Johnson Lukaza na Mwesigwa Lukaza washinda kesi ya EPA

Kwahiyo wamesubiri wakati watanzania Wapo busy na ESCROW ndio mahakama ikatoa maamuzi.

Inaitwa kimyakimya hiyo
 
Nilishasema kwa kadhia ile ya EPA wafungwaji watakuwa ni wale wale Rajabu Maranda na ndugu yake ambao ni scapegoats tu.. Na hata wao ninasikia hawakaagi sana huko gerezani.. Muda mrefu wanaishi hospitalini wakijfanya ni wagonjwa..

Only in Tanzania..
 

Only in Tanzania sosoliso
 
Last edited by a moderator:
Hivi kumbe kuna watu walikuwa wanashitakiwa? jamani naomba anayejua anipe ufafanuzi kwani baada ya tukio hili Kikwete alitamka hadharani kuwa wale wote waliohusika na wizi huu wanajulikana hivyo warudishe fedha hizo na tukaambiwa fedha zimerudishwa na zitaelekezwa kwenye Kilimo sasa inakuwaje hawa washitakiwe na hao wengine watakiwe kurudisha?
 
Kweli Tanzania vichekesho haviishi kila kukicha. Huyu Jaji Kiongozi mkasimongwa ndiye aliyeanza kusikiliza kesi hii miaka hiyooo akiwa kama Hakimu. Leo hii mtu huyohuyo anakuja kutolea maamuzi shauri hilohilo kwenye mahakama ya juu (mahakama kuu). Mmmh. Hii imekaa sawa kweli?

Ikumbukwe huyu jaji ni miongoni mwa mahakim waliopata ujaji hivi karibuni.
 
utafungwaje ukishakuwa na mpunga? baka uone.Kila mtu akisikia kesi yako anaomba urafiki.kuanzia polisi, mawakili wa serekali , hakimu, askari magereza madaktari-----------------sema umepiga mtu uone
 
ukiwa
utafungwaje ukishakuwa na mpunga? baka uone.Kila mtu akisikia kesi yako anaomba urafiki.kuanzia polisi, mawakili wa serekali , hakimu, askari magereza madaktari-----------------sema umepiga mtu uone
na hela hufungwi😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…