababe wa darasa wakanishika juu juu akanitandika viboko hadi nikajikojolea bhana....

Nililia Sana and still aliposema niseme nimekosa Nikamwambia mwalim "wewe ni mgomvi Sana" .....

Ilikuwa (2001) Kwakweli Walim walikua wanaogopwa Sana back then Sasa hiyo kitu nilimfanyia mwalimu wangu na yeye alivoniadhib kikatili ilivuma karib mitaa yote na shule zingine zote.

Ikafika time Hadi Mimi nikaanza kifurahi na kutaka kusikiliza mtu akihadithia the way nilimrudishia mwalim and nayeye alivonisurubu ...

From the day yule mwalim akawa ananiita "Mwanang" na alinipa kipaumbele kwenye Kila kazi darasani ... Nikikosa alinichapa kikatili Sana Ila alikua ananipemda kwa misimamo yangu.

Hadi namalizia standard seven 2007 alikuwa kolikoli na Mimi.

Alikuja kufariki 2017 kwa ajali akiwa amesalia myezi kadhaa kustaafu. And nilikuwa nna mawasiliano nae mazuri still ...

How bout you .. share tukio lako turefresh akili zetu ....
Kujamberjamber hovyo hovyo hadharani bila staha.

Nyau de adriz
 
Kifirato. πŸ˜‚πŸ˜‚.

Nimecheka kwa sauti.
acha kabisa tulikua na mtindo wa remedial lakini hiyo siku tuliamua kufunga mlango kwa ndani eti tumekasirika mwisho wa siku tunaitwa majina mwalim wa darasa akiwa kasimama dirishani na akila anayetajwa jibu lilikua absent haijalishi yumo au hayumo tulikuja wekwa kikao na ofisi nzima kua tumeshindikana
 
Back
Top Bottom