digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,025
- 18,209
Huyo joti naye kavimbiwa afanikio, kwa mimi hapa mwalimu na ninaelekea 50 + years nina konektisheni gani sasa mimi, kuiba chaki au kuuza vitabu vya shule!? Angesema kuna kazi mtu ukizipata unatakiwa kuwa connection ningemuelewa.
Nina jamaa yangu nimesoma naye A-Level yeye sasa ana kazi kubwa tu ndo huwa ananipa connection licha ya umri wangu kuwa mkubwa,umri hauna mahusiano na mafanikio ya mtu
Nina jamaa yangu nimesoma naye A-Level yeye sasa ana kazi kubwa tu ndo huwa ananipa connection licha ya umri wangu kuwa mkubwa,umri hauna mahusiano na mafanikio ya mtu