Gentleman,Gentleman politics is like a football , u can't score a goal with out fans. Fans act as catalyst the action to take place.
Kama hivyo ndivyo basi jamaa ni mlafi.Bro kila mtu ni mwoovu ,ila tumetafutiana viwango vya uovu.
Angekuwa mkweli asingedanganya masikini wa Tanzania kuwa ana uwezo wa kufufua wafu.Yeye ni mkweli
Hana ujanja huo, angekuwa anapata pesa zake kwa biasbara isiyo na mawaa angekuwa na uthubutu wa kuongea ukweli.Kz kweli mkuu, mtu huyu ukimya wake unakishindo kikubwa mno
Utapeli huuKuna nabii Fulani anasema huyo ndio Presideñt ajaye ila lazima apitie CDM,anasema isipotokea basi Mungu hakumwita katika utumishi
How ? & Where ? to whom? & When ? For what? & Which? the regretment to be? Gentleman ,are you benefiting with that uncircumcised baboom system?Gentleman,
plz be informed and advised to assemble behind a very open winning team, otherwise you will regret later on 🐒
Umenena vema Jibwa la Samiah unayeishi kwa ujira wa kumpambania mitandaoni...Ndio maana nasema wale wasiowaelewa Wanasiasa ndio watawapigia kura ila Mimi binafsi siwezi.
Huo ndio upumbavu unafanya utakufa maskini.Umenena vema Jibwa la Samiah unayeishi kwa ujira wa kumpambania mitandaoni...
Amfufue Lowasa kwanza.Bloody conman!
Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku! Leo roho wa Mungu amenisukuma niseme na mtumishi wa Mungu Akofu jophate Gwajima.
Upo ccm huna amani, huna furaha, huna uhuru wa kusema uovu unafanywa na na viongozi wa ccm ni kwa sababu upo CCM.
Na wewe ni msema kweli, kiasili ww hauwezi kukaa meza moja na ccm mkaishi mda mrefu. Tafakari vizuri ujiunge chadema ili uwe huru rohoni, nafsini, na akilini.
Pia soma: Pre GE2025 - Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania
Hatimaye tuijenge nchi yetu pendwa. Najua unayo mengi sana kifuani mwako, juu ya viongozi HAWA wa CCM wanvyotafuna fedha za wananchi. Ila unakosa ujasili wa kusema kwa sbb na ww ni mbunge kupitia ccm, ikikupendeza, bunge likivunjwa nenda chadema. Huduma yako, ushawishi wako, karama yako imeshuka sana tangu ujiunge na ccm na kuwa mbunge.
NB: Au achana na siasa, uwatumikie wananchi kupitia huduma ya kiroho uendelee kusema ukweli.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Ni kweli kabisa siasa sio dhambi lakini dhambi zitakuja utakapoanza kuwapa ahadi za uongo wananchi unaowaongozaShida ni uwadilfu hamna mkuu, kufanya siasa sio dhambi,
Usiwafungie watu kwa imani yako,Kama mtume wenu ni Nabii wa mwisho ni kwa imani yako,Imani zingine manabii wapo na wataendelea kuwepo tuNabii wa mwisho ni Mtume wetu Muhammad S.A.W
Nani katapeliwa?Utapeli huu