Macho mkuu? ama neva za fahamu na ubongo hasa medula oblangataAkapimwe macho yake yote matatu
Macho mkuu? ama neva za fahamu na ubongo hasa medula oblangataAkapimwe macho yake yote matatu
Inamuuma sana konda kutokumlaza mbowe polisi leo ijumaa, na hatapata nafasi hiyo tena.
Alitaka magu amuone yeye ni kiboko ya wapinzani, matokeo yake ameonekana yeye ndio ana roho mbaya na anataka kuivuruga nchi.
Na sina shaka magu ameanza kuhisi alikosea katika uteuzi wake , na hatarudia kumsifu mtu hadharani kabla ya kumpa cheo.
""Hatuez kwenda kibabe kibabe namna hii tutavuruga nchi" - Spika Ndugai.
" Kama judicial sytem yoyote inamujitaji mbunge wangu lazima wapitie kwangu no way out " - Spika Ndugai
Sio tu wabunge bali taifa kwa ujumla.Ayo TV imeshapewa kibali kuendelea kurusha matangazo?
Ndugai aendelee hivi, atajijengea heshima na kuwa kiongozi anaeweza kuliunganisha na kuwaleta pamoja wabunge.
CCM Wanamuandaa Tulia awe spika Rungwe wanamuandalia Jimbo Ndugai atapigwa chini naota tuuAyo TV imeshapewa kibali kuendelea kurusha matangazo?
Ndugai aendelee hivi, atajijengea heshima na kuwa kiongozi anaeweza kuliunganisha na kuwaleta pamoja wabunge.
Ntaitwa mchochezi mkuuMkuu ujamalizia kumnukuu sugu hapo malizia aisee. Mbona kasema inasemekana lakini.